Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu, kumekuwa na tabia ya jamii kutumia sentensi "kwa majina naitwa" au "majina yangu ni" kila kunapofanyika utambulisho. Naomba kujuzwa kama hii ni sahihi ama la. Tena hata kwenye vyombo vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kuuliza hivi Hilo neno happy juu kwenye kichwa Cha habari Lina maana gani in Swahili?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wajuzi mniambie maana ya hi methali "Lila na fila hazitangamni"
1 Reactions
3 Replies
8K Views
Wadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea Kiingereza cha kuvunjika vunjika Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
0 Reactions
38 Replies
31K Views
Salaam Wakuu, karibu tupate somo la lugha tujikumbushie shule kidogo. Najua wengi wetu kwa namna moja au nyingine katika harakati za kusoma mshawahi kusikia neno kirai na kishazi. Katika kujifunza...
1 Reactions
2 Replies
20K Views
Madalali wengi na watu binafsi kwa Tanzania wanatumia neno Public toilet kwenye choo cha wageni katika (residential house) makazi binafsi. hii imekaa sawa?
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Wasalaam, Tuendako hakuna nuru na dalili ya mvua ni mawingu.
11 Reactions
89 Replies
5K Views
Habarini za mchana wana lugha. Nimekuwa nikisikiliza mara kadhaa nyimbo za wasanii wa hapa bongo na nyimbo zao zikiwa na maneno tata au majina ya nyimbo zenyewe kuwa na ugumu kung'amua maana, kwa...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Salaam Wakuu, Katika andiko la leo tutaangalia mbinu za ujumla za kuandika makala. Natambua kuwa zipo aina nyingi za makala na upo uandishi wa aina nyingi lakini uzi huu utajaribu kuangalia mbinu...
2 Reactions
9 Replies
11K Views
Katika kamusi ya tuki, neno "trauma" limetafsiriwa kama 'kiwewe' kwa haraka haraka nikaoanisha na maneno kama 'mauza uza' ama 'mawenge' Sasa wanajamvi naomba mnisaidie kutafsiri maneno hayo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, tunaendelea na somo letu la aina za maneno. Katika andiko hili tutachimba kiasi katika maana na aina za Viunganishi. Twende pamoja hapo hapa chini: VIUNGANISHI Viunganishi ni...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Wakuu salaam, tunaendelea na mada kuu ya aina za maneno katika lugha. Katika uzi huu tutafafanua dhana ya Vielezi na aina zake. Twende pamoja: VIELEZI Vielezi ni maneno yanayotumika kufafanua...
1 Reactions
8 Replies
21K Views
Salaam Wakuu, tuendelee na somo letu pana la aina za maneno. Katika andiko hili tutasonga zaidi kwa kutazama kiundani Viwakilishi na aina zake. Twende pamoja. VIWAKILISHI Viwakilishi ni maneno...
2 Reactions
2 Replies
26K Views
Salaam ndugu zangu, tuvitazame vivumishi kwa mapana yake. Katika andiko hili tutafafanua dhana ya vivumishi, aina zake pamoja na kutoa mifano mbalimbali. Twende pamoja; VIVUMISHI Kivumishi ni...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Salaam Wakuu, Leo turudi shule kidogo tujikumbushe aina mbalimbali za maneno katika lugha. Mada hii itaeleza kwa ufupi aina mbalimbali za meneno zilizopo halafu mada zijazo ntagusia aina moja...
1 Reactions
6 Replies
11K Views
Subalkheir ndugu zangu, Baada ya andiko lililopita kufafanua aina mbalimbali za maneno (Soma hapa: Aina za maneno katika lugha ya Kiswahili) nikaona si vyema kuwaacha hewani. Kama nilivyoahidi...
1 Reactions
1 Replies
22K Views
Habari za saizi wakuu. Naomba kufahamu maana ya hilo neno mara nyingi hutumika Kwa wasomi waliosoma chuo kikuu cha Dar es Salaam.
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Naombeni kirefu cha neno CDF yaani mkuu wa majeshi
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…