Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Amani iwe juu yenu wapendwa wote. mwaka 2016 unahitajika kuwa mwaka wa mabadiliko katika fani ya ushairi Tanzania na Afrika ya mashariki kiujumla. mabadiliko hayo yanakuwa katika vipengele...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hapo zamani za kale, kale ile ya umilele. Kale iliyozama hata isitambulike ilipoanza wala kuisha. Haswaa ni kale ya zama za enzi na enzi. Hapo kale basi, palikuwa naye neno, asijulikane alipoanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kuna msemo umeenea sana siku hizi utasikia "chandarua chenye dawa" Je hii ni sahihi?mimi kwa ufahamu wangu finyu nilidhani neno sahihi ni "chandarua yenye dawa"naomba mchango kwa wataalam wa lugha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
When you hear someone using grammar incorrectly, do you make an assumption about his or her intelligence or education? There's no doubt that words are powerful things that can leave a lasting...
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Habar zenu wanajamiii wenzangu nimekwama nilikua naomba msaada kwa anayejua kingerza cha HAPA KAZI TU,,,
2 Reactions
50 Replies
12K Views
When I observe young people passing elders in the street I notice they great them with what sounds like "Ma-La" when greeting Mamas and "Ba-La" when greeting Babas. I was once told it's a show of...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hili neno Nimeliona mara kadhaa humu Jf ila kiukweli sijui maana yake Nisaidieni
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Lugha ndiyo nyenzo muhimu popote pale duniani kujipatia maendeleo.Hakuna nchi duniani imeendelea kwa lugha ya mwenzake Niajabu kumkuta mswahili akichanganya kiswahili na kingereza au mswali ndani...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
1)walikuwa na amani,kabla wao kuingia. Wakisali mjengoni,chuki wakiuchukia. Ila wale mashetani,chuki wakawapandia. Ukaota na vichwa,huku wakiitambua. Wakimbizi wangamia,kwenya bahari ya kifo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JAMANI MAPENZI. Nifafanue mapenzi, nisemayo uchukue, Kwa shairi si utenzi, nataka uyatambue, Huenda bora utunzi, cha mno hoja ujue, Twapenda wasotupenda, mapenzi ndivyo yalivyo. Ni mchezo wa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
UKIONACHO NDOTONI. Kiona choo ndotoni, kiumbe sikitumie, Haja iwe mlangoni, kazana ishikilie, Tena fanya hukioni, shukani siyaachie. Yataka uzingatie, uyaonayo ndotoni. Kiona kiza ndotoni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WASHAIRI TUSILALE. Sanaa ya ushairi ni sanaa ya kale sana na pia ni sanaa inayodumu kwa miaka mingi na pia ni sanaa inayoafanya marika yote bila ya kuleta athari kwa rika lingine na bado marika...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu, Naomba tu kupata ufafanuzi na maana ya maneno Ugumba na Tasa, je maneno haya yana maana moja au ni tofauti kwani nimekuwa napata taabu katika matumizi yake. Sielewi wakati...
1 Reactions
13 Replies
24K Views
1. Alipewa mwanadamu,mnyama zake ni pungufu. Toka zama zama damu,zama zisizo na harufu. Wote twende zamu zamu,ndivyo ataka raufu. Nguvu mwisho wa akili,wajinga hawatambui. 2. Ngumi yako...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
1)kwa tofauti kuona,kufikiri ni maono. Siyo ya kakakuona,kwenye mila malumbano. Ama macho yenye kona,yasiyo na shirikiano. Ukidhani vile hivi,sivyo ndivyo udhanivyo. 2)jiti kavu japo fimbo,hata...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
[07:56, 06/01/2016] Idd Ninga: 1)mwenzenu roho ya uma,yote nikifikiria. Najionea huruma,kwa yote nilotendea. Sina mbele wala nyuma,nahisi nateketea Kama siyo serikali,panya rodi nisingewa 2)yapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
LEO NAVUNJA KIBUBU! 1 Leo navunja kibubu, pesa ninunue khanga, Apendeze mahabubu, kama binti wa kitanga Atokapo awe bubu, washindwe wano jigonga Mniache nayajenga, mkome kunita zoba. 2 Sasa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
MAVI YA MBUZI. 1. Nilidhani ni karanga, kumbe ni mavi ya mbuzi, Sikudhani ni pakanga, katika wangu mchuzi, Kuamini mtu janga, jiandae na mauzi. Kuna mambo ya kuchunga, wakati wa maamuzi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
"When the solution is simple, God is answering." Hii ni Quotes ya Best kabisa Theoretical physcist A.Eistean ww unaitafisiri vipi
0 Reactions
2 Replies
3K Views
KARIBU JAGINA KARIBU. 1 Karibu ndugu karibu, jisikie u nyumbani, Keti upate kababu, toa shaka mtimani, Umepewa taratibu, soma ziweke kitwani. Jagina karibu ndani, karibu ufanye yako. 2 Jina la...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Back
Top Bottom