Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Hili neno limekuwa likitumika hapa JF kuchangia maada.Tufahamishane NAPITA humaanisha nini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
sielewi ni salamu..ni tusi au ni kivip?...nawasikia watu siku hizi wanasema tu "majanga"...anaejua plz!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna siku nilikuwa na rafiki zangu wawili kutoka Kanada. Mmoja ameshawahi kuja Tanzania mara nyingi sana hivyo anaifahamu hii nchi na mwingine ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza. Sasa katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yamesemwa ndani ya kongamano linalofanyika chuo kikuu cha Dar es salaam.. Mtoa mada mzee abdulatiful abdala kutoka kenya..alisema eti Kenya sasa imefika mbali kuliko Tanzania katika nyanja za...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna matangazo ya kili music awards..watangazaji wanasema tuzo za kili wakati wengine wanasema tunzo. Hii imezua mjadala na ubishano usio kifani na wenye mashiko baina ya mimi na wana familia...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Msaada tofauti ya kiongozi na mtawala nashindwa kutofautisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je tofauti ya maneno ni ipi. Namfahamu mtu huyu, Namjua mtu huyu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni ipa tafrisi sahihi ya sentensi hii kwa lugha ya Kiswahili "YOUTH IN THE MOVE"
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamvi, naomba mwenye kujua neneo 'recycle' kwa Kiswahili anifahamishe. Shukrani.
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Napenda sana kujifunza lugha ya kihindi nani atanisaidia japo yakuombea maji.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
napata mkanganyiko ninapowasikia watu wanapo sema tuzo ,napengine kuwasikia wakisema tunzo! kipi ni sahihi hapa? 1. TUNZO 2. TUZO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Enyi wataalam wa Kiswahili. Naomba msaada wa hili neno: Noma. Najua maana yake lakini hapa JF neno hili huandikwa kwa spelling tatu tofauti kama: 1. noma 2.nouma 3noumer Mimi najua spelling namba...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habari zenu wana jf,MWANAZUONI ni nani/nini? Naomba msaada wenu tafadhali.. Asante.
0 Reactions
3 Replies
15K Views
Ukitazama kamuzi ya Kiswahili Sanifu, kwa kweli uwingi wa neno CHERAHANI ni MAREHANI na siyo VYERAHANI. Mpo hapo Waungwana! Pia kamusi hiyo ya Kiswahili Sanifu ya TUKI 1981, inafafanua kuwa...
0 Reactions
3 Replies
18K Views
naombeni msaada wa hekima ya maneno haya kuwa maana fulani unapolidadavua neno na kupata maneno yenye maana tofauti.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wanajamvi naomba kuuliza haya yanayojitokeza siku hizi kwa wingi katika kuandika na hata kutamka maneno ya kiswahili na kingereza kwa kubadili l na r. Hii inasababisha kubadili maana hasa ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba kupatiwa tafsiri ya hilo neno hapo juu.
0 Reactions
33 Replies
23K Views
Kisawe cha neno beseni ni karai nini kisawe cha neno samaki? Msaada please
0 Reactions
11 Replies
26K Views
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…