Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wadau, Ni matumaini yangu wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Naomba msaada kwa yoyote anaejua jinsi ya kutengeneza icecream amabazo zinakua zenye ladha nzuri,rangi ya kuvutia...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Mahitaji Dagaa waliokaushwa ( 2 kikombe cha chai) Bamia ( 5) Nyanya chungu ( 5) Tui la nazi ( 1 kikombe cha chai) Nyanya (kubwa 2) Kitunguu (onion 1) Curry powder 1/2 ya kijiko cha chai...
11 Reactions
29 Replies
14K Views
Naombeni kujua glycerine ya kupambia keki inauzwa wp Arusha?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu mabibi Na mabwana popote mlipo, ni iman yangu kuwa mko bomba kabisa, Km kichwa cha habari kinavyosomeka mwenzenu napata tabu sana kwakweli, mikono yangu iko Na alama alama hadi...
0 Reactions
82 Replies
7K Views
nilivutiwa na MziziMkavu na threa yake ya kuhusu pishi la bamia,.na kwangu ndo ilikua mara ya kwanza kujua kama inaitwa ladies finger, nshazoea okra mie kumbe !!!! basi katika pitapita yangu ya...
6 Reactions
51 Replies
27K Views
JIFUNZE KUMPIKIA MKEO BIRIANI YA KUKU WA KUCHOMA NI RAHISI UKICHEZA NA JIKO SOMETIMES Viungo na vipimo vyake Mchele wa Basmati /Pishori vikombe 4 Kuku 1 Vitunguu 3 Nyanya/Tungule 2 Tangawizi...
6 Reactions
0 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu Naomba msaada wa kutengeneza juisi zifuatazo (1)Juisi ya tangawizi Nataka jua kiufasaha, na je naweza weka sukari au asali? Naomba mnijuze vizuri. (2) Pia nataka kujua jinsi...
0 Reactions
12 Replies
32K Views
Habar jf Chef, naomba kuelekezwa jinsi gani ya kupika uyoga mbichi na mkavu?
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Mapishi ya nyama ya kuku na tangawizi Mahitaji Nyama ya kuku, tangawizi gramu 10, vitunguu maji gramu 5, siki kijiko kimoja, mchuzi wa sosi kijiko kimoja, mvinyo wa kupikia kijiko kimoja, maji...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Mahitaji: unga, maji, sukari, chachu, mushrooms, pilipilimboga, jibini, siagi, mayai, pizza sauce, bacon, vitunguu saumu. Hatua: 1. Kwa kufuata mchakato wa kutengeneza mkate, chaganya mahitaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mimi kijana wa magetoni tu najipikia peke angu ila tatizo langu ni.chumvi siku nikisema chumvi imekolea chakula hakiliki nina mkono wa chumvi mbaya sana, na nikisema niweke ya kawaida chakula...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo nawaletea mapishi ya fish fingers ( sijui kama unaweza kusema vidole vya samaki)!, Ni mlo mzuri hasa kuliwa kama kitafunio au mboga ya pembeni au kitafunwa cha jioni. Mahitaji 500g Fileti ya...
3 Reactions
11 Replies
7K Views
Mlenda wa bamia na nyanya chungu Kuandaa: dakika 10 Mapishi: dakika 20 Walaji: 2 Ujuzi: Rahisi Gharama: Nafuu Mlenda ni mboga yetu cha asili. Kuna mlenda wa aina nyingi sana. Haya mapishi...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Hii ni juice ambayo niliigundua miaka flan nilipokuwa natumika sana kwa maswala ya wanawake. kipindi hicho kusema ukweli nilkuwa wakati mwingine najikuta nakuwa na mechi tatu kwa siku ambazo zote...
7 Reactions
47 Replies
86K Views
Wana jamii nimepata mengi sana kwenye JAMII FORUMS na nina imani hata hili wapishi au Chef wa Jamii forums atanipatia NATAKA NIWE NATENGENEZA BIRTHDAY CAKES KWA FAMILIA YANGU MWENYEWE ASANTE
0 Reactions
12 Replies
166K Views
Naomba mniambie vitu vya kuweka kwenye kutengeneza viungo vya chai please!unachanganya nini na nini?
0 Reactions
10 Replies
15K Views
Kwanza, weka wings ya kuku, tangawizi na vitunguu maji majini kwa dakika 15, halafu nawa wings kwa maji mapya Pili, weka wings katika maji ya kuchemshwa mpaka rangi ya wings igeuze Tatu, weka...
4 Reactions
25 Replies
7K Views
Mahitaji: Kitunguu maji 1; Vitunguu saumu 2; Mafuta ya kula kikombe 4(1); Nyama ya kusaga 1 2(1); Vijiko 2 chumvi; 2(1)kijiko cha pilipili manga iliyosagwa vizuri; Kijiko moja cha unga wa...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
habarini humu ndani naomba msaada jinsi ya kutengeneza fondant sababu nimeangalia youtube naona wanaweka icing suger na marshmallow sina hakika kama hii marshmallow inapatikana hapa kwetu
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Copy to gorgeousmimi farkhina
5 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom