Habari zenu watani, mabibi nanyi mabwana,
Miye nawasalimuni, kindugu siyo kitwana,
Na beti zangu someni, ni hizi za kiungwana,
Nina vyakula viwili, nichague kipi kwanza?
Ninayo njaa...
Napiga hodi watani, wa kijiji naingia,
Ngojea niketi chini, swali kuwaulizia,
Nilonalo mtimani, beti ninalitungia,
Ndege niliyemnasa, mtegoni katoweka
Ni ndege niliyemwinda, asubuhi na...
How do you feel when someone greets you with "hey" as they would by saying "good morning" "hello" and the like? Or, find email popping up your screen with subject line, "Hey" you ?
Personally...
Wadau leo tupeane shule kidogo kuhusu Kiingereza cha kistaarabu. Ongeza kauli mbadala yoyote unayokumbuka hapa.
Naanza:
1. Stupid = Unwise
2. That is a lie = That is truth in reverse
3...
HILI ni wazo langu kwa fikira zangu dogo.
Labda niliweke katika swali. Je JamiiForums ina watu wenye mapenzi na Kiswahili kiasi cha kutosha kujitolea muda wao kuanzisha kitu kitakachoitwa...
Do you speak more than one language?
What language do you wish you knew?
Which do you think would be most beneficial to know (other than your country's official language)?
I speak English and...
Salaam nawatumia, wa bara na visiwani,
Mwenzenu nimeumia, ulimi umenihaini,
Tamko limetimia, kutenda naona soni,
Ee wangu ulimi, mbona umenisaliti?
Nilisema kwa dhihaka, nakutaka...
This is Very Very inspiring! Please Enjoy!
When things in your life seem almost too much to handle, when 24 hours in a day are not enough, remember the mayonnaise jar and the 2 cups of coffee...
Hii kuna mtu kanitumia,nikaona si vibaya mkapa ladha iliyomo na hata kutoa maoni yenu
A good woman is proud of herself. She respects herself and others.
She is aware of who she is. She...
Guys,What is an impressive English word that you know.... can you define it , and properly put it in a sentence?
Just for starting...
Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis - a...
NIA na shabaha ya mada hii ya Watanzania na Kiswahili ni kujaribu kufufua mada yangu ya awali wakati nikiwa mwandishi wa habari juu ya umuhimu wa Kiswahili katika kuleta maendeleo ya kweli ya watu...
Nimefurahiswa na Rais kutukumbusha/kusisitiza kuwa juice kwa Kiswahili ni sharubati, lkn alinishangaza/alinisikitisha pale aliposema "ng'ombe zangu"!! Hiki si Kiswahili sanifu!
Watanzania wengi...
Katika kipindi kile palipokuwa na mjadala mkubwa kuhusu Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia toka elimu ya msingi mpaka chuo kikuu,binafsi nilikuwa napinga kwa nguvu zote huku nikiamini kwamba...
People often say that motivation doesn't last. Well, neither does bathing - that's why we recommend it daily Zig Ziglar
By definition motivation means that which motivates, that which makes...
Vyombo vya Habari vinatuchanganya, Chombo kimoja kikasema, Breaking News ni Mpasuko wa Habari, hii ilikuwa wakati wa Kifo cha Ditopile, Redio Moja inasema Breaking News ni habari Mahsusi...
Adware Advertising that is integrated into software. Adware is often combined with a host application that is provided at no charge as long as the user agrees to accept the adware.
A blog (short...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.