Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hamjambo. Tafadhali mnisaidie kueleza kwa ndani zaidi tofauti za matumizi ya maneno yafuatayo: Shindano/Mashindano - Mchuano/Michuano. 1) Kamusi ya Kiswahili-Kiingereza (TUKI)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wajameni naomba anayefahamu fonimu za kipare(a,b.ch,d......) anisaidie na jedwali la mahala pa matamshi na namna ya utamkaji. Pia kama unajua source yoyote nayowezapata material...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eleza maana ya vidahizo vifuatavyo; (a) NDAKI (b) DAFINA (c) UKRAHAMA.
0 Reactions
2 Replies
12K Views
kuna kizungumkuti kwenye kutumia neno DIGITAL kwa kiswahili hasa kipindi hiki tunapotaka kuanza kutumia mfumo huo Baraza la Taifa la kiswahili litusaidie katika hili kwakuwa hata Tume ya...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Leo nilikuwa kwenye ibada, ikawepo haja ya kutafsiri neno "Ghost" basi mhubiri akasema "Mzuka"... mbona miguno na vicheko vilitawala! Nikawa najiuliza mhubiri hajui kuwa "Mzuka" ina maana...
1 Reactions
20 Replies
19K Views
Ewe sheikh ndugu yangu, hii dunia ya Qawi Utazame ulimwengu, likutakalo haliwi Ndio kalamu ya Mungu, viumbe hatuijuwi Bahati yenda kwa muwi, wema wakalia ngoa Bahati imegeuka, watatu...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Katika hali ambayo inaleta matumaini makubwa kwa wapenzi wa lugha ya Kiswahili, taarifa wkamba Dkt. Metho Samweli amefanikiwa kuandika thesis yake ya PhD ya somo la Kiswahili kwa lugha ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
hivi kuna tofauti kati ya maharage na maharagwe au ni maneno mawili yenye maana moja?? na lipi ni neno sahihi??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ipi ni sahihi kati ya SIMU YA MKONONI SIMU YA KIGANJANI
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna ndugu yangu kanitumia hii niibadili kwa kiingereza nimeshindwa hivyo nahitaji msaada wenu ktk kuitranslate from kiswahili to kiingereza "baba mimi ni mtoto wako wangapi?...naomba nisaidiwe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
NB: Dictionaries, Thesauruses and Plagiarizing Nigerians Strictly Prohibited!
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Wakuu hivi neno "kuaga" lina uhusiano na matendo ya kichawi? Ninauliza hivi kwa sababu hivi sasa kuna mjadala wa moto unaoendelea kwenye jukwaa la siasa kutokana na Mheshimiwa Zitto kusema yeye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
account is maintained in the books of accounts; neno maintained au to maintain katika muktadha wa finance au accounting kwa kiswahili neno lake ni lipi. maana ya neno goodwill kwa kiswahili ni ipi?
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Nimekuwa nikiyasikia sana haya maneno kwenye vyombo vya habari hususan timu fulani inapokabiliwa na mechi ngumu na leo asubuhi nimesoma pia gazeti moja limetaarifu kwamba ti Timu yetu imeapa kudia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Utasikia mtu anachanganya kiswahili na lugha zngne za kigen kwa nn.? Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jf wenzangu,tafadhali naomba mnisaidie maana ya neno 'patotee' mf wa sentensi,i really miss you patotee.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani leo nimesikia kiingereza hicho kwenye taarifa ya capital television leo saa tatu na nusu. Hicho kiingereza ni sahihi? Naomba kusadiwa
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Watu wengi wamekuwa wakisema 'NACHUKUA NAFASI HII AU FURSA HII ' badala ya kusema NATUMIA FURSA HII AU NAFASI HII
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna msanii mmoja ameimba "mbuzi wa masikini hazai labda atage mayai",je usemi huu una maana gani hasa maneno yaliyoongezwa "labda atage mayai". Msemo uliozoeleka ni mbuzi wa masikini hazai.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
hi.am kaniki. swahili is now the most killer in drc.ukimwi ina afazari. so way?wa congo wanaitaji help that help is to bring swahili educare in kinshasa specialy. a'v got a raison to say festily...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Back
Top Bottom