Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
I'm learning Swahili and I need help. Would someone help me?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
when low skies weightier than a coffin-lid cast on the moaning soul their weary blight, and from the whole horizon's murky grid its grey light drips more dismal than the night; when earth's a...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
Kuna rafiki yangu aliniambia kuwa mti unaozaa machungwa unaitwa mchungwa na mti unaozaa maembe unaitwa mwembe(muembe) lakini mti unaozaa ndizi unaitwa mgomba kwa sababu ukipanda ndizi hautaota...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa lugha za kibantu ukizungumza pwani neno makunduu jamii haito kuelewa ila pande za kaskikazini maana yake ni ndizi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau wa lugha, hvi "bussiness cards" zinaitwaje kwa kiswahili?msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
serikali yetu ina mpango gani wa kukifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa ?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimekutana na hili neno ugatuaji madaraka,ninaomba mwenye kujua maana au tafasiri yake anijulishe Mwenzetu
0 Reactions
4 Replies
5K Views
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Utasikia oh, nataka nimwoe 'demu' wangu, mara oh naenda kulala kwa 'demu' wangu, mara 'demu' wangu anazingua, mara 'demu' wangu anataka pesa, hivi huyu 'demu' ni nani? Nini maana yake? Nini asili...
0 Reactions
15 Replies
45K Views
kwa yeyote anayefahamu sehemu nzuri inayofundisha kifaransa anipe taaarifa!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, Jana kuna MwanaJF alianzisha thread akilalamika kuwa Mbunge wake wa Arumeru Mashariki ni mgonjwa sana na hivyo hawana mwakilishi jimboni kwao. Alitaka kujua serikali inaonaje kama...
13 Reactions
278 Replies
69K Views
mpoto akitetea mabadiliko hukuMaji ya ndimu akisisitiza shairi ni shairi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini zenu! Msaada wa kuwatofautisha wanyama hawa na majina yao kwa kiswahili Cheetah Tiger Leopard Kwa anayejua tabia zao na ni yupi ambaye ni hatari zaidi kwa binadamu na nchi gani...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wanajamii wanapochangamana na kubadilishana mawazo, kitendo hicho kwa neno moja la kiswahili ninaona litakuwa"KUJAMIANA"
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimesikiliza redioni na kusoma katika magazeti utambulisho wa magari (identification ante) ya viongozi wetu ambazo zinatumia herufi, waandishi wakiandika kwamba kuwa hiyo ni namba ambapo hakuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wengu ndo spleen? Na bandama je?
0 Reactions
1 Replies
11K Views
TUNDA Sheria na mila zetu, utokapo utotoni watambulika na watu, waingizwa ukubwani, waitwa mzima mtu, kisa ndevu kidevuni, kila nikitupa jiwe tunda hili nalikosa. Kundi kubwa kijijini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF nini tofauti Kati ya hayo maneno hapo juu.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naandika kutoa shukrani zangu kwa uongozi wa Jamii Forum kwa kulikubali ombi langu la kuwa mwanacham. Nitatumia fursa hii kutoa maoni, kujadili na hata kushiriki katika kutoa mafunzo bora ya lugha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu mwana Jamii Forum, Nakuomba uweze kushiriki katika tafiti hizi mbili kwa kujaza dodoso zinazopatikana katika links zifuatazo: DODOSO NAMBA 1: ATHARI ZISIZO ZA MOJA KWA MOJA ZA KIINGEREZA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom