Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ndugu zangu hapa Dar ni chuo gani au kituo gani kinafundisha vizuri lugha ya kiingereza 'english course' cha kuongea na kuandika. Maana naona matangazo mengi sana mitaani, redioni na tv kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Tukienzini Kiswahili chetu, x haina nafasi kwenye kuandika Kiswahili acheni ujinga.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari yenu, mimi jina langu Jasmine. nimetoka nchi ya uchina. nimejifunza kiswahili kwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kibanda umiza - is a local cinema where all movies are translated live to Kiswahili by a DJ, so that the audience can understand. Baobonye - Keyboard Neno au msemo gani wa Kiswahili uliouona...
0 Reactions
1 Replies
15K Views
Miongoni mwa vyombo vya habari vyenye weledi usio na shaka katika habari zake ni BBC Swahili. Nami nimekuwa msikilizaji na msomaji wa chombo hiki kwa muda mrefu sasa hasa nyakati za asubuhi na...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Wandugu natafuta mtu wa kunifundisha Mandarin kwa hapa Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ziwe mbili au tatu, Hilo Bado mgogoto, Nina mengi nawazua, wa kunifumbua hola, Na hata akitokea, Heko yake nitampa, Ziwe mbili au tatu; Serikali Tanzania? Tume yake Warioba, Maoni ilikusanya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila lugha ina maneno fulani yanayosumbua wanaojifunza hiyo lugha. Nimegundua katika Kiingereza yapo haya maneno yanayotumiwa vibaya na baadhi ya watu kama ifuatavyo: their, there, they are...
4 Reactions
117 Replies
16K Views
Salaam wana JF! Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanajamvi manju ni nani,au ni nini?
0 Reactions
8 Replies
30K Views
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi. 1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Mambo, Ningependa kuuliza maswali kuhusi misamiati ya kutengenza magari. Mimi ni msomaji wa kiswahili lakini nimeshindwa kuwaelezea mafundi shida zangu. Kwa mfano naomba usaidizi ya kutafsiri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mwenye kujua tofauti ya KAZI na AJIRA
0 Reactions
12 Replies
12K Views
Kuna jamaa yangu (research scientist) alikuja hapa nchini akafanya kazi Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. katika mambo aliyojifunza Tanzania ilikuwa ni pamoja na lugha ya kibantu ijulikanayo kama...
2 Reactions
20 Replies
10K Views
Is it possible that every denomination is right? Je, inawezekana kwamba kila madhehebu ni sahihi? Au, Je, kuna ukweli kwamba madhehebu yote ni sahihi? Ni sahihi kusema madhehebu haya au hii...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Namna ya kuainisha mofimu ya neno "Alikwenda"
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Huwa nachukia sana ninaposoma na kukutana na maneno haya Lula badala ya Rula Mologolo-morogoro Foreni-Foleni Ugari-Ugali Kula-Kura Nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini kwa watu kama hawa Nashauri...
4 Reactions
86 Replies
8K Views
Jamani naomba mnijuze ugonjwa Sinus infection unaitwaje kwa kiswali? Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
21K Views
"Mkutano ulifanyiwa katika NDAKI kuu ya Chuo Kikuu". Hebu nieleze "ndaki" maana yake tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…