Hbr wadau naomba maana ya maneno/misemo hii.
1. Ameenda nchi za nje. ( kwani nchi za ndani ni zipi)
2.Ameenda ng'ambo.( kenya nayo ni ng'ambo? Au ni ulaya tu
3.Ameenda Ughaibuni.( ndo wap...
"Aisee bro leo usipolipa deni lako familia italala njaa"
"Mungu saidia nimepata kura za kutosha AISEE la sivyo nyumba yangu ingeuzwa"
Swali: (i) Neno/Msemo Aisee ni la Kiswahili, kama ndio...
Hapo zamani nilikuwa nasoma katika magazeti hadithi za kusisimua za Eddie Ganel. Pia ameandika kitabu, Ndoto Ya Mwendawazimu. Kuna mtu ambaye ana habari za huyu mwandishi?
Hebu mnaoelewa kisweed twanbieni
Leo nikiwa mjini Stockholm nimeona jarida limeandika hivi
Vad gjorde Dr Magufuli berömd är mycket samma saker som fångade den tanzaniska befolkningen med...
Sasa hivi imekuwa kama aibu ukimwambia mtu au ukijitambulisha kuwa Mimi natokea Sengerema au naishi Sengerema kutokana na matumizi ya lugha wanayoitumia vijana wa siku hizi
Ni tukio lililotekea...
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
Siku moja kijana wangu wa kwanza mwenye Umri wa miaka minne (Rejoice I. J M) akiwa anaenda shule alikuta ma Pampers yaliyooza barabarani. Aliporudi nyumbani alilalamika kuwa dada yake (housegirl)...
Yapata saa tisa za usiku.. alionekana pale,mwenye taharuki..
sura yake dhahiri ilijazwa na hofu,hofu yenye ambato la kutokujua afanye nini!
halikuwa moja lenye kumchanganya, yalikuwa mia...
Dah,,,
Neno ''FULSA'' linapooneka kwenye matangazo ya Televisheni ya Taifa TBC ni tusi kubwa Watanzania wazalendo....
Haiwezekani tukajivunia lugha yetu ya taifa halafu chombo tunachokitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.