Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,baba wa Taifa la Tanzania kama anavyojulikana kwa wengi. Mbali na kuwa mwanasiasa,mwalimu na mpigania uhuru wa Tanzania na Afrika,pia alikuwa ni msanii,mtunzi...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa mwenye kujua nini hasa maana ya neno "uchochezi" Kwa upande wangu ni kufanya ktu kiwe katika hamasa ya juu kabisa " yaani mambo ni moto". Sidhani kama kila uchochezi huwa ni kosa kama...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Poor English from a Tanzanian reputable media...this is the most pathetic English ever....Najua hamjanielewa nlichosema hapo juu....mtumie kiswahili tafadhali
12 Reactions
119 Replies
15K Views
Wataalam samahani naomba kujuzwa ikiwa kuna mtu anafahamu, kama kuna chuo Dsm kinafundisha watafsiri wa lugha ya kiingereza kwa kiswahili au kiswahili kwa kiingereza ( Interpreters)
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Wana jamvi naombeni kujua kiswshili sanifu cha ICU
1 Reactions
9 Replies
12K Views
"Ukitaka Kula Nguruwe Chagua aliyenona" Mwenye kujua maana ya methali hii naomba anijuze tafadhali
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari wanajamvi; Salaam JF; Nimekuwa nakutana sana na huu msamiati "Papuchi" katika nyuzi mbali mbali hapa JF. Je hili neno ni kiswahili fasaha ? Je limetokea wapi (Origin yake ) ? Je...
3 Reactions
39 Replies
19K Views
Napenda sana hii Archimedes Principle] jinsi ilivyo kwa Kiswahili: "When a body is partially or totally immersed in a fluid, it experiences an up thrust on it which is equal to the weight of...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Mtu anaposema "to break even" kiswahili chake ni kipi?au ni sawa na kusemaje kwa kiswahili chetu.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
THAMANI YA POPI. 1)Tumeirudi miaka,ile tisini na ine Anathaminiwa paka,na wale watu wengine Tumeiruka mipaka,tumenda pande nyingine Ya binadamu thumuni,thamani ya popi kubwa 2)Utu wazidi...
1 Reactions
0 Replies
811 Views
Siku za karibuni kumekuwepo mlipuko (outbreak) ya matumizi mabaya ya maneno ya lugha ya Kiswahili katika majukwaa ya JF. Inaonekana ima watu wanaigana katika kuandika vibaya au hawajui wanaiga...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
naombeni maana ya hili neno "kimalando" kwa kichaga na usisahau kusema ni kichaga cha wapi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu simu yangu aikamati mnara ,nasijui kifaa gani kimeleta shida , samahani kama kuna yeyote anamfahamu fundi mzuri Wa kulekebisha mtandao ukamate mnara plz ni pm
1 Reactions
6 Replies
1K Views
So close..' out of reach So physical' untouchable So few, uncountable So visual! yet to be seen Black and void in the womb In the primodial waters Black, void the source So hopeful for the...
1 Reactions
2 Replies
771 Views
Kichaga kama Kifaransa vile... Kwa uvivu wa kuita majina ya Watu hadi liishe huwa ni ngumu sana... huyo Clement huitwa Cle me.. Hii Bonsavoo inaendana na Bonjour.. ai see Clement Hebu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wa Jf wote. Mimi nipo naishi Arusha. Nilikuwa nauliza wapi nitaweza kupata chuo cha kujifunza lugha ya kichina ? Mwenye kufahamu awasiliane nami kwa email ya iddyallyninga@Gmail.com...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndugu, Excellent Training Center ni kituo cha kufundisha masomo ya QT na wanaorudia form IV, pia tunafundisha Elimu ya Watu Wazima wasio jua kusoma na kuandika. Kwa miaka yote tumekuwa...
0 Reactions
0 Replies
832 Views
YAPENDEZA MUOANE. 1)Nimekaona kapicha,cha bibi na bwana yule Leo sitaki kuficha,picha nimeona kule Karembo kamejificha,siyo katoto cha shule Ninga nakupa salamu,Uhega nenda uoe. 2)Mbona...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Nini tofauti kati ya Makamu wa Rais, Naibu Rais na Kaimu Rais. Kwa uelewa kidogo nilionao naona kiutendaji Naibu Rais ana nguvu kuliko Makamu wa Rais. Je, imekaaje vyote ni sawa au kunautofauti...
4 Reactions
24 Replies
11K Views
SHAIRI: KWANINI TWAKICHAFUA KIOO? MTUNZI: MULIKUZA PASCHAL Mara nyingi huwa hakidanganyi kile kionacho, Huonyesha taswira iliyopo mbele yake bila mficho, Haijalishi taswira ina muonekano gani kwa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom