Habari wana wa Nyerere?
Hilo neno huwa linamaanisha nini? Maana watu wakiwa wanaongea utaskia kwa mfano wanasema haya ni mabasi ya mikoani, au...mizigo ya mikoani. Nk.
Tabia hii IPO sana hapa...
Mtunzi mariama ba:
Madhari:senegal
hiki ni kitabu kina cho zungumzia ukombozi wa mwanamke katika jamii siyo tu katika nchi ya senegali bali dunia nzima kwa ujumla hivyo...
Naomba maneno yafuatayo mnisaidie kuniandikia matamshi yake kwa kihaya. NAKUPENDA SANA MPENZI WANGU, NAOMBA UNIOMBE RADHI KWA MANENO YAKO MABAYA ULIYONITAMKIA ILI TUWEZE KUWA PAMOJA. NA KAMA...
Waswahili wengi hufikiri kwamba hakuna maana halisi ya computer na badala yake wanatohoa neno hilohilo nakuandika "Kompyuta". Hivyo ni makosa maana halisi ya Computer ni neno "NGAMIZI" na kwa...
KASI YA MAGUFULI IMEWAPOTEZEA DIRA YA UKAWA.
Tangu rais Magufuli aanze kututumikia kama rais amefanya mambo mengi na karibu mambo yote hayo yamekuwa yakipingwa na UKAWA.
Rais alianza kufukuza...
Naomba kueleweshwa maana ya neno Ujasusi manake kuna Thread humu inaelezea ujasusi nnchini wengine tumetoka kapa, hili neno geni kwetu, au mwenye tafsiri yake kiingererza ili tuligoogle. Nashukuru.
FARASI FUNGUA KAMBA.
1)Hauna kichwa farasi,vipi ikutese kamba.
hujatafuta nafasi,mbona kichwa umefumba.
Wa waza chanya na hasi,ama wacheza marimba.
Farasi fungua kamba,hicho kiti karatasi...
PENZI JINI HATARI.
1.Penzi ni jini hatari, wa kutesa na kuua,
Huzibeba zote shari, za kiangazi na mvua,
Nina kuomba Qahari, miye asije niua,
Mahaba yanizuzua, mtima wata ghururi.
2.Penzi mganga...
PENZI JINI HATARI.
1
Penzi ni jini hatari, wa kutesa na kuua,
Huzibeba zote shari, za kiangazi na mvua,
Nina kuomba Qahari, miye asije niua,
Mahaba yanizuzua, mtima wata ghururi.
2
Penzi mganga...
Je, Kuna neno moja kumaanisha "addiction" au "addict" kwa kiswahili? Kwa mfano ni kama mtu ambaye huwa anahitaji kilevi au kitu chengine sana na hawezi kataa kisaikolojia. Bado natafuta neno...
Habari wapendwa wana-JF,
Mimi siku hizi nimefikwa na wazo la kutengeneza tongue twisters,
sasa ni mkusanyiko wangu kutoka mtandao lakini ziko rahisi mno.
naomba tuchemsha bongo pamoja na kuziunda...
Wakuu naomba kujifunza lugha ya Kikurya. Kwa mwenye ujuzi na hili naomba atupie maneno ya kiswahili pamoja na tafsiri yake kwa kikurya au kinyume chake.
Tupia maneno mengi kwa kadri uwezavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.