Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
NYOKA Nyoka hana gamba, ana ngozi, Nyoka hujivua ngozi, awe mpya, fisadi na mgomvi Nyoka kujivua ngozi, hakuondoi hatari Nyoka hana gamba, ana ngozi siku akivua ngozi, sirini yuko gizani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je yawezekana kujifunza na kuweza kuongea Lugha ya kiingereza kwa muda wa wiki tatu hapa bongo na kama yawezekana tufahamishane ni mahali gani hapo waheshimiwa? na ni kiasi gani?hii ni kwa mtu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiswahili kweli ni lugha masikini, maneno mengi yanatumika kwa maana tofauti na hivyo huweza kuwachanganya watumiaji: Mfano: 1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tangu nilipokua mtoto nimekua nikisikia watu wanasem ati hizo ni ndoto za alinacha. sasa nashindwa kupata jibu, huyu alinacha ni nani? au tunamaanisha nini tunaposema ndoto za alinacha? tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya neno LOVE na LIKE,Love is more serious than like,kwahiyo ni vigumu mtu ambaye umekutana nae kwa mara ya kwanza kumwambia I LOVE YOU,instead inapaswa kusema I LIKE...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Zipi sifa za mwanafunzi bora?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
leo tumeingiliwa na watu wanaoitwa wezi,zilisikika kelele tofauti kama ifuatavyo weezii waiizii majizi mijizi naomba maana hasa ya hayo maneno
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Tafadhali nisaidieni jinsi phrase hii `Regional Integration' inavyoweza kutafsiriwa kwa Kiswahili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vuvi lambwa vuvi nyika, jivuvi la madimbwini, likawaza kadhalika, lingevua baharini, Na sasa lafadhaika, chambo hakina thamani, Samaki amezichambo, au twambe hakioni? Karibuni katika uchambuzi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshma mbele wakubwa!naomba mnisaidie kunipa maana ya neno 'kANJANJA'
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Naomba kujua kama kuna maneno halisia ya Kiswahili au la lugha yoyote hapa ya Kibantu kuwakilisha maneno yafuatayo: -- nylon -- plastic -- rubber Ahsanteni. Steve Dii
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaada kutoka kwa wataalamu wa lugha ya kiingereza.Can you say...."at" new york? Or "In" New York? Which one is correct? if you wanna describe your location.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HIVI NIKISEMA TUONANE HALAFU. NA pia nikisema tuonane BAADAE. NI IPI TOFAUTI HASA YA HAYA MANENO (HALAFU) NA (BAADAE)
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wapendwa, Topic hii si ya Kisiasa bali ni Lugha, Hivyo naomba mawazo na michango yenu iishie hapo tu kama itawezekana. Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikimsikia Rais akinukuliwa au nikimsikia...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
mara nyingi utawasikia watu wakisema"nimezaliwa sehemu fulani" Kwa nini wasiseme"nimezawa sehemu fulani?" Kwa maana: Zaa-mzizi Zawa-tendwa Zaliwa-tendewa Hivyo kusema zaliwa,ina maana kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Malenga wetu Hodi hapa ukumbini, jamani naoma mnijuzze maana ya maneno Credit, debit na commulative ballance kwa kiswahili, natafsiri cash book, doooooo salale!!!! msaada tafadhali asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
33K Views
Nimekuwa nikisikia siku hizi, kutoka kwa vijana, hasa wakina dada, kuwa utamkaji (lafudhi), (intonation) ya Kiswahili wao ni tofauti na wakati uliopita. Nikisikiliza Kiswahili, hasa kutoka kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu neno sahihi na fasaha la "TENDO LA NDOA" ni lipi??
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Wana jf naomaba tofauti ya maneno tuzo na tunzo, au yana maana moja?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka kuanzisha thread came ile kuhusu maneno za kiswahili zinazohusu technolojia (=> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/128274-technolojia-na-kiswahili.html ) , lakini sasa unatakiwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…