Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
wana jf naomba mniambie kama mnajua ni lugha gani ambayo inamaneno mengi ya kukopa? au kutohoa?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
maana hapa tanzania km haujui english, jamii inakuona hauna elimu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wana jf naomb maon yenu juu ya hili hivii wewe binafsi lugha gan unadhan mtu akifundishiwa ataelewa je n kiswahiliaueng
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi ukitaka kuagiza ndizi utumbo kwa kingereza utasemaje?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
What 'sanduku ya mufu' stands for? Thank you in advance
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu aliniambia kuwa mti unaozaa machungwa unaitwa mchungwa na mti unaozaa maembe unaitwa mwembe(muembe) lakini mti unaozaa ndizi unaitwa mgomba kwa sababu ukipanda ndizi hautaota...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Haya wana Jamii F.Mwaambaje?Mie mgeni hapa ila nimepungwa sana na wana Jamii F. MASWALI YANGU HAYA MNISAIDIE 1.University kwa Kiswahili ni nini? 2.sealing ile ya nyumba yatwaje Kiswahili?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Lahaja ya Kiunguja ndiyo ilo sanifishwa kuunnda Kiswahili kulingana na historia yake.Kulikuwepo na lahaja nyingine nyingi ikiwemo;Kimvita,Kijomvu,Kimtangata n.k.Ni sababu zipi hasa zilizochangia...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Watangazaji wa tbc naomba msaada wenu kati ya sumaye na lowasa nani kajiuzuru na nani kastaafu au ndiyo kulinda heshima
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Bunge letu la Leo. Kuna Mbunge amewaasi mawaziri wa maji wakazane, wabunge wengine wakaguna. This is really low for someone sitting in a parliamentary house to interpenetrate things in a street...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie hivi unaweza ukaishi UK kwa miaka zaidi ya mitano na ukawa haujui Kiingereza? Maana jana kuna jamaa yangu anaishi UK-Liverpool amekuja likizo sasa nikakaa naye akatokea...
0 Reactions
57 Replies
7K Views
Msaada tutani tafadhali. Kandambili, hilo neno mbili linahusiana na tarakimu ya namba 2? Je (sandals) au Open shoe kwa lugha yetu sanifu ni nini?
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Kiswahili rasmi cha Laptop ni Dadavuzi Mpakato! Tafadhali wafahamishe na Waswahili wengine
2 Reactions
12 Replies
5K Views
What is sarcophagus in Swahili? Sarcophagus - Wikipedia, the free encyclopedia Thank you in advance
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Asalam alykum this nice site.
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Chombo cha aathari yake What dose it mean
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What does it mean? mnyanyapaaIs mnyanyapaji correct in KiSwahili? Than you in advance
0 Reactions
2 Replies
1K Views
je hiki ni kiswahili sanifu??????unaenda kumuulizia fulani halafu unamkosa. unamwambia mwingine ''nimemkuta hayupo''.naendaga, namwonaga, simpendagi.sufuria au sifuria????tiyari au tayari????
0 Reactions
9 Replies
2K Views
:israel:Watu wote macho yote yako kwako, Umeutangaziya umma kuwa wewe, Ati, nawe ni msomi wa vidato hasa. Yako nafasi uitumiye macho yaonayo, Yatazama mwenendo ulivyo wewe, Matunda utayaona nawe...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau naomba mnisaidie kuhusu haya maneno ya kiswahili, ""ahsante kushukuru...!!"" hivi kwa kiingereza tunaweza kuyawekaje....???? Au ndo tutasema "thank you to thank.....!!""
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…