Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Karibu ujifunze Kiingereza Kozi hii ni mfululizo wa vijitabu vya kufundishia Kiingereza cha kawaida cha kuongea. Katika vijitabu hivi, utakuta mazungumzo ya Kiingereza, tafsiri, maelezo na...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Hello wadau wa lugha. Nataka kumfundisha course ya kingerezamdogo wangu aliyehitimu darasa la saba . Sasa sina materials. Wenye vitabu vizur vya english course naombeni mnisaidie. Natanguliza shukrani
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Wakuu, ni kwa nini kizazi hiki cha sasa kinaona ugumu kutumia herufi H kiusahihi? Neno Habari linaandikwa Abari, Hujambo inaandikwa Ujambo, Hayupo inaandikwa Ayupo. Mengine mtaongezea. Mwanzoni...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo nilikuwa naangalia habari KTN lakini niliona kiswahili kilichonifanya nifikirie. Kwenye habari yenyewe ni kwamba pale walipotaka kutangaza idadi ya vitu katika @Percentage walikuwa...
1 Reactions
2 Replies
950 Views
kwa kutumia kiswahili fasaha, Tunga sentensi nzuri yenye neno " Giza limeingia" Atakayetunga sentensi yenye like nyingi nimeandaa zawadi ya weekend!!!!
3 Reactions
51 Replies
6K Views
Huu usemi nimeamini baada ya kutoka kwa ajali za Mv Bukoba na Mv Nyerere ukiwa na maana ya meli/mtumbwi uzama/ uharibika pindi unapokaribia kufika kwa kweli wahenga waliona vingi.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa Tanzania hii naona Meli nyingi zinaanza na neno MV.....halafu Bukoba,Nyerere, nk.
1 Reactions
35 Replies
13K Views
HII NDIYO MAANA HALISI YA NENO KATERERO Rafiki yangu mpendwa, naandika maneno haya nikiwa na uhakika kuwa yatakufikia na kuweza kukutoa katika kifungo cha mawazo. Ni wajibu wangu na ni haki yako...
1 Reactions
9 Replies
81K Views
Nasikia na kuona maandishi kwa kila mwenye shahada ya uzamivu kuitwa daktari!!! Je hii ni sahihi? bakita wangetusaidia kwa hili. Kwa maoni yangu: daktari ni tabibu na huyu mwanazuoni mwingine...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeona mrembo amempost WhatsApp status kaka yake halafu anamwambia "amedamshi!"Mimi bwanashamba si vibaya mkanieleza nikajua ili mnitoe ushamba...
1 Reactions
25 Replies
16K Views
Huu usemi wana wanautumia sana kitaa...una maana gani. Wa OP pia mnakaribishwa
0 Reactions
11 Replies
3K Views
1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge - jokofu 8. Juice - sharubati...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Si mmesikia wimbo mpya wa Sauti Sol - Tujiangalie? Naona huu wimbo una maana nyingi juu ya historia na mwelekezo wa Kenya. Kuna mtu hapa mstadi wa Kiingereza ambaye anaweza kujaribu tafsiri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiingereza cha kiTanzania Wapendwa wana JF na wale wote wenye mapenzi mema na nchi yetu Tanzania; hapa ulimwenguni katika nchi zote zilizotawaliwa na mwingereza takriban kila moja ina...
0 Reactions
53 Replies
11K Views
Tusaidiane kuna baadhi ya maneno yamekuwa na mkanganyiko,Wataalam wa Kiswahili tunaomba mtusaidie jinsi tunavyowaita watu hawa: 1.Mtoto wako anamwitaje Bibi yako? Watu wengi wamekuwa wakisema...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Najua jamii fr ni kitivo cha wajuvi naomba kufahamishwa
1 Reactions
44 Replies
15K Views
"Mimi huwa sisemagi ukweli" Naomba mniambie hiyo sentensi hapo juu ina maanisha kuwa huyo jamaa ni mkweli? Na kama ni mkweli, kwanini hapo kaongopa? Na kama sio mkweli, maana yake anasemaga...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sasa hivi kila kona ukipita utasikia "Damshy" Si makanisani wala Misikitini kote huko utasikia "DAMSHY". Si Wamama wala Wababa kila mtu anasema "DAMSHI" Hivi hili neno limetoka wapi na maana...
5 Reactions
20 Replies
16K Views
Je, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Habari za wakati huu, niende kwenye Mada ninaishi na mmiliki wa nyumba mmakonde hajui kuzungumza lugha ya watanzania kila wakati anazima taa usiku. Tumeshindwa kuelewana lugha ya kiswahili na...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom