Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hii sentensi huwa naiskia sana kwenye vyombo vya habari hususani BBC "siasa za mrengo wa kushoto..au mrengo wa kulia" inamaanisha nini hasa?
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Kwajwa: Kwaja ujio wa haja, mno uliongojewa Ulosemwa ni kangaja, wasiwasi ulozuwa Mngoji sechoka ngoja, na mikono kunyanyuwa Kutwa nilitarajia, sena hakika yatawa...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Kiswahili lugha yangu,Tanzania nchi yangu nayoipenda.Ninajivuni kujifunza misamiati mipya .KARIBUNI WANAJF TUJIVUNIE LUGHA YETU.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii sentensi huwa naiskia sana kwenye vyombo vya habari hususani BBC "siasa za mrengo wa kushoto..au mrengo wa kulia" inamaanisha nini hasa?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1 Mama mama, sorole nyumbu nyama yetu. Mwanangu siye nyumbu siye, Nyumbu mkia wa singa, mrefu kama farasi, Hatembei kwa kuringa, haruki kibelewasi, Ya’ni si kama kinyonga, huenda kwa mwendo kasi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watumiaji wengi wa Kiswahili, nyakati fulani wanatumia maneno ya Kiingereza mahali ambapo wangetumia neno la Kiswahili wakidhani kwamba hakuna neno la Kiswahili ambalo linaweza kuchukua nafasi ya...
3 Reactions
13 Replies
12K Views
UFUNUO WA VILAZA. 1)nasikia mirindimo,na sauti za vilio. Yanaungua machumo,vinafungwa kimbilio. Vinapungua vipimo,nguvu yawa egemeo. Ufunuo wa vilaza,yohana nauandika. 2)wa kale angali...
0 Reactions
1 Replies
734 Views
Limetumika bungeni na naibu spika kumtuliza mbunge kwa kumuita bwege baada ya kutoridhshwa na mwenendo wake maana yake hasa ni nini hili neno? Pia Arusha limempekeka raia mahakamani kwa kumuita...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Tafadhali alie na uwezo huo, mwenye kufanya kazi kwa uangalifu kwa kuzingatia kanuni za ufasiri, ani pm.
0 Reactions
0 Replies
721 Views
USHAANZA KUBORONGA. 1)kocha alikusaliti,peke yako ukacheza. Ukashinda mikakati,ukiwa na wale wenzako. Zikashinda harakati,na likapona anguko. Mbona waanza boronga,tofali limekushinda. 2)bawabu...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Database kwa kiswahili ni kanzi data.........
0 Reactions
9 Replies
21K Views
nimepata kuwasoma wakuu kama akina acid, kiranga, rev masanilo na wengineo wakitumia neno 'vilaza' katika hoja zao kuonesha mwenendo fulani { pengine kifikra?}. nimejaribu kutumia context kuelewa...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Wasalaam! Naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea kisayansi) mchaichai, kwa wale ambao wamewahi kunywa chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani. Si maana nataka jina...
1 Reactions
29 Replies
18K Views
Rais niombe radhi, tena iwe hadharani, Kauli yako yakuudhi, imekera si utani, Leo nakupa waadhi, uandike ukutani, Nasi tuna yetu hadhi, tulo feli darasani, Mimi kunita kilaza, rais niombe radhi...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Rais niombe radhi, tena iwe hadharani, Kauli yako yakuudhi, imekera si utani, Leo nakupa waadhi, uandike ukutani, Nasi tuna yetu hadhi, tulo feli darasani, Mimi kunita kilaza, rais niombe radhi...
1 Reactions
0 Replies
925 Views
Tumbo laniunguruma, ninaharisha matata, Kichwa nacho chaniuma, kitovu kinanikata, Kila siku mie homa, ngozi yote yafukuta, Si bure nimeupata, hizi dalili za ngoma. Mbavu zina chomachoma, mgongo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WanaJF ninaomba 2saidiane mana 2libisha sana kiasi kwamba 2meshndwa kuelewa nan yupo sawa
1 Reactions
63 Replies
51K Views
Waheshimiwa wa Jukwa la Lugha: Natumaini hamjambo nyote. Mimi ni mfasiri wa Kiswahili kwenda Kiingereza. Leo nimekwama... ninahitaji kufasiri maneno hayo mawili: waya na seng'enge - katika...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ndugu Wanajamvi, Naomba nieleweshwe maana ya neno Kitoko kwa lugha ya kikongo. Kuna mtangaji wa redio Uhuru fm pia anajiita Mwasikitoko. Kwa kilugha chetu huku Umakondeni ni tusi kubwa sana...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kuna watu kwenye mitandao wanaharibu sana lugha ya kiswahili. Hasahasa kwenye maneno yanayo husu "H" unakuta kwenye kuweka H mtu anaiondoa au anaweka H pasipo takiwa. Ninaomba tukifunze matumizi...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom