Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari wakuu, Naomba kujua tafsiri ya mtu unaoitwa "MLONGE" kwa kiingereza na hata kibayolojia. Pia naomba kujua matumizi yake kwa binadamu. Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Huu ni uandishi gani jamani? Nimekutana na baadhi ya maneno mwandishi aliyatumia akijaribu kuelezea muswada wa sheria uliowasilishwa juzi bungeni. Nimesikitishwa jinsi tunavyoharibu lugha yetu...
1 Reactions
4 Replies
958 Views
BRAZA SOMA NYAKATI. 1)kubebana na mbeleko,zama zile zimepita. Mbwa mkali si koko,huyu sasa anang'ata. Atakuvunja ugoko,ukileta za kuleta. Braza soma nyakati,zama hizi si mchezo. 2)Atakuchapa na...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
FUNIKA FUNUA. 1)kimesikika kishindo,cha pupu cha mfa maji. Mbeba jembe na nyundo,nae du mjuaji. Sera imetupwa kando,anena su msusaji. Haya funika funua,umeshakufa ukuta. 2)Jambo limeshindwa...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
"It rains cats and dogs"
1 Reactions
7 Replies
4K Views
wale wazee wa kununua wajasilia mwili a.k.a machangudoa hili neno mchati ni neno famous sana kwao machangudoa mtu anayewanunua wanamwita mchati utasikia "niko na mchati wangu" "yule mchati...
0 Reactions
16 Replies
41K Views
Naomba msaada kuhusu hiyo topic kwa nini (Masheikh) wakisimama kudai haki wa waumini wa waislam anashitakiwa/kushutumiwa Kuwa ni Uchochezi? (NI HOJA YA KUJADILI WALA ISIFIKIRIWE VIBAYA.)
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ugaaagaa umesambaa katika mashamba ya wasambaa hadi wakashangaa. Kaka kale kakuku keupe kako kwako kaka Nini kikusikitishacho Kafa manzese mazishi Sinza Ongeza Nawe Ya kwako tuzidi kujifunza...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wakati mwingine hili neno huwa Linanipa shida sana. Unakuta Mtu anakupigia simu au SMS Kuku salimia. Anauliza uko wapi hatuonani,ukimwambia nimesafiri tu kosaaaa." Unijie na zawadi" ndio...
2 Reactions
1 Replies
7K Views
Salaamu wandugu, Sio kila siku kupondana tu ,siku nyengine kusifiana na kutiana moyo ni bora.Kwa leo ningependa tuwape pongezi kwa kuwataja majina wazee wa umombo uliokwenda shule.Mimi ninaanza na...
11 Reactions
266 Replies
30K Views
"brand that i love" na my favourite brand"
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nini tafsiri sahihi ya kingereza ya neno msukule? Anayejua anisaidie
0 Reactions
24 Replies
13K Views
AFRIKA KUNA MATATA. 1)nawaambia wenyeji,wenyeji wa bara hili Wenye nusu ya uchaji,tena waso wa bahali. Walojawa ufujaji,wala wao hawajali. Nimeuchoka uongo,Afrika kuna matata. 2)machafuko kila...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Nimekutana na Hili neno limeandikwa mahali nikashindwa Kuelewa maana yake naomba wajuzi wa lugha wanisadie "FIKRA ZILIZOCHOKA HUZAA MAWAZO YALIYOCHOKA"
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Academician habari za Jioni hii, tafadhari kwa heshima naomba kuleta hoja yangu mezani kwenu nyie kama Wasomi na watu Weredi wenye ujuzi mbalimbali, Nahitaji kujifunza Lugha za kigeni Mfano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hiki kiswahili katika picha ni sawa?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huu ni wimbo wa salome wa diamond nataka nijue alikuwa anamaanisha nn na je hiki ni kihaya ama lugha gani? au ni kiswahili cha kibantu?? "kwangwaru"
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Anzali tulomo humu,waja wote tulobaki Twaomba kwa ufahamu,kheri kwenu losabiki Wapiganaji kaumu,walumbi wa taufiki Dua kwenu marehemu,mlofia zetu haki Swala zetu zi muhimu,na mola aziafiki...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1.Tano umeishika,nchi umeitikisa hoja na viroja,kote vyasikika taji wamekupatia,sifa tumezisikia. 2.Tano tumekupatia,lkn hatukutegemea machachali wenye hali,mzigo umetuelemea nyuso zimevilia,kwa...
0 Reactions
5 Replies
847 Views
BODABODA. 1)imerahisisha kazi,watu twawahi kazini. Masika na kiangazi,twapita barabarani. Japo watutisha wezi,kuweka mawe njiani. Bodaboda gari langu,japokuwa la hatari. 2)buku pia hata...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Back
Top Bottom