SINA NDUGU MJINI(rudio).
1)urafiki siyo hapa,acheni hilo ni nene.
Mwenze nisitoke kapa,mje ruka kisenene.
Vaeni kanda malapa,kimya kimya muuchune.
Mjini mi sina ndugu,kelele ze si za chura...
Nahitaji ushuhuda kwa MTU yeyote aliye na ushahidi kuhusu kujua kuongea English fasaha .
Nahitaji kusoma kozi ya uhakika ila sijawahi kupata ushuhuda wa aliyefanikiwa.
1)naanza kuwasalimu,kwa jina lake manani.
Salamu kwetu muhimu,juu yenu iwe amani.
Mola wetu mkarimu,atupe nyingi imani.
Leo ni siku muhimu,wanawake duniani.
2)wanawake ndio nguzo,hilo...
Ninaapa kwa mababu, na mizimu ya kikwetu,
Natoa leo sababu, roho yangu iwe kwatu,
Ni hili lilonisibu, kunifedhehesha utu,
Walilokula wengine, tunda hili mimi sili!
Nimepewa tunda hili, la bure...
KILIMO NI UTI WETU.
1)Alipoumbwa adamu,alikabidhiwa jembe.
La kale la zama damu,alime hadi maembe.
Kilimo ndie nidhamu,ugumu katwa na wembe
Kilimo ni uti wetu,dira ya maendeleo.
2)lima hadi...
1)mbona unakunja uso,kabla ya mimi kunena.
Ukishanyimwa mnuso,wa kwanza toa laana.
Pole huo ni mguso,kile kimezindukana.
Kikiliwa cha legea,kitumikapo cha nuka.
2)kione kwanza kilivyo,pata pata...
Hivi hadithi maarufu kama Karumekenge zilikuwa kwenye vitabu?
naweza pata wapi vitabu vyake?
Anaejua hadithi hizi anisaidie
Yohhana Mjinga
Karumekenge
Katope......
na zingine
‘Namaste’ or ‘namaskar’ is the Indian way of greeting each other. Wherever they are – on the street, in the house, in public transport, on vacation or on the phone – when Hindus meet people they...
Nini maana ya maneno.
1.Mtu na kaka yake
2.Mtu na baba yake.
3.Mtu na mama yake.
4.Mtu na dada yake.
5.Mtu na mdogo wake.
6.Mtu na shangazi yake.
7.Mtu na bibi yake.
Na maneno mengine kama hayo...
wapendwa,
nimeweka wimbo wa CHURA wa JKT Taarab kwenye lik hii hapo chini:
https://www.jamiiforums.com/entertainment/208761-chura-jkt-taarab-walitisha-sana-enzi-hizo.html
naomba tujadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.