Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
SINA NDUGU MJINI(rudio). 1)urafiki siyo hapa,acheni hilo ni nene. Mwenze nisitoke kapa,mje ruka kisenene. Vaeni kanda malapa,kimya kimya muuchune. Mjini mi sina ndugu,kelele ze si za chura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji ushuhuda kwa MTU yeyote aliye na ushahidi kuhusu kujua kuongea English fasaha . Nahitaji kusoma kozi ya uhakika ila sijawahi kupata ushuhuda wa aliyefanikiwa.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
1)naanza kuwasalimu,kwa jina lake manani. Salamu kwetu muhimu,juu yenu iwe amani. Mola wetu mkarimu,atupe nyingi imani. Leo ni siku muhimu,wanawake duniani. 2)wanawake ndio nguzo,hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeusikiza wimbo uliyo na hayo maneno,lakini pia naona ni msemo unaopata watumiaji wengi ila bado sijajua maana take haswaa,mwenye kujua tafadhari
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Kiswahili sahihi hii tarakimu inaitwaje? 100,000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninaapa kwa mababu, na mizimu ya kikwetu, Natoa leo sababu, roho yangu iwe kwatu, Ni hili lilonisibu, kunifedhehesha utu, Walilokula wengine, tunda hili mimi sili! Nimepewa tunda hili, la bure...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
KILIMO NI UTI WETU. 1)Alipoumbwa adamu,alikabidhiwa jembe. La kale la zama damu,alime hadi maembe. Kilimo ndie nidhamu,ugumu katwa na wembe Kilimo ni uti wetu,dira ya maendeleo. 2)lima hadi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Mwenye namba ya Ras simba au sehemu ambayo anapatikana naomba nijulishe
0 Reactions
17 Replies
5K Views
1)mbona unakunja uso,kabla ya mimi kunena. Ukishanyimwa mnuso,wa kwanza toa laana. Pole huo ni mguso,kile kimezindukana. Kikiliwa cha legea,kitumikapo cha nuka. 2)kione kwanza kilivyo,pata pata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi hadithi maarufu kama Karumekenge zilikuwa kwenye vitabu? naweza pata wapi vitabu vyake? Anaejua hadithi hizi anisaidie Yohhana Mjinga Karumekenge Katope...... na zingine
0 Reactions
3 Replies
5K Views
‘Namaste’ or ‘namaskar’ is the Indian way of greeting each other. Wherever they are – on the street, in the house, in public transport, on vacation or on the phone – when Hindus meet people they...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Unapoenda kumtembelea Zegamba kwake ukamuulizia ukaambiwa yupo ndani. Nawe uhitaji kuingia ndani. Je, utamwambia; 1.Toka nje ama 2.Toka ndani lipi sahihi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mfano mwenye nyumba akikwambia, ukitaka kupanga nyumba yangu unapashwa uwe na "kigezo" hichi, uwe umeoa. Ivi hilo si sharti?
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Hivi karibuni muheshimiwa JPM amesema mzanzibari yeyote akileta fyoko fyoko atashugulikiwa. Nini maana ya fyoko.
1 Reactions
2 Replies
4K Views
HALIMA MDEE NIPEPEE. Ewe Halima Mdee, leo nataka kunena, Simama niendelee, tuweze kumalizana, Waonaje usogee, Njano nipate nong'ona, Yanifukuta waona, sijiwezi nipepee Naomba yakuelee, haya...
1 Reactions
1 Replies
871 Views
KUKUPA TENA SAHAU! 1. Ulinidharau wangu, maudhi kunitendea, Na ule wivu mwenzangu, siwezi kukurejea, Kutonesha donda langu, kiumbe umezoea, Fahamu nina matungu, yote sitaelezea. Umeikumbuka ndizi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nini maana ya maneno. 1.Mtu na kaka yake 2.Mtu na baba yake. 3.Mtu na mama yake. 4.Mtu na dada yake. 5.Mtu na mdogo wake. 6.Mtu na shangazi yake. 7.Mtu na bibi yake. Na maneno mengine kama hayo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wapendwa, nimeweka wimbo wa CHURA wa JKT Taarab kwenye lik hii hapo chini: https://www.jamiiforums.com/entertainment/208761-chura-jkt-taarab-walitisha-sana-enzi-hizo.html naomba tujadili...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Nilikua naomba kuuliza nini maana halisi ya neno Mpole. Watu wengi tunashindwa kutofautisha kati ya Mpole na Mkimya. Mimi ni mmoja wao. Msaada tutani.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom