NIKO MWENYEWE KITANDANI.
Barua hino sichane, tena situpe jaani,
Kila siku uione, uipime kwa mzani,
Saahu vitu vingine, si mahaba yetu hani,
Japo mithili ya tone, yakukae mtimani,
Nataraji...
Neno hili maarufu katika utawala wa Dr Magufuli lina historia ndefu sana. Neno hili lilitumika tangu enzi za Agano la Kale. Ukisoma kitabu cha Nabii Zakaria 13:3 utaona jinsi watu waliokuwa...
Hudi huda adil haji.
1)mwanzo wa kale zamani,ni ngano za kilingeni.
Kale sasa si thamani,kwa jamii za tumboni.
Tungo tata matatani,manju bwana ulingoni.
Hudi huda adil haji,zama zamu zamzam...
Salaam wakuu.
Naomba kujuzwa maana ya maneno kutambua,kujua,kufahamu na kuelewa.Maana watu wamekuwa wakichanganya kwenye mazungumzo maneno haya na wakati mwingine kuleta tafrani.Mfano mtu anaweza...
binafsi huwa sipendi kusalimiwa au kusalimia SHIKAMOO. sababu kubwa ni historia ya neno lenyewe kuwa la enzi za utumwa "NIKO CHINI YA MIGUU YAKO" lakin ningependa kumsalimia kwa adabu...
MAAJABU YA AMBONI.
1)ni ya ajabu mapango,kwa mipango ya pangika.
Na maajabu milango,iwezayo ingilika.
Anza kufanya mpango,nawe uweze kufika
Maajabu ya amboni,nawe enda tembelea.
2)shujaa...
Siku hizi katika lugha ya kimjini mjini kwa maana ya lugha isiyo rasmi umbea unaitwa ubuyu, ningependa kujua kwasababu gani umbea siku hizi unaitwa pia ubuyu?
MAJIPU BUBU.
1) Kwenye msiba wa mamba chura samaki na wamo.
Wapo wakusoma namba,kambale changu na yumo.
Kimya kupiga jaramba,bubu haoni mvumo.
Yote ni majipu bubu,ngoja yaive uone
2) Jipu...
NIJUA KAA LA MOTO.
1)Ni jivu linatutisha,vipi tunadhani moto.
Ni figa lajisafisha,lije kutoa uoto.
Ten linajing'arisha,liwe mweupe uroto
Nijua kaa la moto,kumbe jivu la baridi
2)kumbe...
Je wewe waweza kuzungumza kwa ufasaha lugha ngapi? Lugha mbili?(ya kabila lako na kiswahili?) Lugha tatu? (ya kabila lako, kiswahili na kiingereza?) Lugha nne? (ya kikabila, kiswahili, kingereza...
Unapojua ukweli, kisha sikiza urongo,
Ni raha utakubali, kumsikiza mrongo,
Mara lile mara hili, ushasoma lake lengo,
Tulia mwanangu tuli, sijaribu toa nyongo.
Mwana sikiza urongo, zingatia ilo...
JESHI LA WABUGURUSI.
1)Awakarimu manani,mola wetu wa mbinguni.
Awape nyingi imani,na amani za nyoyoni.
Mzidi kumuamini,namumtie rohoni.
Jeshi la wabugurusi,lisonge mbele zaidi.
2)makamanda...
1)natamani niseme,shida sheria bandia.
Kama kivuli cha umeme,kesi watakupatia.
Wakuone paka shume,eti tusi kuwambia.
2)natamani wajue,maisha kufikiria.
Hata kama wajiue,hakuna wakuwaokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.