Habari,
Mimi ni mkufunzi, napenda sana kusafiri ndani na nje ya Tanzania. Mwaka jana nilibahatika kutembelea vyuo mbalimbali Ulaya, nikaona wenzetu wa nchi jirani wanavyofundisha masomo...
The
THE CASUALTIES
John Pepper Clark
The casualties are not only those who are dead;
They are well out of it.
The casualties are not only those who are wounded,
Thought they await burial by...
These are some of Sheng za Nairobi. Hatujapogwa jams kwenye national language, tunaelewa Sheng.
1.kubebwa tumboni miezi tisa =hiyo ni gondo.
2.ukitwa dwanzi =ni sawa na umeitwa fala
3 . kitu...
Wakuu,
Kuna anayefahamu maana ya msemo 'waja leo waondoka leo'? Kama sijakosea watu kuutumia kuzungumzia mji wa Tanga.
Maana yake ni nini? Ningependa kujuzwa tafadhali.
Hasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu tumekuwa tukisikia Kiswahili kibovu kikitumiwa na baadhi ya watangazaji wa ITV na hasa matumizi ya neno "Lakini". Kwa mfano, mmoja wao alisema...
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..
Wakati msemo huu unaanza kutumika, watu walikuwa wanasema " Tunakula Bata ". Sasa hivi wameongeza na msemo mwingine, wanasema " Tunakula bata mpaka kuku wanaona wivu. Hawa...
Shikamoo kiswahili!!!
Lipi ni neno sahihi, maana watu wng wanachanganya;
Walimfata, walimfwata, walimfatwa, walimfuata.
Karibu utoe neno lingine ambalo watu wengi wamekua wakichanganya bila...
wakati Nasoma Shahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatarishi. Hata vitu...
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu.
Akanijibu 21002.
Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.