Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tafadhari naomba kusaidiwa maana ya ili Neno Goroka na Asili yake n Wapi?
0 Reactions
2 Replies
8K Views
"MISEMO UJITANI" 1. Jisiku kabhajo anu jabhajire na imbwa inu itakulima. 2. Liwa linu elitama imembe imbwa itakulitula 3. Omuyari erabhire okufwa, omubha akafwa kegoro. 4. Kasoga okwoga aliuti...
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Hellow members I'm here to improve my english so I will going to reply all the contribution here through english language please dont stare or lough on me when I do the mistake in grammar or...
5 Reactions
112 Replies
12K Views
Habari zenu wajumbe? Ndugu wajumbe, Karibuni kwenye huu uzi maalumu wa kukumbuka vitendawili vya shuleni na kutega huku wengine wakitegua kuanzisha na wengine kumalizia methali pamoja na kutoa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wataalamu na wazoefu wa Lugha ya Kibena au Wabena naombeni tafsiri ya neno "Zawadi" kwa lugha ya Kibena Asante nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu habari, natumai mu wazima usiku huu mkiwa mmejipumzisha baada ya pilika za mchana, Moja kwa moja niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu naomba kwa wale walioishi South na wale...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
1)Mimi nataka kujua,kuuliza si ujinga Swali nalipambanua,kusikiza najipanga Masikio nainua,Leo nitoke na mwanga Eti kupiga kidaku,ilikuwa ni haramu ? 2)Daku walituhamsha,kwa qaswida wakiimba...
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Samahani nina swali kuhusu neno mjegeje. Nimesoma neno mjegeje lakini sijajua na sijaelewa maana yake. Nimegoogle na sijapata kamusi inaonyesha neno hii. Neno hii ni neno ya slang au kwa nini neno...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
kwa sisi ambao lugha yetu mama si ile ya malkia,katika kusoma soma vijarida mbalimbali nikakutana na hiki naomba tu shee nadhani kitasaidia na wengine kama kilivyonisaidia mimi quoted; Listening...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
NIHAMSHE DAKU. 1)Ule usiku wa Jana,miye nimepitiliza Usingizi kanibana,kubaki najigeuza Nilipo kuzindukana,muda nimeshaunguza Naomba mnihamshe,ili nami Nile daku. 2)Siyo Jana hata...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
TUACHE ISIRAFU. 1)Wapo wanakula sana,wafuturu kwa haraka Leo twalinganiana,chakula kiwe haraka So kwamba twasema,tusije kukasirika Tuacheni isirafu,Tufuturu kawaida. 2)Mtu wafuturu sana,kama...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Utani cpendi
0 Reactions
1 Replies
713 Views
KARIBU TUFUTURU 1)Jamvi natandika nje,njoni tukusanyane Njoni goti tukunje,kwenye kheri tukutane Hata kama ni vipunje,hivyo hivyo tugawane Karibuni tufuturu,mwisho na dua tuombe. 2)Japo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TUWAGOMBANISHE 1)Tumeichoka amani,iliyopo duniani Tukawatie vitani,waishi kimashetani Tukawavishe medani,tuue yao amani Twende tuwagombanishe,dunia imwage damu. 2)Twende tuwapiganishe,kisha...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Tuwe wakweli!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
SIFUNGI NASHINDA NJAA. 1)Siku yangu imeisha,bila hata ya kuswali Funga nimetamatisha,na mengi yangu maswali Funga yangu bila swala,sifungi nashinda njaa. 2)Hii yangu funga gani,hata swala...
1 Reactions
1 Replies
923 Views
POLE KWA SWAUMU. 1)Japokuwa nalegea,ila katu sitochoka Siku nazo zakimbia,taratibu zaondoka Hazito tusubiria,kwa kasi zitaondoka Ndugu msinipe pole,sijachoshwa na swaumu 2)Pole zenu...
2 Reactions
5 Replies
578 Views
MGENI WA MWAKA. 1)Tumesubiri kwa hamu,kukwona mgeni mwema Nyingine hii yetu zamu,kufikwa tu wazima Tulikuwa to fahamu,tungekwona ewe mwema Mgeni mwema wa mwaka,karibu kwengu nyumbani. 2)Muda...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji mwalimu wa kunifundisha kupitia njia ya mtandao Language 1. *** Nawasilisha wakuu
0 Reactions
2 Replies
692 Views
Sasa nimekuwa nasafiri uarabuni nikipata shida nyingi ya lugha. Najua kiswahili na kiarabu vinafanana kwa hivyo naomba watu nisaidie maneno yaliyo takriban yaleyale kwa hizi lugha mbili...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom