Ndugu wanajukwaa asalaamu!
Naomba nikiri kuwa kiswahili cha kujibia mtihani huwa najitahidi kiasi fulani ila leo nimekwama
katika aina za maneno hili neno "nini " katika sentensi hii ni aina...
Thamani ya Samahani.
1)mbona tendo dogo kumbe,vipi lipigwe na nondo.
Ama ni funika kombe,yafa mafunzo ya jando.
Au macho ya kinyambe,kuona ona mafundo.
Hivi neno samahani,halina tena samani...
Haya maneno mawili hunipa shida sana kwenye kuyatumia. Hebu nisaidieni kuhusu matumizi yake. Kwa mfano "jambo hili ni kwamba" au "jambo hili ni kuwa" sentensi hizo zina maana tofauti? Nataka...
Mapembelo mwebhoni mwemukhemanyile ekhekhenga mwe mule mu litesu ele.
wakuu nimesikia kuwa eti lugha hii asili yake ni Kongo. Hebu mwenye uelewa wa asili ya lugha ya kikinga na wakinga wenyewe...
Morning everyone. Hope all is well with you
Naskitika sana kuona vijana wasomi wa vyuo vikuu hawawezi hata kujieleza au kuongea kiingereza kilichonyooka. Na hii inatoka na mtindo wa maisha ( life...
PESA NA ELIMU.
1) Tangu jua kuchomoza,nimetanga kwenye njia,
Kwamba tumbo kuijaza,ndilo hasa langu nia,
Niwe sako na ruwaza,na riziki kujipatia,
Jihatada hata ingawa,haiondowi kudura.
2)vipi...
Bwana Forum,
Nimewasalimu na kuwapa pole ya shughuli kwa kila mmoja kwa upande wake.
Nachukua nafasi hii kuomba mnipe ufafanuzi wa maneno yafuatayo kisha tutayajadili moja baada ya jingine...
BAHARI YA MAHABATI.
1)bahari inanimeza.
Wakti mwezi wa chomoza.
Nahisi rufu ya viza.
Bani unanifukiza.
Mchana tena wa kiza.
Bahari ya mahabati,mapenziyo yanishika.
2)mahabati wayo nipa...
Sabakher Wadau!
Nipo zenji kuchukua kikaz! Nimekuja kijiwe cha wazee kupoteza muda!kuna binti kapita Kuna mzee kasema Samaki Pande! Naona Wote Wamecheka! Nin maana yake?
1)Afrika yetu ya leo,siyo kama ya jana.
Binadamu wauwana
Kikatili wachinjana.hakuna hurumiana .
Wote wanakalaumyana.
Afrika yetu ya kesho,haitokua ya leo.
2)Afrika yetu ya leo,siyo kama ya jana...
Nimemsikia mara kadhaa mheshimiwa Rais anapohutubia anasema "nachomekea tu" Miongoni mwa mara nilizomsikia ni pamoja na wakati wa mkutano wa wakuu wa Afrika Mashariki ambapo baada ya kuongea...
NYUMBU AMUONGOZA PUNDA.
1)punda mlia mjanja,ameshashikwa mkia.
Kakamtwa kila nyanja,anaujanja alia.
Ameporwa ukiranja,kimya kimya atulia.
Nyumbu amwongoza punda,kilio chini kwa chini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.