Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Arkansas State offering Mandarin, Swahili classes Associated Press - June 16, 2008 10:24 AM ET JONESBORO, Ark. (AP) - Students at Arkansas State University will be able to enroll in...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana, Leo nawaombeni tujadili na tuichambue michango ya muziki wa Bongo Flava kwenye istilahi na misamiati ya lugha ya Kiswahili, kama ifuatavyo: 1) Mtoto wa Geti Kali - Msamiati huu...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hodi hodi wahenga, kijana wenu nna swali, Kuna jambo lanichenga, akilini natafakari, Jambo hili la chemba, wawili wanapo vinjari, ukubwa wa melikebu au mwendo wa bahari? saizi ya melikebu...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Sitaupoteza muda, ninalo la kuusia, Hasa kwenu kina dada, ninyi wa Kitanzania, Nilisemalo si ada, bali onyo na wosia, Mgomba huo si wako, acha kula ndizi zake. Aloupanda jirani, acha...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Nabisha hodi watani, mjuao Kiswahili, Nimetingwa mawazoni, sasa nauliza swali, Jibu niandikieni, moyo wangu ukubali, Kula tunda kwa kuiba, kwanini huko kutamu? Ni tunda naulizia, lile...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Wakubwa zangu,na wakuu wenzangu! Napenda kuwasalimu kwa lugha ya kwetu. Mambo! Nadhani kwa pamoja mtajibu Poa tu! Katika kuinzi na kuiendeleza kiswahili chetu. Napenda kuileta kwenu Thread hii...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Zamani, kwenye michezo kama mpira wa miguu, mpira wa kikapu, nk; mchezaji akipigwa kwa kutumia kiwiko (elbow) tulikuwa tunasema amepigwa "kipepsi." Kwa nini tuliipa "kiwiko" jina la "kipepsi"? Je...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nawauliza malenga, ninyi mlio bobea, Magwiji kutoka Tanga, na hata wa kule Mbeya, Hata Tabora Igunga, swali ninawatolea, Nimle vipi samaki, samaki anayenuka? Nimempata Mwaloni, ni pale...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Leo ninashangalia, mimi tena siyo duni, Kwani nimejipatia, furaha nyingi moyoni, Na nimekoma kulia, imenitoka huzuni, Binti niliyekutaka, leo nimejishindia!! Ilikuwa kazi ngumu, miye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Toka nje...(?) Katoka nje...(?) Toka ndani...(?) Njoo nje...(?) keleleni...(?) Nyamazeni...(?) Kaondoka nyumbani...(?) Katoka nyumbani...(?) Nilikuwepo sipo...(!?) Sikuwepo....(?)...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Kwa kawaida mimi sio mpenzi wa kusikiliza radio , ni mara chache sana huwa nasikiliza kwa sababu maalumu , Leo kwa bahati nzuri nilikuwa nasikiliza machache kutoka kituo cha clouds FM ...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nimefanya kautafiti ka haraka haraka na kugundua kuwa Watanzania wanashukuru kwa namna tofauti kwa kufuata jinsia zao. Na hasa pale ambapo wanajibu shukrani zinazotelewa kwao kwa kiingereza au kwa...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Jana nasikiliza redio mtangazaji anasema "sasa hivi ni saa mbili na nusu kwa saa za Afrika Mashariki" Mimi naona hapa kuna kasoro. Mtangazaji hajatofautisha kati ya Wakati Na Saa. Saa ni kipimo...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wana Jambo Forum; Salama nawatakia, wenzangu wa humu ndani Nadhani mtapokea, salamu zenye amani Choveki naulizia, wenzangu mu hali gani? Amani nawatakia, wenzangu jambo foramu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania tuna lipi la kujivunia kama hii report ya Human Development Index inavyyonyesha tupo kuleeeeeeeeeee mwisho kabisa hata Uganda na Vita, Njaa, Umasikini, n. k bado wametupita shame, shame...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
He tried hard enough To make me grab my A4 wood And for a moment, gazed at the blank spaces Thought and scrutinized If it was worth it, or otherwise For all I really wanted An end to the...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I know! I know you are mad and upset That I didn’t leave you alone and yet I kept pushing and nagging, and asking About it! I know you wanted me to stop And leave you alone and be gone! But...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baraza la Kiswahili lashutumu wabunge kwa uchafuzi wa Kiswahili Na Salim Said, MUM MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), Suleiman Hega amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimepata habari hii kutoka kwenye mtandao wa kiswahili jamani someni habari hii imetulia pia naomba maoni yenu. Kiswahili as a National and International Language By M.M. Mulokozi Institute...
0 Reactions
0 Replies
22K Views
Moyo ulianza kunienda kwa kasi, viganja vilianza kulowa jasho, na koo lilinikauka nilipokuwa nikikata kona kuingia katika eneo la Hospitali ya Bombo, mjini Tanga. Moyo wangu ulikuwa umegubikwa na...
0 Reactions
9 Replies
115K Views
Back
Top Bottom