Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Salut Mon Amis! Jamani nahitaji mwalimu wa Kifaransa asap, wa online au/na offline! Merci beaucoup! PS. Mademoiselle RussianRoulette where are you? Je ne comprende pas Française! Moi voulez...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Samahani naomba msaada kuhusu tofauti ya maana ya sentensi hizi "I am going to the market" na "I am going to market"au "I am going to church" na "I am going to the church"
0 Reactions
7 Replies
1K Views
What is reliquary in KiSwahili? Reliquary - Wikipedia, the free encyclopedia Thank you ina advance
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mlabaha??.........au Mlahaba?? Maana naona waheshimiwa bungeni wanasema MLABAHA...sasa nilipi neno sahihi?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jana nilkuwa nasikiliza online radio na Kafulila akachafua hali ya hewa kwa kutumia neno kubaka bahati mtandao ukawa dhaifu na sikuweza kuelewa mwisho wa malumbano na kiti. Naomba tulijadili hili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu kaniuliza neno la kiswahili linaloishia na FO ukiondoa neno kifo na fofofo. kama kuna yeyote anayefahamu anijuze
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ningependa kujua maana ya neno "msia". Je, samaki aitwaye msia au mzia ni samaki gani?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
being all that alive isn’t so much a good thing there’s the pressure you get from people who wishes you all the best and yet I puke out my sorrows in a bottle of shame all that I am isn’t the same...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Life is a b.i.t.c.h.......... At a lost for words not sure what to say Sick and tired of being sick and tired And struggling from day to day Seems Im surrounded by my enemies People who...
1 Reactions
2 Replies
978 Views
wana jf ninaomba mnipe neno moja la kiswahili kutoka kwenye neno lagoon ambalo ni la kiingereza
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wana jf naomba mnipe maana ya hili neno la muarobaini kwa sababu nimekuwa nikilisikia likisemwa sana na watu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana JF. Jumamosi iliyopita wakati najiandaa kutoka nyumbani nilikuwa nawasilikisa wachambuzi wa lugha ya kiswahili kutoka BAKITA wakihojiwa na mtangazaji wa Radio One. Sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wana jf naomba sana tafsiri ya maneno hayo hapo juu! n.b cna kamus ,ndo maana nauliza!
0 Reactions
2 Replies
10K Views
When the winter of my heart throws its black coat on my stripped soul And when the bright shining stars Seem to me as dark as coal I hear a voice calling my name and whispering words of comfort...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
wana jf methali,ya awali ni awali hakuna awali mbovu na mavi ya kale hayanuki,je zina uhusiano wowote? au hazina relatn
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wana MMU, Binafsi nimekuwa nikichanganywa na hizi kauli mbili; 1. Kutoa mahari 2. Kulipa mahari Je, ipi ni kauli sahihi? ================== Kutoa - huku ni kuhamisha umiliki wa...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
wana jf ninaomba mnipe sababu za msingi kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa msamiati ukilinganisha na kiingereza evdenc
0 Reactions
12 Replies
3K Views
ninauza vitabu kwa bei nafuu sana dictionary ya kiswahili na maperfect ya kiswahili kwa maelezo zaidi tembelea ukulasa wa fb http://anthony.yose1@facebook.com au piga simu namba 0765936964
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf ninaomba mnipe tafsiri ya maneno ,rajisi,muamala,gombo,mrabaha ,msaada tafadhali,by.mpigamsulioriginal
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Wapendwa natafuta kitabu cha hadithi kinachoitwa 'Mambo ya Ajabu Yaliyompata Allan Quatermain na Wenzake' tafsiri ya Kiswahili. Je, kuna sehemu yoyote ndani ya Tanzania nitakipata hiki kitabu?
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Back
Top Bottom