Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi watanzania wanafikiria nini kujifunza maudhui ya Kiswahili kwa kutumia Kiingereza? Ni kama Mchina kuamua kijifunza maudhui ya Kichina kwa kutumia Kiswahili, sio uchizi huo? Au mwingireza...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada jamani anayeelewa . Hili neno linatumika sana kwenye makampuni, mfano. Ubungo Plc, Crdb bank plc,Nmb plc. Anayejua atueleze kwani wapo wanaotoa tafsiri mbalimbali, kama vile Public...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Samahan kwa kupost hii hojq humu.. Naomba mawazo yenyu Hivi neno SHILAWADU ambalo tumelitumia sana jamii forums na kibongobongo mitaani..Linafaa kuingia katika lugha ya kiswahili? Kuna uwezekano...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hivi kinachowafanya wasanii wa kibongo kuonesha upungufu wa lugha kama vile ilivyo katika upungufu wa kinga mwilini ni nini? Yaani mtu anachafua lugha kwa kuchanganya Kiingereza na Kiswahili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HEKO MJAZA KURASA. 1)ole adharau mwiba,atapata maumivu. Ndogo hujaza kibaba,kubwa hushiba mashavu. Penati wameikaba,na kuzisahau nyavu. Heko mjaza kurasa,kwa kuwashinda magwiji. 2)fani hitaki...
0 Reactions
3 Replies
630 Views
Kifupishohuni KINAHARIBU BADALA YA KUBORESHA KISWAHILI Kifupishohuni ni neno linalotokana na maneno= -fupisha na -huni. Wingi wa Kifupishohuni ni Vifupishohuni. Sikuhizi kumekuwa na tabia ya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi nazungumza na kufunfisha lugha tajwa, kituo kipo Arusha ila ukihitaji kujifunza hata ukiwa mbali, inawezekana maana zipo attachment, na zitakusaidia kusoma online... Tuwasiliane 0746 30 70 70
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Am looking for a French translator, to translate some materials from Swahili/English - french, Kama ni wewe au unamjua mtu pls nipm contacts zake, Mercy b-asante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rejea Kichwa Habari naomba tafsiri ya neno HODI kwa lugha ya Ki Ingereza. Nam shukuruni Karibuni.
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression...
1 Reactions
60 Replies
8K Views
Iwe kwa tungo tata, nahau, hadithi, ushairi, tenzi, ngano ama lolote liwe katika mapana yake kwenye uwanda wa Lugha, basi lugha yetu iwe moja #freemaxencemello .
1 Reactions
3 Replies
799 Views
Salamu wana JF. Hivi huwa tuko sahihi tunavyotumea neon Maliasili kumaanisha Natural Resource au tulipaswa kutumia maneno Rasilimali Asili? Wataalamu wa Kiswahili tafadhal
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Katika harakati zangu za kujiongezea ufahamu wa lugha ngeni niliamua kuanza kujifunza lugha ya Kiarabu kwa miezi kadhaa sasa. Jambo ambalo limenishangaza ni kukutana na maneno mengi ya kiarabu...
2 Reactions
38 Replies
15K Views
Wanajamvi naomba mwenye kujua anijuze kwa kiingereza kile kitu ambacho huwa kinaning'inia mwishoni mwa mkungu wa ndizi, ni cha rangi ya damu ya mzee ,mara nyingi baada ya ndizi kuchanua chane zake...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Salaam wana JF Tukiwa tumeingia mwezi wa mwisho kuhitimisha mwaka huu, ebu tukumbushane kauli, misemo na maneno yaliyojipatia umaarufu mkubwa kwa awamu hii kuanzia mwaka kipindi cha kampeni mwaka...
1 Reactions
71 Replies
6K Views
#daaaaaa #mnaikumbuka lkn #Hii 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani...
0 Reactions
2 Replies
905 Views
Neno AFUA msaada kwa aneyelijua au afua stahiki natanguliza shukran wanajf
0 Reactions
7 Replies
18K Views
1.Huba lako limeniteka, mateka najililia hakika umenishika, sina pakukimbilia huba wa mahaba, moyoni najivunia vuno la mahaba, mwilini nalisikia. 2.Mpenzi wa enzi, nipe pasi kitenzi mazuzu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MWIZI WA KUKU. 1)Haki wala hina macho, na ndo mana haioni. Haki imewa kificho, imeshia kitabuni. Mwizi wa kuku afungwe, mchota hela aringe. 2)haki imewa zindiko, lifanyiwalo porini. Haki kama...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Salaam Nimesikiliza kipindi kilichokuwa kinarushwa na Clouds radio leo katika kuadhimisha siku ya ufahamu kuhusu ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi " albinism awareness day". Pamoja na kujifunza...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Back
Top Bottom