Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Heshima kweny wakuu, Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo. Naomba msaada; Ni hatua...
9 Reactions
136 Replies
23K Views
helo wapishi ni maharage yapi yanakuwa matamu? ya kuunga au ya kuchemshia viungo moja kwa moja?
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia...
6 Reactions
59 Replies
5K Views
Hatimaye leo nimepika buns..n tamu sana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
salamu kwenu ndugu zangu wana jf!! naomba kujuzwa sehemu ambazo naweza kujifunza mapishi bure au kwa gharama nafuu au kama kuna mtu yuko ready kujitolea nitashukuru sana na nitamuombea duaa...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Kama kuna mtu yoyote anayejua jinsi ya kutengeneza ubuyu ule wa rangi wenye pilipili wanauita ubuyu wa zanzibar anielekeze pls
0 Reactions
40 Replies
57K Views
Jamani naomba munielekeze vitu ambavyo vinahitajika katika uokaji wa mkate na jinsi ya kuviandaa hadi kufikia hatua ya kuoka.
0 Reactions
10 Replies
18K Views
Leo katika harakati za kuandaa chakula cha usiku nmefanikiwa kupika chapati nzuri Nashukuru kwa michango yenu kwa namna moja au nyingine
2 Reactions
66 Replies
9K Views
1. nusu kila makorona madogodogo 2. 400grm nyama ya kusaga ukifnyanga kuwa meat ball 3.vitungu viwili 4.kikombe cha starch/unga 5.kikombe cha maziwa..... weka kwenye oven kwa dkk 25~30
2 Reactions
6 Replies
3K Views
DON'TS AT THE DINING TABLE It’s important to know the don’ts of dining around the world to avoid offending your hosts. JAPAN You can cause quite a bit of offense when using chopsticks. Don’t...
0 Reactions
2 Replies
915 Views
Wakuu naomba msaada wa namna ya kutengeneza supaghett, mfano unatumia unga gani, maji kiasi gani, mayai, ama vipimo nk nisaidieni tafadhali. Natanguliza shukrani kwa msaada wa aina yoyote.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahitaji Vipapatio vya kuku kilo 1 Yai 1, pasua na vuruga Kikombe 1 cha unga wa ngano, kwa kuweka utando (layer) juu ya kuku Kikombe 1 cha siagi (butter) Mahitaji ya sauce Vijiko 3 vikubwa vya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
China Ufaransa Marekani Singapore Japani Slovakia Thailandi Uswidi Cheki Ukraine Korea Kusini Uiingereza Malasia Filipino Brazil Tanzania
3 Reactions
34 Replies
14K Views
Mapishi ya Bagia dengu Mahitaji Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo) Kitunguu kilichokatwa (onion 2) Hoho (green pepper 1/2) Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2) Barking powder (1/4...
5 Reactions
8 Replies
63K Views
Ni kawaida ukienda kwa Doctor ukiwa na magonjwa fulani,basi Doctor atawaaambia huyu mgonjwa wenu jaribuni kuacha kumpa nyama nyekundu (ng'ombe,mbuzi, kondoo na n.k) na badala yake kama anataka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mambo vp , Naombeni kujuzwa hyo cake inapikwaje na kupambwaje? Birthday yangu ni trh 20/10 (alhamis) I wish nijue nijitengenezee ili nile na familia Karibuni wataalam NB:hyo picha nimeiiba mahali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahitaji Muhogo uliomenywa Na kukatwa vipambe ukubwa kiasi Mafuta Chumvi Na pilipili kavu twanga pamoja Namna ya kutaarisha Chemsha muhogo wako Na maji hadi uwive Na kua laini (angalia...
11 Reactions
20 Replies
10K Views
Kwa maelezo zaidi fungua hapa
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mahitaji Kikombe 1½ cha unga wa ngano (kama gramu 200) ½ kikombe cha siagi (margarine, kama gramu 133) Mayai 2 Vijiko 2 vikubwa vya vanilla Kikombe 1 cha sukari nyeupe (Ni kama gramu 200. Mie...
2 Reactions
2 Replies
26K Views
Mwenye utaalam wa kutumia unga wa muhogo kutengeneza mikate plz nipe Elimu jinsi unga unavyotumika.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…