Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
For and Since for Time We often use for and since when talking about time. for + period A period is a duration of time, for example: 5 minutes, 2 weeks, 6 years. For means "from the beginning of...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba nisizunguke sana waungwana, kuna jamaa zangu wamepata wagen kutoka kule wabongo wenzetu walipoficha Fedha na wameamua wajifunze kiswahili kwa huu muda wataokuwa nchini. Sasa kuna maneno...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Inasemekana kwamba kwa mwanamke wa kiswahili (sijui wa kidhungu)...... Mchana Ukimwambia kaa vizuri...anabana miguu Usiku ukimwambia kaa vizuri...anapanua miguu Je Kuna ukweli wowote?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hili neno sina uhakika sana lakini nasikia eti maana ya mademu asili yake ni dam yaani bwawa....(K)???? Naomba mwenye udadavuzi anitupie hapa
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Natumaini nimeeleweka wakuu naomba kuwasilisha asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuanzia J3 ya tar 27 Aug, Bbc swahili itaanza kuonekana kupitia local chanels, Star tv ikiwa miongoni mwao. Kiswahili kinapaa!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA...
6 Reactions
62 Replies
21K Views
Nimesikia hili neno sana atika hotuba ya waziri wa kilimo, ushirika na chakula, nidadavulieni wakuu
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Jukwaa la lugha,sorry can someone explain the difference in meaning between "arrive on time" and "arrive in time".Thank you in advance
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Makubasi ni nini?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu... Please tufungie hiyo video ya You-tube kisha tujadili...je, huu ni mnazi mkinda kweli au ni tamathali ya semi imetumika? Najua wengine hawafahamu nini mnazi mkinda wala ni nini...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
naomba kufahamu maana ya jina "kaumuza"
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wanajamvi wa lugha,nimekumbuka wakati niko o-level nasoma mwalimu wa Biology katika topic ya classidication(kwa walio soma Biology wanafahamu) alikuwa akiandika phyla,sometimes phylum.Mi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nini kiswahili cha computer,remote na deck?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu,jamani nataka kuongeza uwezo wangu wa kuongea kiingereza,nahitaji kujua kama kuna english club hapa dar ili nijiunge,na naomba technique za kuongeza uwezo wa kuongea,maana...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
jamani naomba mnisaidie tafsiri ya "kuwatetea watu" kwa lugha ya kingereza!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hilo neno mustakari linamaanisha nini?
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Nn maana ya hili tangazo ''MBONYI SHAFFO CLEME''
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mwenye kujua maana ya maneno hayo anisaidie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom