Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habarini wapendwa Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nilikuwa mpenzi wanguu ambaye tumebahatika kupata mtoto mmoja,mwenye umri Wa miaka miwili na miezi mitano sasa,lkn hivii karibuni niliaachana na mama wa mtoto huyuu lkn mtoto yupo naee ilaa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni ushahidi gani unaokubarika mahakaman kwasabab nina kesi ya madai tulikubaliana mtuhumiwa anilipe pesa lakini pindi tunakubaliana yeye ana photocopy ya hati ya makubaliano na mm pia je copy hiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari...., niliwahi fanya kazi ktk shule moja ya binafsi. Wakaja watu wa NSSF wakatusajiri ktk mfuko huo wa nssf. Mwaka 2011, makato yalikuwa aslimia 10 ya mshahara wangu.mwaka 2015 nikapata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dear JF As we all are aware that the Government of United Republic of Tanzania through The Ministry of Information, Culture, Arts and Sports in March 2018 signed a regulation know as THE...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Please, naomba mnijuze ili mkoa uitwe jiji, lazima uwe na sifa zipi aswa??
0 Reactions
11 Replies
5K Views
But my blog is about school subjects and I'm giving them away to the students. Should I register and pay as well?
0 Reactions
2 Replies
553 Views
Habari zenu wakuu, natumai nyote ni wazima. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi nina lengo la kusoma sheria ila katika mchakato wangu ninatafuta chuo nje ya nchi na malengo yakiwa ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Rais wa Chama Cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), Fatuma Karume amesema kuwa kutokana na kuwepo kwa idadi ndogo ya mawakili nchini, kwa wastani wakili mmoja hivi sasa anapaswa kuhudumia zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninaomba kujua sheria zinazozungumzia vyombo vya moto pamoja na masuala ya barabara Tanzania ukiachana na Road Traffic Act CAP 168 pamoja na The motor vehicles Act CAP 124. Naomba kufahamu kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gazeti la majira limeripoti ya kuwa mtoto aliyekojolea msaafu atafikishwa mahakamani ili sheria za nchi zifutwe. Maoni yangu ni kweli kitendo cha mtoto huyo kilikuwa cha kitoto na cha kijinga...
6 Reactions
207 Replies
26K Views
Ms. Cecilia, a midwife went to the bank to withdraw money. At the bank, a security officer decided to assist her, collects her cheque, bypass queue and hands over to the Teller Mrs. Aba Dadzie...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wote wa JF. Kuna mtoto alifiwa na mama yake mzazi mwezi wa kwanza mwaka huu, sasa baada ya msiba kuisha mtoto huyo hadi leo hajawahi kushirikiswa kuhusu ugawaji wa mali ya mama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi habari za muda huu. Mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Arusha nina mke na watoto wawili. Kwa sasa nimeajiriwa Kisiwani Zanzibar na mara baada ya kumaliza mkataba wangu natarajia kurudi...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Salute wakuu, Naomba msaada kwa aliye na soft copy ya kanuni na sheria ya utumishi wa umma, unaweza PM mimi ili nikupe email. Shukrani
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Baada ya hakimu( mahakama ya mwanzo) kutuita mimi na mlalamikaji wangu kwa kesi ya wizi. Mlalamikaji alipewa mda wa kujieleza juu ya shida yake na akagusa yafuatayo ambayo kimsingi ni uongo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya hakimu( mahakama ya mwanzo) kutuita mimi na mlalamikaji wangu kwa kesi ya wizi. Mlalamikaji alipewa mda wa kujieleza juu ya shida yake na akagusa yafuatayo ambayo kimsingi ni uongo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukifuatilia kesi nyingi za serikali ambazo ama zinatupwa au serikali inashindwa utagundua kuwa sababu kuu ni ama kesi kufunguliwa kwa kifungu kisichohusika badala ya kifungu xy inafunguliwa kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wapendwa Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao...
0 Reactions
4 Replies
901 Views
za jumatatu, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuhakikisha tunajenga nchi imara Sorry, hili jambo kisheria ipoje "Mtu kujidhuru, ikiwa source ni wewe mwenyewe" Mfano ivi: Niwe na mpenzi...
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Back
Top Bottom