Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
MBWA AMEKATA KAMBA. 1)waondoke na waende. Vibwengo hawa vimende. Wale wachukia tende. Wapenda nchi umande. Mbwa amekata kamba,bada ya kunyimwa nyama. 2)waende na waondoke. Waache kimya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
PANYA MJANJA. 1)Tulidhani wewe mwema,kumbe kiburi mdudu. Siyo mtu ni mnyama,uliekufa kibudu. Timua mkata pema,hakuna wa kukumudu. Ondoka panya mjanja,ewe joka mataifa. 2)dunia wauma...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Ndugu wanajukwaa asalaamu! Naomba nikiri kuwa kiswahili cha kujibia mtihani huwa najitahidi kiasi fulani ila leo nimekwama katika aina za maneno hili neno "nini " katika sentensi hii ni aina...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Thamani ya Samahani. 1)mbona tendo dogo kumbe,vipi lipigwe na nondo. Ama ni funika kombe,yafa mafunzo ya jando. Au macho ya kinyambe,kuona ona mafundo. Hivi neno samahani,halina tena samani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu neno hili nalisikia kwa wasanii wengi wa bongo fleva lakini cjawai pataa maana yake natumaini mna lifahamu "" AIYOLA""
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya maneno mawili hunipa shida sana kwenye kuyatumia. Hebu nisaidieni kuhusu matumizi yake. Kwa mfano "jambo hili ni kwamba" au "jambo hili ni kuwa" sentensi hizo zina maana tofauti? Nataka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mapembelo mwebhoni mwemukhemanyile ekhekhenga mwe mule mu litesu ele. wakuu nimesikia kuwa eti lugha hii asili yake ni Kongo. Hebu mwenye uelewa wa asili ya lugha ya kikinga na wakinga wenyewe...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Morning everyone. Hope all is well with you Naskitika sana kuona vijana wasomi wa vyuo vikuu hawawezi hata kujieleza au kuongea kiingereza kilichonyooka. Na hii inatoka na mtindo wa maisha ( life...
11 Reactions
117 Replies
7K Views
PESA NA ELIMU. 1) Tangu jua kuchomoza,nimetanga kwenye njia, Kwamba tumbo kuijaza,ndilo hasa langu nia, Niwe sako na ruwaza,na riziki kujipatia, Jihatada hata ingawa,haiondowi kudura. 2)vipi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Bwana Forum, Nimewasalimu na kuwapa pole ya shughuli kwa kila mmoja kwa upande wake. Nachukua nafasi hii kuomba mnipe ufafanuzi wa maneno yafuatayo kisha tutayajadili moja baada ya jingine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWANANGU SEMA AMINI. 1 Mwana ninaye kupenda, naomba sema amini, Mungu anaye tulinda, akukinge na majini, Wale wanao kuwinda, Rabi awabwage chini. Namuomba Rahmani, akupe walau shinda. 2 Uvune...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
BAHARI YA MAHABATI. 1)bahari inanimeza. Wakti mwezi wa chomoza. Nahisi rufu ya viza. Bani unanifukiza. Mchana tena wa kiza. Bahari ya mahabati,mapenziyo yanishika. 2)mahabati wayo nipa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu ma great thinkers namkuje huku tafadhari mniambie kuwa chakula cha UGALI kinaitwaje kwa kimombo? zawadi itakuhusu.
1 Reactions
101 Replies
32K Views
Sabakher Wadau! Nipo zenji kuchukua kikaz! Nimekuja kijiwe cha wazee kupoteza muda!kuna binti kapita Kuna mzee kasema Samaki Pande! Naona Wote Wamecheka! Nin maana yake?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
1)Afrika yetu ya leo,siyo kama ya jana. Binadamu wauwana Kikatili wachinjana.hakuna hurumiana . Wote wanakalaumyana. Afrika yetu ya kesho,haitokua ya leo. 2)Afrika yetu ya leo,siyo kama ya jana...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
SUNGURA KACHOMOKA. 1)Wameona walobisha,taratibu wanakaa. Nafasi waliipisha,walipowasha mkaa. Tufe wakabiringisha,kwa uzuri wa chokaa. Sungura amechomoka,nyumbu wanatapatapa. 2)kiti moto...
0 Reactions
7 Replies
968 Views
mwenye kujua maana ya neno " NDICHI"
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habar wa jf nimepita mahal nikakutana na neno "wanyama wanao puruka" wataalam nisaidieni hapo
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Nimemsikia mara kadhaa mheshimiwa Rais anapohutubia anasema "nachomekea tu" Miongoni mwa mara nilizomsikia ni pamoja na wakati wa mkutano wa wakuu wa Afrika Mashariki ambapo baada ya kuongea...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
NYUMBU AMUONGOZA PUNDA. 1)punda mlia mjanja,ameshashikwa mkia. Kakamtwa kila nyanja,anaujanja alia. Ameporwa ukiranja,kimya kimya atulia. Nyumbu amwongoza punda,kilio chini kwa chini kwa...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Back
Top Bottom