Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Watu wa Dar karibuni. Ukipata Hii Kitu roho inafurahia sana. Likizo Yangu Yote naitumia kula chakula cha asilia Nikirudi Huko Nido nianze kukimbizana na supu ya pweza, mahidni ya kuchoma yenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Za kazi wakuu. Napenda sana vyakula vitamu ila sijui kupika. Leo nataka nianza na chapatti flani amazing, Hizi chapatti zinakua ni laini, nene, zina rangi nzuri ya brown kutokana na zimepikwa...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanajamvi kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua vipimo Kwa ajili ya cake ya biashara nikimaanisha cake za kuuza madukani, super markets na kathalika. Na nini niweke ili iweze kaa MDA mrefu bila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bread maker inakanda unga vizuri sana , una iset isimame kabla haijaanza baking. Weka vipimo vyako sawa
3 Reactions
26 Replies
7K Views
Jamani mwenye kujua namna ya kutengeneza crisps za ndizi msaada
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Ninaomba msaada jinsi ya kupika tambi za dengu.tambi zile zinazo pikwa na unga wa dengu.Tambi hizi huwa zinauzwa mtaani we ngine hutia nakaranga.
0 Reactions
27 Replies
38K Views
Nimetafuta masokoni kama kilombero na soko kuu sijafanikiwa kuipata
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mapishi is the application that intends to facilitate Swahili speaking people to have these recipes at their convenience https://goo.gl/novKRA
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Katka maPishi ya mishika kunaarufu Fulani ambayo ni mvuto kwa wateja. Je ni viungo Gani uleta LADHA NA MNUKIO PINDI UNACHOMA MISHIKAKI
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Maandalizi; dakika 15 Muda wa kumarinate; dakika 15 Muda wa kupika; dakika 8 Muda jumla; dakika 38 Mahitaji Kupata uhakika na kutumia viungo sahihi, endapo jina la kiungo limewekewa mstari, bofya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello ladies and gents Natafuta mpishi wa bites kama sambusa,vitumbua,andazi na chapati na vinginenvyo. Kazi ipo dar es salam,kama kuna mtu yupo tayari ama kunna mtu unamfaham tuwasiliane. +255736...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mapishi ya Samaki Wabichi Chukuchuku Samaki wabishi wawili Kitunguu saumu kimoja Kitunguu maji kimoja Nyanya mbili kubwa Tangawizi kidogo Ndimu mbili Pilipili ndefu (nyekundu) moja Chumvi half...
3 Reactions
3 Replies
40K Views
Leo jikoni tunaangalia mapishi ya mchemsho wa samaki. Mchemsho huu ni kwa ajili ya watu wawili. Mahitaji . Samaki wakubwa kiasi 2 (Hapa natumia changu) . Viazi mviringo 5 . Bamia, karoti...
5 Reactions
27 Replies
22K Views
Mahitaji Nyama ya kusaga robo...ichemshe na kuweka spices upendazo Mayai 5-6 inategemea na ukubwa.. Pilipili hoho kipande Karot 1 ndogo ipare iwe ndogo ndogo Chumvi kiasi Kitunguu saumu 1/2...
13 Reactions
103 Replies
27K Views
Mahitaji Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5 Hiliki nusu kijiko cha chai Sukari 1 tablespoon (sio lazima) Tui bubu kiasi Tui jepesi kiasi Custard kijiko kimoja cha kulia...
16 Reactions
75 Replies
25K Views
Habari yenu Wakuu, Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar...
8 Reactions
128 Replies
29K Views
Habar zenu Natumain wazima woote Leo tujifunze kutangaza pilipili rahc zaid,ya haraka na itakayokaa kwa muda mrefu bila hata kuweka kwenye frige Mahitaji Pilipili unazohitaji ww Nyanya fresh 5...
6 Reactions
26 Replies
19K Views
Jinsi ya kupika chapati za nazi na nido - JamiiForums MAHITAJI Unga wa ngano 1kg Maziwa ya nido vijiko viwili vya chakula Blue band vijiko viwili vya chakula Mafuta ya kupikia nusu lita Nazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada wadau kwa mtyu anaye fahamu kupika bisi zile cha sukali maelezo .kidogo kwa m Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…