Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi - Men At Work = Watu Wapo Kazini? au Men At Work = Wanaume Wapo Kazini?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa wanaojifunza lugha ngeni, mf. Kiingereza, kwa vyovyote vile hawewezi kuimudi iwapo hawatafanya mambo yafuatayo: kusikiliza, kuongea, kusoma, na kuiandika kwa lugha hiyo ngeni. hii ni kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna mdogo ameniuliza maswali nami yamenipiga chenga, 1. neno gani la kiswahili lina maana sawa na neno kibogoyo ? 2 panga neno lifuatalo lillete maana ya kiswahili " RAHASIHI " Natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, Nimekuwa niliyasikia maneno haya mara kwa mara yakitumika. naomba maana yake. Maneno yenyewe ni kama ifuatavyo:- Zingua Mzuka Swaga Gozi-gozi Asenteni sana wana JF.
0 Reactions
1 Replies
13K Views
nimejaribu kutafuta huku na kule ili kujua maana ya LUKU,is it an abbreviation?ni lugha gani? shukran
0 Reactions
16 Replies
17K Views
Wana jamiii na wajuzi wa lugha mnisaidie kujua kama hilo neno kinyemela ni kiswahili sanifu. Nimemsikia naibu waziri wa Elimu Bw. Philipo Mulugo akiwaasa wakuu wa vyuo vya ualimu wanaodahil...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa heshima na imani kubwa sana ambayo ninayo naomba mnisaidie maana ya maneno yafuatayo na tofauti zake 1. NDOTO 2.MAONO maana yananitatiza saaana pia nawaomba mnielezee Maana halisi ya CHOTARA...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Asanteni wote mlionisaidia na mtaoendelea kunisaidia kuelewa lugha ya Kiswahili. Naomba mjue kuwa ninazo kamusi lakini mara kwa mara utakuta kuna maneno hayapo...au labda tatizo langu sio...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hi jf members naomba kufahamu matumizi ya miundo ifuatayo: -so as..... -so that.., -notwithunderstanding..... -nevertheless.., -no matter..., -such as..., Nawasilisha.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamvi habari zenu,nimekuwa mdau wa kuchukua yale yanijengayo katika pilika zangu za kielimu na leo naombeni msaada kwa hili"mother tongue is not necessary a mother's tongue justify. Naombeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nini kinaitwa mlango kati ya ule uwazi wa kuingilia au kile kinachoziba ule uwazi auvyote vinaitwa mlango?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habar wadau mimimni mwanafunzi na napenda kuwa mwalimu hapo baadae ila nashindwa kutofautisha katika matamshi r na l pia the na ze je naweza kubadilika na je ni kwa kufanyaje natanguliza shukran zangu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wana JF hususan wa jukwaa hili la lugha! Nimekuwa nikitafuta kwa muda mrefu mwalimu (kituo kizuri) mzuri wa lugha ya kiingereza na nilipata kumsikia jamaa anayeitwa RAS SIMBA,naomba kuuliza...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
wana jf ninaomba msaada wa hili hivi ni kwa nin infixation ni very rare kutokea kweny lugha? kama izo lugha zpo ntajien!
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Imekuwa ikinisikitisha, mara nyingi, kila nisomapo mada mbalimbali hapa, JF. Kuhusiana na matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili, neno kama UDHIBITISHO, inaandikwa USIBITISHO, neno NAAMINI...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Je angetumia kiswahili ingekuwaje? au Kingereza ni lazima kwa sababu ni oysterbay?
5 Reactions
73 Replies
7K Views
Hili neno linasumbua wengi (wengine wameishia kuita hivyo hivyo, wengine huita vijiti vya meno na wengine huita kichokonoo hasa kule Zbar) lakini naomba kushirikisha hapa kwamba maana yake ni...
0 Reactions
7 Replies
46K Views
Most people would think the most difficult part when learning English language is the grammar, which in its own right, it is true. Yet another part that is interesting, and funny too, is the way...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamvi la lugha,kuna kitu napenda kushea kuhusu matumizi ya ON na In unapotaja tarehe.I may not be that much good in explaining but worry not because the concept will not be distorted...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom