Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wanaukumbi. Tambi za mayai ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kuandaa pale ninapokua ninaharaka au sina muda mrefu wakukaa jikoni.pishi hili huchukuca muda mfupi sana nanimlo...
10 Reactions
27 Replies
11K Views
Wanaukumbi. JIFUNZE KUPIKA CHAKULA HIKI KITAMUA NA RAHISI SANA KWA MCHANGANYIKO WA MBOGA MAJANI, NYAMA YA MBUZI NA VIAZI ULAYA KWA MTINDO HUU WA MAPISHI UNAWEZA PIKA NYAMA YA KUKU, SAMAKI...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Wanaukumbi. Makaroni nichakula jamii ya Tambi,ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kupika siku za jumapili ninapokwepa kukaa jikoni kwa muda mrefu. makaroni ya nyanya na nazi Mahitaji...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
ukiangalia picha vizuri vimechemshwa turn na havina viungo vingi, vyakula vya Vasili kama hivi ni vizuri kwa afya ya mwili na akili na ndio maana wazee with waliweza kuishi miaka mingi bila...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
SAMAKI HUYU NI MTAMU SANA IKIWA UTAPATIA JINSI YA KUMPIKA NA MAPISHI HAYA HAYA UNAWEZA TUMIA PRAWNS WA AINA ZOTE, LOBSTA, CHAZA NA UDUVI IWE NI KUTENGENEZA MCHUZI SAFI AU KUTENGENEZA SUPU HATUA ZA...
6 Reactions
28 Replies
22K Views
Wanaukumbi. Imezoeleka kua nyama huwekewa chumvi na si sukari au asali.Hapa jikoni leo Nyama italiwa na chovyo la asali.Ni chakula ambacho kila mtu hapa jikoni anakipenda.Naamini Utakipenda...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
plz fanya hivyo mpnz
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Jinsi ya kumatayarisha kuku Mgawe kuku kwenye kifua,Mgeuze ili mgongo uwe juu na mchanechane kwenye mapaja na kifua,dhumuni la kufanya hivo ni ili viungo vikolee vizuri. Kama unavyoona...
9 Reactions
35 Replies
17K Views
These special dedication are meant for you farkhina na wale wote ambao kwa njia moja au nyingine wameifanya JF CHEF iwe hivi ilivyo leo Farkhina umededicate muda wako kutupa elimu ya...
14 Reactions
44 Replies
5K Views
Jamani msaada wa namna ya kupika biringanyi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahitaji Kwa ajili ya chicken jalfrezi Kuku 1 mkate vipande vipande Curry powder 1 teaspoon Uzile wa unga (bizari ya pilau) 1 teaspoon Bizari ya manjano 1/2 Plain yogurt (sio...
12 Reactions
34 Replies
7K Views
Jamani nipeni tips za kuupika mhogo upikike utest nicely nienjoy nawapendwa wangu.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
habari wanajfchef, leo nmeandaa ftari ya vipopoo. skuwa na maziwa, hivyo nmepika kwa nazi, kwa vile tumefunga wameonja watoto, tusubiri jioni vtakua mkekani inshaallah. Karibuni saana, ramadhan njema.
1 Reactions
30 Replies
10K Views
Mahitaji- Samaki jodari/ nguru vipande 6-8 Mayai 12 Chumvi to taste Pilipili manga kijiko cha chai 1 ndimu 2-3 Pilipili mbuzi 1-2 Pilipili boga 1-2(kata ndogondogo sana) Kitunguu swaumu kijiko...
5 Reactions
39 Replies
6K Views
Mboga za majani huchangia sehem ndogo sana ya mlo wa watanzania wengi.Naamini moja kati ya mambo yanayofanya watu wengi hawapendi mboga za majani nipamoja na upishi mbaya wa mboga. Majani ya...
1 Reactions
15 Replies
22K Views
Wasalaa wana Mapishi. Mimi ni mmoja wa viumbe ambao hawapendi mafuta na chakuLa kinacho zidi mafuta huwa sili. Lakini nimekuwa nikijiuliza chakula kitamu au kizuri ni kile kilicho ng'arishwa na...
4 Reactions
29 Replies
6K Views
habari; Nahitaji matunda ya straeberry na sijui yanapatikana wapi, mim npo Dar!! Msaada tafadhali..
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Nyepesi zinasema maziwa ya mbuzi ni dawa. Mwenye taarifa sahihi alete elimu. Ahsante
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu nahitaji kujua upikaji wa aina hii ya nyama kwani kwangu mi ni mashikoro mageni ....hapa ninapofanyia shughuli zangu Kuna duka wanauza hii kitu huwa natamani ninunue ila naogopa inaweza...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Za jioni wapendwa! Pishi la leo km jina linavyojieleza...samahani kwa wasiotumia sukari.. 1) Katika suria ndogo kiasi weka sukari 5-6 tbsp. Yayusha kwenye moto mdogo mdogo huku ukiizungusha...
6 Reactions
22 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…