Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Leo tuzungumzie kuhusu vinywaji vya asili, yaani vinywaji vilivyotokana na mimea na wanyama, mfano miwa, madafu, matunda mbalimbali na maziwa pia. Inashauriwa kunywa maji kwa wingi si chini ya...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Jinsi ya kupika keki ya ndizi na chocolate chips Jaribu mapishi yafuatayo na ufurahie na familia na marafiki wako Keki ya Ndizi ikiwa na vipande vidogo vya chokoleti (chocolate chip) Viungo...
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Ukimarinate nyama au samaki kwa viungo( vitunguu saum, tangawizi, masala) ongeza mafuta kidogo na mtindi vijiko viwili inalainika na kunoga Ukikosa vanila unaweza saga Ganda la limao bichi...
13 Reactions
15 Replies
10K Views
Kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe, ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi. Hii ni kwa nn? Au kuna...
0 Reactions
113 Replies
17K Views
Habari ya leo wadau wa jinsi ya kupika. Karibuni tena jikoni tuandaeandae vitu vizuri, leo ni mchuzi wa kima au mchuzi wa nyama ya kusaga. Ni kitoeleo kizuri cha wali, mkate, chapati na hata...
3 Reactions
6 Replies
11K Views
Jinsi ya kutengeneza Kalimati ya maharage: Maharage yanatumika katika mapishi aina nyingi sana, Leo tutapika kalimati kwa kutumia maharage!. Kaimati hii ni nzuri sana kwani ina maharage yenye...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Baking powder na baking soda zote vinatumika kwa kazi moja ya kuumushia au kuchachua chakula kama mkate, cake, biskuti na baadhi ya vyakula lakini vina tofautiana kikemikali. Baking soda kwa jina...
7 Reactions
8 Replies
35K Views
SEMI RICE PANCAKES / VILOSA : Mahitaji : Mchele 1/2 Kikombe Unga wa semolina kikombe 1 Tui la nazi 3/4 Kikombe Maziwa fresh 1/2 Kikombe Mayai 3 Hamira 1 kijiko cha chai kijae Rose essence...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu Chefs Nahitaji msaada wa Maelezo mazuri kabisaaa juu ya namna bora ya Kutengeneza Mtindi Fresh wenye mbwembwe na Madikodiko kibao yaan ue bora zaidi ya Mtindi wa Tanga Fresh au Youghut...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
nataka mwanaume anaejua kupika
3 Reactions
70 Replies
7K Views
Wakuu karibuni hapa ni self service.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini Wakuu , naomba kwa anaejua utaalam wa mapishi ya vibama vya ndizi anifundishe .. Nasubiri mrejesho toka kwenye wataalam
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Ukitaka samaki awe na ladha nzuri basi fuata maelekezo. baada ya kumsafisha na kumtengeza samaki wako. chukua viungo vifuatavyo: 1.Kitunguu swaum 2.pilipili Manga 3.Binzari Nyembamba menya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Mahitaji 1.Viazi mbatata kilo 1 2. Mabamia fungu 1 kubwa 3. Mabiringanya makubwa 2 4. Karoti 5. Mafuta ya kupikia 6. Nyanya 7.Vituungu maji 2 8. Swaumu 9. Ndimu 10. Chumvi Jinsi ya kupika 1...
3 Reactions
32 Replies
16K Views
Mahitaji 1)Samaki mkubwa... 2)nyanya 2.. 3)kitunguu thomu 1 teaspoon.. 4)tangawizi 1 teaspoon 5)bizari ya njano kiasi 6)bizari ya pilau 1 teaspoon... 7)ndimu 2... 8)kitunguu maji 1.. 9)chumvi...
22 Reactions
85 Replies
20K Views
Habari za jioni fellow chefs. Naomba tutumie thread hii kujuzana ingredients zinazotutatiza. Kama una picha sio mbaya kuambatanisha katika ufafanuzi. Mfano kuna vyakula ambavyo hujui Kiswahili...
1 Reactions
25 Replies
50K Views
Mishkaki Ya Nyama Mahitaji: Nyama steki...............4 Ratili (2 Kilo) Mafuta........................3 Vijiko vya supu Masala ya Kurowekea Nyama: Kitunguu saumu/thomu na tangawizi...
7 Reactions
16 Replies
21K Views
Habari zenu wapishi Mie sio mpenzi wa choroko...lakini kuna mahali nilikula choroko tamu mnooooo Bahati mbaya sikuweza kuoata recipe na nimetamani Hapa nimenunua choroko zangu.... Naomba wa...
1 Reactions
26 Replies
14K Views
Jinsi ya kutayarisha (CHACHANDU YA PILIPILI) yaani pilipili ya kusaga.. Mahitaji: 1.Pilipili 2.Tangawizi 3.Kitunguu saumu 4.Ndimu natural au mchina 5.Chumvi 6.Nyanya 7.Kitunguu maji na...
6 Reactions
28 Replies
67K Views
Naombeni kujuzwa namna ya kutengeneza ladha tofauti tofauti za bisi/pop corn vitu ambavyo wanachanganya.. mpaka sasa nimejua kuna ladha ya chokoleti, sukari tangawizi lakini sijajua vitu...
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…