Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimekuwa nikisikia sana huu msamiati, kwangu ninachoelewa ni kuwa ni ndoto za kutisha. Kuna maana nyingine nje ya hapo au ni tofauti na ndoto au ni dubwana linalosababisha kitu kwenye ulimwengu...
1 Reactions
10 Replies
853 Views
Kula ilonona Niliyowaza ni mengi, hadi kuandika hili Ni usia wa mvungi, aliompa Sadali Wa kilemba au shungi, kila mtu yake hali Kama wataka haramu, basi kula ilonona Usifanye kwa kuiga, kuona...
1 Reactions
1 Replies
398 Views
Sina wivu na wewe, kwani huyu ni mkeo Ananifwata mwenyewe, toka kale sio leo Natamani uelewe, kisha uwe na upeo Mkeo kaanza kwangu, na mimi ndio wa mwanzo. Mimi sinayo makosa, japo siyatendi mema...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Similarities between Bantu Swahili, Zulu, Shona, Sotho and Luhya. Elephant Ndovu(Swahili) - indlovu(Zulu) - Nzou(Shona) Inzofu - Luhya Tlou - sotho Meat Nyama(Swahili) - inyama(Zulu)...
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Muishi milele wadau wa jf Naomba kufahamishwa maana za maneno haya kama yanavyotumika katika dini yakiislamu; - Juzuu - Kuran - Msaafu - Ulamaa Karibuni
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipo natafakari namna nchi hii imekuwa, hakuna jambo baya kama kumtambua mtu na kumponda kwa kutumia kiashiria cha kabila lake. Hivi karibuni kumezuka tabia ya watumiaji wa mitandao hasa katika...
30 Reactions
409 Replies
35K Views
NAJIPA MOYO. Matatizo niliyo nayo, kuyabeba ni michosho Lakini hali iwayo, naloa maji ya jasho Bado ninajipa moyo, kuwa nitapata kesho. Ninapotazama mbele, giza nene naliona Lini nitafika kule...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumai nyote muwazima wa afya ya akili na mwili. Leo napenda kuweka sawa matumizi sahihi ya majina haya haya ambayo yamekuwa yakitumika visivyo kuwakilisha rika na jinsia ya kundi husika la watu...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Ni mtu anayefurahia mateso ya wengine mfano Akiona unapata mshahara milioni mbili anataka upungue upate milioni moja. Akiona watoto wako wana amani na furaha anataka kukufukuza kazi ili dunia...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package. Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka...
26 Reactions
126 Replies
5K Views
Jaman nauliza mimi ni wakiume na nina mjomba wangu sas je mtoto wake huyo mjomba nitamuitaje? Au huyo mtoto ataniita mimi nani?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Tulifunzwa kula kile kilichowekwa mezani na kukithamini, tukafunzwa kuridhika na vile vichache ambavyo vilipatikana majumbani mwetu. Tukakua tukivaa nguo ambazo wazazi wetu walimudu kuzinunua...
6 Reactions
4 Replies
420 Views
Hebu andika sentensi ya maneno kumi tuone uwezo wako wa kuandika Kiswahili.
2 Reactions
75 Replies
3K Views
Mzungu mmoja aliwahi kunikebehi akasema sisi Waafrika kwy Kiswahili tunamuita mtu toka nchi za Magharibi Mzungu, akaniambia ebu sasa ondoa herufi z kwenye neno Mzungu alafu ulisome. Akajinasibu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kingereza kinafundishwa kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu, kwanini watanzania watafasiliwe Kiingereza kwenye mikutano yetu na wageni? Hii ni aibu kubwa kwa taifa, elimu yetu na hata Chama...
0 Reactions
8 Replies
544 Views
Hapa nimejitahidi kuandika baadhi ya maneno ambayo Lugha ya Kiswahili imeyatohowa na kuyatia kwenye msamihati wake. Mnakaribishwa kuchangia maneno mengine ambayo, hapa hayapo, si lazima yawe...
0 Reactions
30 Replies
34K Views
Kwa mfano nimepigiwa na rafiki yangu nataka kumueleza nipo kwenye basi kwa kingereza ipi ni sentencing sahihi kati ya hizi. Which is correct, “I am in the bus” or “I am on the bus”?
3 Reactions
19 Replies
875 Views
WAJA Dawa ya kipwepwe nini, Siyo maji na sabuni? Basi jipu tumbueni, Mnayemhofu nani? Mtachopoteza nini? Mkidai kwani shani! Kuna nini utaani, Hadi muogope nari? Ona mwafanyiwa ndaro, Muishipo...
1 Reactions
3 Replies
376 Views
Karibuni Wote pia mnao kijua Kiitaliano tupeane maujuzi.
2 Reactions
74 Replies
5K Views
Salaam ndugu zangu, Kiswahili ni miongoni mwa lugha zinazokua kwa kasi kwa sasa ulimwenguni. Lugha hii inazidi kusambaa Kijiografia pamoja na kuongeza idadi ya wazungumzaji kila kukicha. Pamoja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…