Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mfano una daftari la kurekodi stock inavyoingia kutoka stoo au ukinunua, na pia unarekodi stock ikitoka aidha kwa kuwauzia wateja ama kuibiwa. ni sawa kuandika "zilipotokea na zinapokwenda" ama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Taifa letu pendwa mzimwini Taarifa zimetufikia zenyeujonzi Radio zimetutenga mafukara Rafiki wetu taarifa katuaga Viongozi wamegawanyika Vikumbo wapigana Samia kauza Bandari Samia hajauza Bandari...
5 Reactions
7 Replies
660 Views
Hii ni Aburani na ahadi Iliyowekwa Siku za Nyuma na Umoja wa Mataifa, Kuwa Kutakuwa na Siku Maalumu ya Kusheherekea Lugha ya Kiswahili Duniani Kila Mwaka. Hii ni Abra nzuri kwa sisi wazungumzao...
1 Reactions
0 Replies
672 Views
Gazeti La Dunia Matumizi sahihi ya lugha na upeo wa fikra Ahmed Rajab Ahmed Rajab Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab, akizungumza kwenye Baraza la House of Lords jijini London Julai 5, 2023...
1 Reactions
0 Replies
889 Views
Katika matumizi ya simu tunakuta alama: * inatamkwa nyota. # inatamkwa alama ya reli. Kwanini * isitamkwe alama ya nyota sababu sio nyota kihalisia.
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Jiamini 1. Na popote ukiwepo Usiwe kama libopo Usijione simpo 2. Yalo yako ujikite Mitihani uipite Hadi ukate upete 3. Usisikie uzushi Uyafanye kwa utashi Usiwe na nukusani 4. Tembea nenda na...
1 Reactions
2 Replies
254 Views
BARUA YA WAZI 1 Nawasalimu kwa jina, jinale la jamhuri Kwako wewe kamishina, uigongae mihuri Wasimamizi wa shina, msome pasi kiburi Hii barua ya wazi, kwenu nyinyi viongozi 2 Upapo mwingi uhaba...
2 Reactions
1 Replies
409 Views
Nawasalim nyote. Pokeeni Salam. Naona vyema tuwe na uzi mmoja maalum wa ngeli. Naomba usaidizi wa ngeli sahihi ya maneno haya. Kifaranga/Vifaranga - ( naona watu wengi hutumia ki-vi ambapo...
0 Reactions
4 Replies
823 Views
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amewataka Wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili ya BAKITA na BAKIZA ili kuendeleza lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Tangu nimerudi nchini nimekuwa nikipata tabu sana kutambua yupi anastahili shikamoo na yupi hastahili, kuna nalingana nao umri ila wana maumbo makubwa hivyo najikuta nikiwapa shikamoo na...
13 Reactions
180 Replies
7K Views
Matumizi sahihi ya maneno haya kwa kweli huwa yananitatiza sana? Huwa napata shida sana kujua ni wakati gani wa kutumia kwa mfano neno "Kwenye " au wa kutumia neno "Katika" kwenye kuongea au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waungwana naomba anayejua namna yakuzi master tones za kichina tafadhali
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Napata utata hapa wakuu! Kwa wale wajuzi wa kiswahili..
1 Reactions
45 Replies
30K Views
TUNATAKA, HATUTAKI Tunataka uwekezaji, hatutaki uporwaji, Wao wachukue mji, tubaki watazamaji, Tunakemea ulaji, tunakataa upigaji...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Nini maana sahihi ya maneno haya Kwa ninavyofahamu mimi,, tovuti ni internet wakati wavuti ni website Karibu utwambie unavyoelewa wewe. Ikumbukwe kuwa internet sio mtandao, mtandao ni network...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan ambapo wamejadili namna bora ya Tanzania na Urusi...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
One day I saw someone I thought I’d never see He was sagging with smell of marijuana coming from his mouth And the way he talked you could tell he was from the south Just standing there staring...
1 Reactions
4 Replies
755 Views
Kipini Cha Pua 1 Silifanyi siri tena, ninasema hadharani Vyuma vinafumuana, nionapo manjiani Shufu sinayo maana, urembo wenu ficheni Avaae hupendeza, nami chanipa uchizi 2 Kiwe cha rangi ya...
3 Reactions
3 Replies
699 Views
Msiba msibani 1 Utaona ni rahisi, kama haijakupata Na vingi utavihisi, hadi utapojipata Utalia na kamasi, msaada hutapata Ukiupata msiba, ni msiba msibani 2 Maumivu ni makali, na kufa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…