Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habarini wakuu Hivi hiki kinywaji kina asili ya mkoa gani?
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Ila twende mbele na kurudi nyuma. Jamani kuna chapati tamu sana. Dodoma kuna kampuni ya catering inafanya huduma zake pale Treasury Square! Kwa Chapati kama zile, binafsi naweza kutumia 1.1...
11 Reactions
78 Replies
13K Views
Habarini wana Jamvi. Aki nimetoka kufunga swaumu imenishape kwakweli. Mana nilikua nimefura tumbo iko kama meneja wa epa kitu sio poa kwa kijana kama mimi. Hata nikajaribu ku excise but do zangu...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
17 Reactions
34 Replies
5K Views
1. Samaki na mihogo 2. Ndizi na nyama 3. Mzuzu mbivu na maini au figo 4. Prawns na tambi nyembamba
9 Reactions
71 Replies
9K Views
Kwa wale vijana wa kiume na wakike ambao huwa mnapika chapati za kumimina simple simple yaani chapati unakula lakini hata ladha huifurahii. Hebu pitia hizi njia hapa then utakuja kunishukuru...
4 Reactions
37 Replies
16K Views
Mahitaji 1. Sukari vikombe 2 2. Maji vikombe 2 3. Nusu kikombe unga wa ubuyu 4. Vikombe 4 ubuyu wenyewe 5. 1/4 pili pili ya unga 6. 1/4 tsp chumvi 7. 1/4 tsp iliki ya unga 8. Rangi nyekundu...
6 Reactions
2 Replies
4K Views
Niliangalia jinsi wapishi wa Mtwara, Lindi, Morogoro walivyokuja na vitu asilia nikaangalia promo anayoitoa chef cook Mr Urio ,nawahakikishia mshindi wa kwenda South Africa kati ya wanne wawili au...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mahitaji: Ndizi za kupika(ndizi bukoba) kubwa 5.Menya,kata katikati ukipenda Viazi ulaya 4 vikubwa.kata katikati kwa urefu Nyama kilo 1.chemsha adi iive Nyanya 4 kubwa.sugua au saga Nyanya ya...
6 Reactions
9 Replies
17K Views
Kila nikipika keki wanaokula wananiambia haijachambuka ila uiva vizur tu na muonekano wake mzuri naomba kujua tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sijui kama nipo jukwaa sahihi au lah. Naomba kuuliza kama kuongeza sukari kwenye maziwa fresh hauwezi kupunguza ubora wa maziwa? Kwan hata maziwa mgando yakiwa yameganda kabisaa ukiweka tu sukari...
2 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari wana JF Chef.... Kuna hii mada nimekutana nayo nikaona ni vyema nikashare nanyi... Ni ndefu ila ina ujumbe mzuri sana!!! Karibuni Najua wengi mnaifaham Baking soda au Bicarbonate of soda...
34 Reactions
58 Replies
80K Views
Bamia za kukaanga na mafuta,Hapo naongeza na nyanya. Mimi hupenda na Ugali. Bamia za Kuchemsha[Mrenda] Waungwana hivi ni kwanini mboga hii ya Bamia Wanaume wengi Hawali/Hawaipendi? Jee...
6 Reactions
58 Replies
32K Views
Ninasoma saana humu ila mwezenu napenda kula local food Mfano chai nasindikiza na maboga mamung'unya mahindi ya kuchemsha viazi Karanga nk Kwa kawaida hivi hua vinahitaji maji tuu chumvi mzigo...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari za muda huu wana JF. Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema hadi muda huu. Napenda kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioondokewa na wapendwa wao...
32 Reactions
240 Replies
23K Views
Jitazame wewe mwenyewe. Je, unaingia kwenye aina ipi kati ya hizo hapo chini? Mimi niko namba 3 japo kuna wakati huwa nadondokea namba 2 pia
2 Reactions
36 Replies
7K Views
wakuu habari za jumapili nilkuwa nauliza hivi pressure cooker isiyotumia umeme ipi nzuri kati ile ya mshikio mmoja na ile yenye mishikio miwili ina filimbi mbili na ipi imara sasa me ninayo hii ya...
1 Reactions
35 Replies
16K Views
Jamani mimi ni mweupe kabisa kwenye kupika, hivyo basi naombeni mnisaidie jinsi ya kutoa pilau zuri maana nategemea kuanza kuishi geto hivi karibuni asanteni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wananzengo bila kupoteza muda poleni na Na Majukumu yenu Ningeomba kujua ni kwa Maeneo ya MOSHI & DAR ni Sehem gani (Organization) Wanatoa FIELD Assistance nzuri kwa Career ya Human Resource...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…