THIBIBISHA KAULI HII KWA KUTOA SABABU IMARA SITA"waandishi wa kazi za fasihi huandika kwa kuzingatia mambo ya kwenye jamii zao lakni huwa zina ingiliana tu"THIBITISHA USEMI HUU KWA KUTOA POINTI...
-S1mba
Nakuhitaji rafiki,
Ulienifaa kwa dhiki,
Nasema bila unafiki,
Safari bado hata kesho hatufiki,
Nilikuhitaji ili kusema,
Kukosoa au sifia mema,
Kuandika na watu kusoma,
Bila wewe...
Habar ndugu wana jamii? Kama kichwa cha habar kinavyoelekeza hapo juu, kam kuna mtu atakuwa anataka kujifunza kihispania kwa bei nafuu kabisaa kwa siku ambayo ni elfu 15 pekee, ani pm!! Ahsanteni
Katika maisha yangu, nimekuwa taabani ,
Kwenye huu mti wangu, ukiwapo mashakani,
Kila penye jua chungu, hujikalia pembeni,
Ni maisha yangu jani, katu hutoyatamani,
Kwangu sithaminiki, nafuu...
Za Jumapili wana JF wote,
Nimefatilia sana haya maneno kwa baadhi ya watu mbali mbali na nikagundua watu wanajichanganya sana katika kuyatumia.
✔Salon ni sehemu ambayo unaweza ukapata...
when I born, I black
when I grow up, I black
when I go in sun, I black
when I scared, I black
when I sick, I black
when I die, I still black
and you white fellow
when you born, you pink...
I have studied in Kenya from Kindergaten to Tertiary level and I have lived in TZ long enough to grasp both English and Kiswahili just to clear your doubt on my ability and capability.
CALL 0713881242
Habari zenu wana forum
najua hapa kuna wataalamu wa lugha.
naomba mnifundishe.. ikiwa kaka yangu akioa mke . mimi nitasema KAKA YANGU ANA MKE
sasa KAKA ZANGU WAKIOA NITASEMA KAKA ZANGU...
?Africa?s Plea?
By Roland Tombekai Dempster
I am not you ?
but you will not
give me a chance
will not let me be me
?If I were you? ?
but you know
I am not you,
yet you will not
let me be...
Swahili Basics Swahili is one of the easiest languages to learn. Here are a few basic things to know about Swahili:
Swahili verbs always carry with them the subject (and sometimes...
Wanajamvi habari zenu! Kwa wale eanaojua kipimbwe, lugha inayozungumzwa wilaya ya Mpanda sehem iitwayo Mpimbwe atokako Mizengo Pinda. Ninataka kukusanya msamiati wa vyakula vya aina zote...
Nilikuwa napitia hand out ya ndugu yangu anasoma chuo Diploma nimekutana na hii sentensi nikaona haipo vizuri sana kimatamshi na ikaleta ubishi kidogo.
"Are commodities that satisfy our wants...
1)nilitembea porini,nilipo kwenda kuwinda,kwenye mbuga yenye nyoka.
Moyoni ninaamini,hakuna cha kunishinda,nnge swala pia nyoka.
Podo yangu mgongoni,na mshale ulopinda,haraka nikashituka...
)Mkonini nashika chaki,utao
nauandika.
Siyo kama mi sitaki,mloto unasomeka.
Na vaa vazi la kaki,ukwapi
unazinduka.
Mtamu usi na dhiki,kama pindu
kaumbika.
Darasa la mafahali,makomando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.