Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mke wangu aniamsha, usiku saa sita, Machozi aomboleza, simu anonyesha, Habari mbaya napata, usingizi unakata, Akili yangu kataa, Magufuli amekufa. Tarehe kumi na tano, ndoto ninaota, Aniijia...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
"Ikiwa hutaki kula lililodondoka chini, basi hakikisha una uwezo wa kutosha kukwea juu ukachume lako" AMANI DIMILE [emoji1364]
0 Reactions
4 Replies
305 Views
Karibu mdau mkubwa wa kiswahili upate kuyajua maneno ya kiswahili ambayo pengine umekuwa ukiyatamka na kusogoa kwa lugha ya kiingereza pasi kujua maana mbadala. NENO MAANA Radio...
9 Reactions
22 Replies
19K Views
Mtunzi: RamaB. Hivi hawa matajiri, walifanya kazi gani? Kuondoa ufakiri, wakawa mamilioni. Nipeni yao siri, iniingie kichwani. Kuchuma najitahidi, sina bahati mwenzenu. Nikalikamata jembe, panga...
1 Reactions
6 Replies
954 Views
1. Habari afikishiwe, miye Mzenji mwenziwe. Haliendi kwenginiwe, hilo ni langu mwenyewe. Upesi nikubaliwe, umri tabu isiwe. "Huyu namtaka mimi, nimrudishe nyumbani" 2. Nina wengi marafiki, wajuzi...
4 Reactions
15 Replies
931 Views
Wadau wa lugha naomba kujuzwa nini maana ya "Ashakum si Matusi"? Au hii sentensi inatumikaje?
0 Reactions
44 Replies
53K Views
Nakumbuka Kibanga alivyompiga Mkoloni, nakumbuka Anduje alikuwa mfupi, nakumbuka Baba Mmoja alivyorudi toka Safari ya Mbali...., Nakumbuka yule dogo mtesa wanyama alivyonyooshwa na Jogoo, vilevile...
2 Reactions
1 Replies
325 Views
Habari zenu wako. Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha...
11 Reactions
128 Replies
3K Views
The word kateerero is now involved in Oxford dictionary, with its real meaning, As name of small village in Bukoba, also as a sexual style
11 Reactions
43 Replies
24K Views
Habari za muda huu wa wanaJF! Kama yalivyo maelezo hapo juu. Naomba kufahamu kwa Kiingereza majina ya mboga na nafaka zifuatazo:- Mlenda, Bamia, Nyanyamshumaa, Mchicha, Kunde, Mbaazi, Dengu...
7 Reactions
116 Replies
15K Views
Mteja: Aisee vipi salama? Mimi: nipo salama, lete habari Mteja: Sasa bwana Wakili kumbe yule mteja uliyeniletea anaongea Kingereza? Mimi: Ndiyo, ni Mzimbabwe, kwani tatizo nini? Mteja: Aaaah...
3 Reactions
1 Replies
499 Views
Habari wana jukwaa la Histori. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Hapo juzi juzi miaka ya nyuma kidogo wazazi , walezi na wakubwa wetu walikuwa wakitusisitizia sana pindi walipo...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
BODABODA Leo mie boda boda, Nakikalia kigoda, Upepo ni yangu poda. Naipenda sana kazi, Ndo inipayo malazi, Kula mpaka mavazi. Sina elimu kichwani, Nina peni mkononi, Na mawazo akilini. Sinayo...
3 Reactions
1 Replies
313 Views
Ndugu zangu... Sio Leo, wala Jana, au Juzi wala Majuzi tumekuwa tunasoma Lugha zenye utata katika baadhi ya nyuzi na maudhui yanayo ambatana nayo...mfano mzuri ni kama zile za mambo ya ndoa...
0 Reactions
1 Replies
423 Views
Neno-KIBURI Neno-JEURI Maneno haya kama ya shabihana lakini naona kama ya natofauti kimaana!
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Ninaelewa kuwa Kodi ni malipo yasiyo ya hiari ambayo raia analipa serikalini kutokana ama na mapato au kutokana na mali anayomiliki. Kuna Kodi ya Ardhi, Kodi ya Mapato, Kodi ya Gari na kadhali...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Ukitaka kuandika hongera baadhi ya keyboard zinakupakazia eti kongole! Kongole wich, who are you kongole? are you normal?🤷‍♂️ Je ni kutohoa congratulations au ni nini? Kwani kiswahili lini...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Naomba kuuliza ,TEI wamechambua NGELI Kwa MSINGi WA kisintakisia NGELI 12.!! Vitabu vingine wamechambua Tisa!! Sasa sahihi?
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye. Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya...
29 Reactions
166 Replies
9K Views
Naomba kuuliza ,TEI wamechambua NGELI Kwa MSINGi WA kisintakisia NGELI 12.!! Vitabu vingine wamechambua Tisa!! Sasa sahihi?
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Back
Top Bottom