Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1. Swahili--107million. 2. Housa --50million. 3. Oromo--30million. 4. Yoruba--30million. 5. Zulu--28million. 6. Amharic--25.8million. 7. Igbo--25million. 8. Fulani--24million. 9...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Hbr wadau naomba maana ya maneno/misemo hii. 1. Ameenda nchi za nje. ( kwani nchi za ndani ni zipi) 2.Ameenda ng'ambo.( kenya nayo ni ng'ambo? Au ni ulaya tu 3.Ameenda Ughaibuni.( ndo wap...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Je, jibu la swali la sita ni lipi? Huu ni mtihani wa Kitaifa wa darasa la nane.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
"Aisee bro leo usipolipa deni lako familia italala njaa" "Mungu saidia nimepata kura za kutosha AISEE la sivyo nyumba yangu ingeuzwa" Swali: (i) Neno/Msemo Aisee ni la Kiswahili, kama ndio...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hapo zamani nilikuwa nasoma katika magazeti hadithi za kusisimua za Eddie Ganel. Pia ameandika kitabu, Ndoto Ya Mwendawazimu. Kuna mtu ambaye ana habari za huyu mwandishi?
0 Reactions
79 Replies
23K Views
kusema "treat water" kwa kiswahili sanifu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hiyo sentensi mtu anaweza ielewaje kwenye lugha ya Kiswahili?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE 🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
1 Reactions
140 Replies
23K Views
Hebu mnaoelewa kisweed twanbieni Leo nikiwa mjini Stockholm nimeona jarida limeandika hivi Vad gjorde Dr Magufuli berömd är mycket samma saker som fångade den tanzaniska befolkningen med...
2 Reactions
71 Replies
8K Views
Kwa heshima na taadhima naombeni kujuzwa ikiwapendeza mnipe na mfano, a recent example
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sasa hivi imekuwa kama aibu ukimwambia mtu au ukijitambulisha kuwa Mimi natokea Sengerema au naishi Sengerema kutokana na matumizi ya lugha wanayoitumia vijana wa siku hizi Ni tukio lililotekea...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ndg wana JF, Mwenye kujua kwa ufasaha tofauti kati ya riwaya na tamthiliya anisaidie jaman.
0 Reactions
7 Replies
54K Views
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
11 Reactions
764 Replies
69K Views
Let us meet here
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Siku moja kijana wangu wa kwanza mwenye Umri wa miaka minne (Rejoice I. J M) akiwa anaenda shule alikuta ma Pampers yaliyooza barabarani. Aliporudi nyumbani alilalamika kuwa dada yake (housegirl)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninaomba mwenye soft copy hiyo anisaidie tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yapata saa tisa za usiku.. alionekana pale,mwenye taharuki.. sura yake dhahiri ilijazwa na hofu,hofu yenye ambato la kutokujua afanye nini! halikuwa moja lenye kumchanganya, yalikuwa mia...
0 Reactions
6 Replies
927 Views
What Haemonotox Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
480 Views
Dah,,, Neno ''FULSA'' linapooneka kwenye matangazo ya Televisheni ya Taifa TBC ni tusi kubwa Watanzania wazalendo.... Haiwezekani tukajivunia lugha yetu ya taifa halafu chombo tunachokitumia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
1.Hali sasa taabani,sote pia tumechoka Balaa barabarani,dereva wanaropoka Waamualo chumbani,mkosi wakisha toka Dereva hukurupuka,akifikiri kwa honda. 2.Abiria ka shetani,tuishi alitamka Hali...
1 Reactions
1 Replies
865 Views
Back
Top Bottom