Watu wengi sana utawasikia wanakwambia mimi sijui lugha ya mama ni Kisukuma, sijui Kichaga mara mimi sijui Kihehe woote ni Waongo!
Lugha ya mama Tanzania ni Kiswahili nikimaanisha kwamba Lugha...
Ndugu zangu watz nimefikia uamuzi wa kuona kuwa lugha ya kiswahili ni mojawapo ya sababisho la umaskini wetu.Mwezi December nilifanya utafiti wa kupima utajiri wa kuongea lugha ya...
Wadau wa jukwaa hili heshima kwenu. Wadau kijijini kwetu ukisema mate mbele ni matusi haina haja niingie ndani zaidi, mate mbele ni matusi, ila mboga hiyo usahihi wake huitwa tembele haina wingi...
Heshima kwenu wakuu, kuna wengi nawashangaa wakiongea kiswahili wanatia na kingereza, wakiandika ndio balaa nusu kiswahili nusu kingereza mchezo huu upo hapa Jf. Mbona tukiongea kichaga ni hicho...
(Your contributions matters)
WHAT IS AFRICA?
What is Africa, A stranded housefly
In rain season, a dark tomb, hell
Blackmans leprosy, a Whitemans giggle?
What Africa really mean?
The...
The true beauty of oxymoron is we happily accept them as normal english. Consider passage below- It was an open secret that the
company had used a paid volunteer
to test the plastic glasses...
Maneno ya kiswahi mengi yametoholewa mengine yamerekebishwa na kubuniwa na mengi yameongezwa na kutumika visivyo nao
mba msaada wa neno kudadeki kwa wale wanaojua maana.
Shirika moja kubwa la hifadhi ya jamii limetengeneza tangazo la kusifia huduma zake.
Tangazo liko hivi: Mtu mmoja anaingia kwenye nyumba asiyoijua vizuri, na mara anamkuta mwenye nyumba ambaye...
Kwa mara ya kwanza kituo cha BBC ambacho kinarusha vipindi vyake moja kwa moja London toka mwaka 1957 hadi sasa hivi wakati naandika uzi, kwa sasa matangazo yatakuwa yanarushwa dsm Tnzania kwa...
Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi.
Asanteni.
Habari wanaJF ningepebda kujua nini maana ya maneno yafuatayo ambayo yanatumika katika mchakato wa katiba mpya.
1-Randama
2- Bango Kitita
Ahsante naomba kuwasilisha.
Mambo. Mimi ni msomaji wa kiswahili na nataka kujua vile watu wanaongea barabarani. Ni noma kusoma hii lugha kisanifu halafu kwenda nje kugundua kwamba inatumika tofauti kabisa. Kwa mfano...
Habari za muda huu,
Nimejiuliza bila kupata majibu kwamba jina hili "kondakta" tunalotumia kwenye usafiri wa umma, chanzo chake au asili yake ni lugha gani? Nimewaza kwamba limetoka kwenye...
hii ni sehemu ya pili ya shairi nilotunga kumkumbuka Meja KHATIBU MSHINDO.
5)ULIITAMANI HAKI,WATU WAISHI KWA AMANI.
WAISHI BILA MIKIKI,NDO FURAHA DUNIANI.
ROHO YAKO ITABAKI,TWAKUMBUKA MAISHANI...
HILI NI SEHEMU YA KWANZA YA SHAIRI NILOTUNGA KUKUMBUKA KIFO CHA MEJA KHATIBU MSHINDO,ALIYEFARIKI AKILINDA AMANI NCHINI CONGO.
1>ILIKUWA MACHI MOJA,ULIPOJIUNGA JESHINI.
TENA KWA MOYO...
Umofia Kwenu wana JF,
Kuna neno "Boma" huwa linatumika sana hapa kwetu tanzania wakimaanisha ni jengo chakavu au pagale! Boma kwanza si neno la kiswahili bali ni kifupisho cha British Overseas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.