Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Watu wengi sana utawasikia wanakwambia mimi sijui lugha ya mama ni Kisukuma, sijui Kichaga mara mimi sijui Kihehe woote ni Waongo! Lugha ya mama Tanzania ni Kiswahili nikimaanisha kwamba Lugha...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Mwenye kujua kiswahili fasaha cha magonjwa haya anisaidie. 1. Chlamydia 2. Stroke 3. Tetanus Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Ndugu zangu watz nimefikia uamuzi wa kuona kuwa lugha ya kiswahili ni mojawapo ya sababisho la umaskini wetu.Mwezi December nilifanya utafiti wa kupima utajiri wa kuongea lugha ya...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
naomba mnisaidie kutafsiri hii sound effect ya whoosh kwa lugha yetu mama.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau wa jukwaa hili heshima kwenu. Wadau kijijini kwetu ukisema mate mbele ni matusi haina haja niingie ndani zaidi, mate mbele ni matusi, ila mboga hiyo usahihi wake huitwa tembele haina wingi...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Heshima kwenu wakuu, kuna wengi nawashangaa wakiongea kiswahili wanatia na kingereza, wakiandika ndio balaa nusu kiswahili nusu kingereza mchezo huu upo hapa Jf. Mbona tukiongea kichaga ni hicho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
(Your contributions matters) WHAT IS AFRICA? What is Africa, A stranded housefly In rain season, a dark tomb, hell Blackman’s leprosy, a Whiteman’s giggle? What Africa really mean? The...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
The true beauty of oxymoron is we happily accept them as normal english. Consider passage below- It was an open secret that the company had used a paid volunteer to test the plastic glasses...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Habari wanajamii, Natafuta mahali nipate kujifunza kichina, mtu anaye fahamu sehemu hiyo hapa dar anijuze drake
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Maneno ya kiswahi mengi yametoholewa mengine yamerekebishwa na kubuniwa na mengi yameongezwa na kutumika visivyo nao mba msaada wa neno kudadeki kwa wale wanaojua maana.
0 Reactions
7 Replies
24K Views
Shirika moja kubwa la hifadhi ya jamii limetengeneza tangazo la kusifia huduma zake. Tangazo liko hivi: Mtu mmoja anaingia kwenye nyumba asiyoijua vizuri, na mara anamkuta mwenye nyumba ambaye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza kituo cha BBC ambacho kinarusha vipindi vyake moja kwa moja London toka mwaka 1957 hadi sasa hivi wakati naandika uzi, kwa sasa matangazo yatakuwa yanarushwa dsm Tnzania kwa...
3 Reactions
41 Replies
11K Views
Je lipo neno moja la kiswahili la tafsiri ya stationery? Nimejaribu google translate sikupata.
1 Reactions
42 Replies
32K Views
Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanaJF ningepebda kujua nini maana ya maneno yafuatayo ambayo yanatumika katika mchakato wa katiba mpya. 1-Randama 2- Bango Kitita Ahsante naomba kuwasilisha.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mambo. Mimi ni msomaji wa kiswahili na nataka kujua vile watu wanaongea barabarani. Ni noma kusoma hii lugha kisanifu halafu kwenda nje kugundua kwamba inatumika tofauti kabisa. Kwa mfano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Nimejiuliza bila kupata majibu kwamba jina hili "kondakta" tunalotumia kwenye usafiri wa umma, chanzo chake au asili yake ni lugha gani? Nimewaza kwamba limetoka kwenye...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
hii ni sehemu ya pili ya shairi nilotunga kumkumbuka Meja KHATIBU MSHINDO. 5)ULIITAMANI HAKI,WATU WAISHI KWA AMANI. WAISHI BILA MIKIKI,NDO FURAHA DUNIANI. ROHO YAKO ITABAKI,TWAKUMBUKA MAISHANI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HILI NI SEHEMU YA KWANZA YA SHAIRI NILOTUNGA KUKUMBUKA KIFO CHA MEJA KHATIBU MSHINDO,ALIYEFARIKI AKILINDA AMANI NCHINI CONGO. 1>ILIKUWA MACHI MOJA,ULIPOJIUNGA JESHINI. TENA KWA MOYO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Umofia Kwenu wana JF, Kuna neno "Boma" huwa linatumika sana hapa kwetu tanzania wakimaanisha ni jengo chakavu au pagale! Boma kwanza si neno la kiswahili bali ni kifupisho cha British Overseas...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Back
Top Bottom