Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
tofauti kati ya nipo na niko: mfano niko hapa na nipo hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekua nikitafakari hasa nini maana halisi ya neno Mzinzi nakosa majibu ,mwenye uwezo wa kutoa maana sahihi tafadhari asisite kutiririka !
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Kuna mtu anaweza kusaidia?
1 Reactions
22 Replies
15K Views
Dear all, As per title above, I have published a new edition for English grammar titled "COMMUNICATION SKILLS FOR FLUENT ENGLISH". This book suits all english learners and beginners of all...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Hello JF members,I am not sure if I'm in the right forum but anyway I'm gonna go ahead and post this poem,the title is I Cry,written by Tupac Shakur. I Cry Sometimes when I'm alone I Cry...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I never heard this before: Thank you so very much. But I have heard: Thank you very much. Thank you so much. Is it okay to use two intensifiers - so and very?
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Kiswahili ni lugha fasaha na rahisi sana kwa mwenye kutaka kuielewa; nimeombwa niwaulize wajuvi waliobobea kwenye lugha hii mambo hayo 1. Zinaa 2. Mzinifu Je ni sifa zipi unapaswa uwe nazo ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alichonong'ona mwezi, Kiza imekisikia, Wanga masikio wazi, macho wameyatoa, Mtabane kwa ujuzi, kitu hamtang'amua, Loo!!! ufanye kazi, Poo!!! umegumiwa. Kilichosemwa na jua, Nuru imekisikia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi all, Some members have expressed their interest in learning French. Inspired by Faiza Foxy interactive Arabic class and encouraged by AshaDii, Mtambuzi, Azimio Jipya and other members, I said...
30 Reactions
120 Replies
19K Views
Ukitoka nje unaingia ndani..ie ndani ya nyumba,ofisi,zizi,uwanja etc ukitoka ndani ya hizo sehemu wanasema unatoka nje,why not umetoka ndani unaingia nje? Wakati umetoka ndani? nisaidieni wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Does it mean kuwa hakuna construction workers wanawake?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Thi jf.is collectivize for all of peoples in the world .1. ........2.because of negotiation difference thinks ..,..,,......,...3.it is necessary to be rapture.........,.,..., nipe kwa swahili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini maana halisi ya neno "choo"? Hospitali ukiagizwa choo unapeleka kinyesi. Hii sawa. Sehemu watu wanakwenda haja pia panaitwa choo. Na hii ni sahihi. Je, wadau, "choo" nini? Ni kinyesi...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Naombeni kujuzwa tofauti kati ya maneno haya yafuatayo:- 1) malaya 2) mzinzi 3)muasherati
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hayawi hayawi sasa yanakuwa, Kile kilio cha wazalendo na waaminio katika lugha yao sasa kinaonyesha kuchanua, baada ya serikali kuridhia mswaada wa uanzishwaji wa Itifaki ya Kamisheni ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sidhani kama ukienda Uingereza utakuta radio zao zina majina ya Kiswahili lakini sisi kwa kuanzia hawa Clouds FM, Capital FM, Radio Free Africa, Voice of Tabora na kadhalika, sasa ukitaka...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
1.alikwenda kwa mjomba 2.ninakula kwa kijiko 3.amefungwa kwa wizi wa baiskeli 4.anakwenda shuleni kwa miguu 5.amenunua vitabu kwa bei ya juu (msada tafadhali)
1 Reactions
2 Replies
17K Views
Hebu tujikumbushe maneno ya kiswahili ambayo kwa sasa aidha yamesahaulika au yanatumika kwa nadara sana. Jokofu = Friji Sigiri = Jiko la Mkaa Kishida = Underskirt, Msusa = Majani ya Maboga...
0 Reactions
24 Replies
17K Views
Tangu nilipokuwa shule, mara ya kwanza kusikia msemo Aliye juu mngoje chini nilitatizika sana. Sikuelewa mtunzi wa msemo huu alikuwa na kinyongo, wivu au kukata tamaa. Hata hivyo niliishia kuamini...
2 Reactions
17 Replies
13K Views
Kama nchi inahitaji wataalamu wa lugha ya kiingereza basi msisitizo uwekwe kwenye kiingereza lakini kama nchi inahitaji wataalamu wenye ujuzi juu ya fani na taaluma mbalimbali zenye tija kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…