Naomba maoni yenu juu ya hoja hii :- Kati ya kiswahili na kiingereza, ipi ni lugha nzuri inayofaa kutumika kufundishia na kujifunzia Katika shule za sekondari na vyuo vikuu hapa Tanzania?
Kuna issue fulani naifuatilia huko Bongo, halafu mojawapo wa vigezo ni kwamba, lazima mhusika awe anaongea Kingereza kwa ufasaha. Haya hapa maneno ya tangazo lenyewe "Strong communication skills...
Shuleni milijifinza kuwa Kiswahili ni kibantu.Kimekopa(Kutohoa) maneno kutoka Kiarabu Na lugha nyinginezo mf. Kiingereza (Shati,Sketi, nk) Kichina(Chai)
Kijerumani (Shule, hela nk)
Je kwa nini...
Sijui bado ni kwanini baadhi watanzania wenzangu mpaka sasa wameshindwa kutofautisha kati ya r na l. Hiyo huwa inanikera sana.
Nikiri hata girlfriend wangu ana huo uzembe. "Jamani laha sana"...
NGURUWE NA PUNDA.
1)Ana sura ya huruma,na akili za kichwani.
Ye mjanja kama kima,ila muwizi jangwani.
Nembo yake kama puma,mruka porini shimoni.
Nguruwe mteke punda,umbebeshe mizigo.
2)hawezi...
Kiswahili fasaha ni kipi katika ya methali na mithali? Au ni vitu viwili tofauti? Kwakuwa? kwenye Bible ni Mithali lakini kwenye vitabu vyetu vya elimu dunia ni methali
Wapo wapi waandishi mashughuli? Nauza hati miliki ya vitabu vyangu, mwenyewe uhitaji tuwasiliane 0652262797
Muandishi mwenye shida na mlumbi wa lugha anae hakiki kazi za fasihi kwa bei nafuu nae...
Ufanye uende mbio, kaskazi mashariki,
Ubebe na kuku kwio, kwa ndumba unihiliki,
Yote yawa kifagio, kwa uwezo wa Maliki,
Jalali sio babio, elewa sihadhiriki.
Kiso chako hukishiki, hata kwa lake...
KAMUSI.
Useful English to Swahili - Swahili to English Translator, with audio.
Baada ya ku translate Inasoma "translated words" kwa sauti.
Kwa Kiswahili na kwa Kiingereza.
Download it...
Useful English to Swahili - Swahili to English Translator, with audio.
Baada ya ku translate Inasoma "translated words" kwa sauti.
Kwa Kiswahili na kwa Kiingereza.
Download it from the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.