Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Yani kuna tanagazo baya la magodoro sijawahi kuona! sasa kile ndio kiswahili gani na cha wapi? hebu wajuzi mtusaidie!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
inakera mno watumiaji wa kiswahili, kwa waswahili kutumia maneno ya kiingereza na kuita ni lugha ya kitaalam! jamani bakita mko wapi? hata roadblock ni lugha ya kitaalam? wabunge mawaziri viongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello Comrades!!! It be said frankly that if one wants to learn something he or she must be curious and inquisitive... ofcoz,i genuenely want to learn english,i think the time when i will be able...
0 Reactions
5 Replies
27K Views
jamani msaada wenu kwenye maswali haya1)kwanini wamahiri wa lugha zaidi ya moja umahiri wao hauendi sambamba?2)jadili nafasi ya misimu ktk kiswahili sanifu?3)eleza uamilifu wa viambishi ktk vitenzi?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuna watu ukiwashukuru kwa kusema "asante" wanasema "karibu". Bila ya shaka hawa wanatafsiri kutoka Kiingereza pale mtu anaposema "thank you" na anajibiwa "you are welcome". Lakini kuna wengine...
4 Reactions
31 Replies
15K Views
Kila ninaposikiliza redio au kutazama TV nshtushwa mtamshi yasiyo sahihi ya baadhi ya maneno. Tatizo hili wengi mtasema linatokana na lugha asili za watangazaji hao lakini kwa upande wangu naona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Change the following question into English: Wewe ni mzaliwa wa ngapi?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
HONGERA KAKA Mtoi KUPATA JIKO Nakupa zangu hongera, mapenzi wayakubali Mtoi nakupa sera, Rehema katoka mbali Chadema wamejikera; maneno mali kauli Karibu kwetu Mlalo, harusi wetu kisura Maneno...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ujumbe hauna mantiki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini tofauti kati ya kiswahili SANIFU na FASAHA.
0 Reactions
8 Replies
37K Views
Hi members,I decided to put this thread under this forum for a reason.Though the contents can be used by any human being.Just in case you do not know we make decision all the time,some are simple...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
A lawyer has a son.But the son's father is a security guard.Who is the Lawyer?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hapa ni dirisha la kuweka na kutoa pesa katika benki ya CRDB nchini Burundi...kwa kutumia uzoefu wako wa kutembelea matawi ya benki ya CRDB hapa Tanzania tuambie maneno haya yana maana gani kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninasikiliza radio na kutazama sana tv. Watangazaji wengi wa tv na radio wanatumia lugha kwa namna ambayo inanipa mashaka kwamba kwenye vyuo vya uandishi habari hakuna somo la lugha kiswahili/...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nadharia ya uhalisia nafsi nini? Je, inajitokezaje katika riwaya mbalimbali za watunzi wa fasihi andishi?
0 Reactions
1 Replies
24K Views
Huwa najiuliza hivi lugha zote hapa duniani zina aliyezianzisha? Kama pana mtu ajuaye kuwa labda Kinyamwezi kaanzisha mtu fulani naomba kufahamishwa. Nimeonelea kulisema hili maana pana juhudi za...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Bila shaka nyote mmesikia kuhusu vurugu na mauaji yanayoendelea huko Garissa, nchini Kenya. Japo nakashifu tendo la wanajeshi kuwavamia wakaazi wa eneo hilo, nasikitika kuwa huo ni mwiba wa...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
How do you call a person having the same name as your ? ie. If i'm Abdalla how do i call another Abdalla ?
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Hodi naipiga humu,JENDALUJEJE nasema, :violin:Imeniingia hamu,Jukwaani kuja sema, Mawazo mengi matamu,ya kumeza si kutema, Hodi mi nasema hodi,ndio kwanza naingia. Jamvini nasogelea,KARIBU...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Lugha za mtaani/kitaa au maskani. Mpige tero-Msachi/mkague. Njiti-Shilingi 100 Bati -sh 200 Barida-( tuliza/tulizana) Chali-vijana wadogo wadogo wanaolingana umri Nyoka-dogo ambaye...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…