Katika kupita pita maeneo ya hosipiyali na vyuo vya afya nimegundua kuwa madaktari wengi wanapendda sana kuongea kingereza.
Mwanzo nikiwa mazingira ya hospitali ya KCMC na wakati mwingine...
Habari zenu wakuu,
Nataka kujua au kuelewa nini maana ya kudedicate kitu kwa mtu au kitu, yaani mfano msanii akipata tuzo utasikia, naidedicate tuzo hii kwa mama, mwanangu au rafiki.
Je hili...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 23 nimetokea kupenda sana lugha yetu ya kiswahili na napenda siku moja niwe mwandishi mahiri wa fasihi.
Naombeni msaada na ushauri nifanye nini...
1> Ndevu zake ni sharubu,shingoni zamzunguka.Haziwezi kusharabu,tabia yake ya paka.Toka enzi za mababu,simba aliheshimika.
Simba dume ni mkali,ila mvivukuwinda.
2> Mwili wake ni mkubwa,ulojawa na...
Nilitengeneza BASIC RULES for the use of ARTICLES in English, pamoja na mazoezi na majibu.
Unaweza kupakua Document kutoka webpage hiyo: English Grammar | somabiblia
Zipo websites nyingine...
1)kikali kisu cha ng'ata,mwite mbwa ujutie.
Baragumu bini tata,kizibao jivalie.
Kipigo pu chini chali.
2)mkia atapofyata,muoga yeye si ndie.
Sivyo anavyofuata,ngoja ajikimbilie.
Kipigo pu chini...
Useful Application.
طبيق مفيد
English to Arabic (Arabic to English) Translator.
المترجم انجليزي عربي (عربي إنجليزي) .
Download it here
English Arabic Translator - Android Apps on Google Play
, kwa wale Wakuuwaliosoma kitambo wataikumbuka hii; labda haikumake sense by that time ila it does now..
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili...
Tunaanza bila kuchelewa
Kukoropa---------- Kupiga deki
Kunya---------------Kunywa
Mbele----------------Kabla
Kugoma-------------Kunyoosha nguo au kupiga pasi
Kinono---------------Kongolo...
MSALITI NI HALUA.
1)vitoto mlikataa,tulisema baba yenu.
Nyinyi kwake ni uozo,kama karanga ya mbuzi.
Pindi mnapozubaa,huwaongoza mwenzenu.
Msaliti ni halua,vibwana nyinyi vibua.
2)yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.