Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
WAAFRIKA TUNA MAMBO. 1. Mwajua mimi sijambo, namshukuru manani, Nimeamka kitambo, shafika kibaruani, Ila kuna kubwa jambo, kuuliza natamani, Hivi nyie hamjambo? Mliopo kisimani. Nawambia si...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama namuona paka,batini aniwangia. Masinzi amejipaka,manganje anichezea. Nganjeiche airuka,uso anitazamia. Moyoni ninamashaka,nikimuona sungura. Shairi:NIKIMUONA SUNGURA. mtunzi:Idd Ninga wa...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
1)enyi makampuni simu,mbona lugha mwachafua. Kusema yanilazimu,lugha yenu nachukia. Kiswahili si kigumu,vipi mnakibomoa. Tena mnakipa sumu,kife huku chakodoa. Ningewa kifimbo cheza,bakora...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1>nauliza wewe nani,na kwangu wataka nini. Uniambie kwanini,kwangu waja fanya nini. Ili nijue kwanini,kwangu umefata nini. Niambie wewe nani,wewe janga duniani. 2>umeingia nyumbani,nyumbani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MBUZI ISOKUNA NAZI? Macho puu yanitoka, nimepigwa na butwaa, Na taya limedondoka, nimebaki kushangaa, Moyo umenishituka, pumzi imenipaa, Mbuzi isokuna nazi, ni bora kuiachiya! Jikoni...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Chiriku wako ni wako, popote pale alipo, Popote huko aliko, mawazoni kwake upo, Ndege huyo ni wa kwako, Chiriku wa kwako yupo, Chiriku yuko tunduni, mbona wewe humuoni? Ni wewe ulimpata...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
jamanieee, hivi tuseme kuwa, kiswahili halisi na cha kufuatwa kama ndo mfano wa kiswahili halisi na kizuri ni cha wapi? mfano, nikianza kama nchi, ukienda kenya, kiswahili chao kimegonjwa, ukienda...
0 Reactions
27 Replies
13K Views
>>Nahisi nipo peponi,nikiona sura yako. Penzi lako la thamani,hakuna mfano wako. Napata hamu moyoni,kushika kiganja chako. Kilichokuwa laini,nalainika mwenzako. Nikuonapo usoni,ni nyororo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunafundisha lugha ya kichina na kifaransa kwa bei nafuu sana. Jua kuwasiliana kwa kichina ili uweze kuwa na biashara nzuri na wageni hasa wachina wanaokuka kwa wingi Tanzania. Piga 0684 085...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
1>kwanza iandae kucha,usinyonge unyayoni. Mchana usiku kucha,zitazame vidoleni. Na vaa vazi la bucha,kwa nje siyo moyoni. Fusho vundo la kuzimu,lifukize kwa mashuke. 2>baraza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husika Na kichwa cha habari hapo juu,nataka kujifunza lugha tofauti Ili niwe mkalimani,kuhusu uhitajika wa wakalimani ktk soko la kazi Hilo sina uhakika nalo ila nikijua hizi lugha nitafurahi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi to every body....!! Katika harakati za maisha ya kila siku migogoro mingi inayotokea huwa inasababishwa na ujumbe unaopatikana kwenye hii statement.."the desire to cheat and the refusal to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu wana JF. Naafahamu neon fund humaanisha Fedha kwa Kiswahili, lakini kuna wakati huwa linamaanisha Mfuko au Fuko (hapa nashindwa kuelewa ni lipi neno muafaka maana kwa mfano IMF huwa kuna...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna siku nilifungua tv nikakutana na wimbo wenye mahadhi ya nyimbo za kienyeji ukiimbwa na dada mmoja mwenyeji wa mkoa wa kagera. Wimbo ulipoisha, mtangazaji akasema:Wapendwa watazamaji, huyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naamini tumekuwa tukijiuliza hili swali na baadhi kupotezea. >>>>> Hili ni moja ya jibu nililokutana nalo; Although English is gender neutral and has no feminine and masculine distinctions...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Wadau naomba kujuzwa maana sahihi ya neno 'kughushi'. Endapo mtu alitumia cheti cha mtu mwingine kuingia sekondari na akasoma mwenyewe hadi chuo kikuu atakuwa ameghushi? Kama ndiyo mnasemaje kwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Wakati mwingine nikisoma maandiko mbali mbali huwa najiuliza ule usanifu wa Lugha waliokuwa nao mababu zetu na wale manju waliosifika zamani umekwenda wapi? Hata nyimbo zinazotungwa siku hizi zina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Najua kuna huu mfumo wa STAKABADHI GHALANI kwa wakulima wa mazao ya kibiashara. Mie mwenzenu ninapitwa na mengi basi naomba anaeufahamu huu mfumo anijuze. Tafadhali tumia lugha rahisi ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Napenda kujua maana halisi ya hili neno #period unakuta mtu anaongea au anachangia mada hasa kidhungu then anamalizia na neno #period napenda kujua huwa linamaanisha nini hasa,,,kuuliza sio ujinga
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1)hakuna tena umimi,kwenye dunia ya sasa. Umoja ndio ukumi,kwa kizazi cha kisasa. Kila wa roho ya ami,atajaliwa na kasa. Ataponzwa na ulimi,kwa kutamani lumbesa. Kama wewe ndio mimi,basi mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom