Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
umbo alokupa Mungu, silifanyie mchezo lisikizie uchungu, usilitie uozo sijitandie ukungu, kwa Mungu tapata tuzo shukurani zipeane, kwa kuzawadiwa umbo -----------------------------------...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
NAMPENDA MMOJA, NAYE ANAJUA. Kiumbe silete hoja, sikiza nakuambia, Nimpendaye mmoja, moyoni alonitia, Hao unao wataja, si wangu wanizushia. Jina sitakutajia, nimpendaye mmoja. Apendeza bila...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mume wa shangazi utamwitaje? pia mke wa mjomba utamwitaje?
0 Reactions
36 Replies
14K Views
Katika kupita pita maeneo ya hosipiyali na vyuo vya afya nimegundua kuwa madaktari wengi wanapendda sana kuongea kingereza. Mwanzo nikiwa mazingira ya hospitali ya KCMC na wakati mwingine...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Nataka kujua au kuelewa nini maana ya kudedicate kitu kwa mtu au kitu, yaani mfano msanii akipata tuzo utasikia, naidedicate tuzo hii kwa mama, mwanangu au rafiki. Je hili...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana wa umri wa miaka 23 nimetokea kupenda sana lugha yetu ya kiswahili na napenda siku moja niwe mwandishi mahiri wa fasihi. Naombeni msaada na ushauri nifanye nini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1> Ndevu zake ni sharubu,shingoni zamzunguka.Haziwezi kusharabu,tabia yake ya paka.Toka enzi za mababu,simba aliheshimika. Simba dume ni mkali,ila mvivukuwinda. 2> Mwili wake ni mkubwa,ulojawa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilitengeneza BASIC RULES for the use of ARTICLES in English, pamoja na mazoezi na majibu. Unaweza kupakua Document kutoka webpage hiyo: English Grammar | somabiblia Zipo websites nyingine...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
msaada jamani.....eleza mapungufu ya nadharia ya sarufi mapokeo katika sarufi ya kiswahili
1 Reactions
2 Replies
7K Views
1)kikali kisu cha ng'ata,mwite mbwa ujutie. Baragumu bini tata,kizibao jivalie. Kipigo pu chini chali. 2)mkia atapofyata,muoga yeye si ndie. Sivyo anavyofuata,ngoja ajikimbilie. Kipigo pu chini...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Useful Application. طبيق مفيد English to Arabic (Arabic to English) Translator. المترجم انجليزي عربي (عربي إنجليزي) . Download it here English Arabic Translator - Android Apps on Google Play
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Wakuu, Naomba ufafanuzi na sababu za msingi.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za mchana wana JF, Ningependa kujua maaana halisi au tafsiri ya neno tulia.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
, kwa wale Wakuuwaliosoma kitambo wataikumbuka hii; labda haikumake sense by that time ila it does now.. 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunaanza bila kuchelewa Kukoropa---------- Kupiga deki Kunya---------------Kunywa Mbele----------------Kabla Kugoma-------------Kunyoosha nguo au kupiga pasi Kinono---------------Kongolo...
2 Reactions
39 Replies
16K Views
Kama wewe ni mpenzi wa nyimbo za kilingala, na ungependa kujua kilingala, waweza kujifunza kupitia Youtube.
2 Reactions
1 Replies
6K Views
KUMBE TAMBARA. 1)mwanzo nilipokiona,nikiwa siambiliki. Niliona amenona,kikinukia iliki. Bichwa langu likatuna,na mkono sishikiki Nilijua hajaguswa,kumbe haswa ni tambara. 2)kile...
1 Reactions
0 Replies
512 Views
1.Locutionary. 2.illocutionary 3.perlocutionary naomba kufahamu maana..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naomba nisaidiwe hili neno maana yake hasa nini?
0 Reactions
6 Replies
16K Views
MSALITI NI HALUA. 1)vitoto mlikataa,tulisema baba yenu. Nyinyi kwake ni uozo,kama karanga ya mbuzi. Pindi mnapozubaa,huwaongoza mwenzenu. Msaliti ni halua,vibwana nyinyi vibua. 2)yeye...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Back
Top Bottom