Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Africa mashariki ni jumuia ambayo inapanuka kwa kasi kati ukandaa huu wa Africa. Nakumbuka jumuia ilianza na nchi Tatu Tanzania .Uganda na Kenya. Lakini kwasasa jumia ya Africa mashariki...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Naomba mwenye kanuni za fedha (PDF) kwa Ajili ya Asasi za Kiraia.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba mwenye probate rules aniwekee hapa tafadhali.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuuliza hii ikoje Nina kesi mahakamani ambayo nimeikatia rufaa kutoka mahakama ya wilaya kwenda mahakama kuu niliwasilisha rufaa yangu mwezi 10/2017 Nikapangiwa tarehe yakuludi mwezi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam, Mimi nina kiwanja changu hapa Dar. Upande wa kushoto wa kiwanja changu nikaamua kuwacha njia ya watu kupita na magari madogo. Sasa mtu ninaepakana nae kaamua kupanda mahindi kwenye ile...
0 Reactions
7 Replies
971 Views
Wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria. Nilinunua kiwanja kabla ya kuwa n.a. mchumba. Baadae nikapata mchumba lakini kabla hatujafunga ndoa nikawa nimejenga nyumba hadi kiwango cha Renta. Baadae...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tangu Rais Magufuli aingie madarakani amepata au kukumbana na upinzani kwa maneno na vitendo. Aidha anashutumiwa na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kuwa anawanyima uhuru wao wa kuendesha...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa, Naomba msaada wa kisheria juuu ya kakosa ya barabarani, kuna gari nimepanda lilikua limewekwa kitambaa me anzo wa kiooo cha mbele mwanzo hadi mwisho kama vile mtu anavyoweka...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Kuna jirani angu tarehe 22.03.katika maelezo yake alidai mnamo mda wa saa saba usiku alikuwa ameweka simu 2 na computer juu ya meza karibu na dirisha. Kipindi amelala aliskia watu wanagusa kitasa...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Hello JF Nahitaji Mwanasheria binafsi kuna mambo nataka kuweka sawa Nicheki DM Ahsante
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za Leo ndg zangu Naomba kupewa process ya kuongeza jina la 3 kwenye vyeti na garama zake kwa wanaofahamu. Thanks.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nawasalimuni ndugu zangu ktk jina la Bwana... Story iko hivi, Nilikua na biashara zangu nami nikaweka vijana 3, lakini kati ya hao watatu wawili niliwaweka katika biashara moja lakini kama...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nawasalimu wakuu,Mimi ni mfanyakazi wa kampuni binafsi nimeomba likizo ya mwaka na kukubaliwa ila kuna jambo linanitatiza nqaombeni kufahamishwa, kile kiasi cha mshahara unachopewa cha mwezi mmoja...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama mtu akikuibia kitu chako ipo sheria ya kumtia hatiani kwanini isitungwe sheria juu ya hawa wanaochukua wake za watu? mana mtu kawekeza, anaghalamia kila kitu ila mtu anakuja anatongoza...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
ZAWADI NONO KWA ATAKAE FUMBUA TATIZO HILI. MADEREVA TAPELI(baadhi) VS WAMILIKI MAGARI UBER Wakuu wanasheria naomba msaada wa ufumbuzi wa hii changamoto hasa biashara ya UBER.(magari zaidi ya...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Ndugu wana jf nilipoteza pesa katika account yangu ya benk ambayo pesa hiyo ilihamishwa kwenda kwenye namba ya simu ya mtu nisiyemfaham nilifuatilia namba hiyo mtuhumiwa nilimkamata na kumpeleka...
0 Reactions
2 Replies
974 Views
Naomba kuuliza maswali kama ifuatavyo 1. Endapo mweyekiti wa mtaa anaumwa au amesafiri a) ni nani anatakiwa kufanya kazi zake na anapatikanaje na kwa sharia au kanuni ipi? b) Mhuri wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zimepita wiki mbili toka nilete uzi kuhusiana na kesi ya kusingiziwa wizi na mshitaki wangu kulazimisha nimlipe hata nusu ya gharama ili kesi iishie polisi. Kutokana na kuwa na ndugu huko polisi...
1 Reactions
2 Replies
856 Views
Najiuliza tu !!kuingilia mawasiliano ya MTU bila idhini Yake siyo kosa kisheria!! Kwa kauli ya mh Lema ni kuwa anaingilia mawasiliano ya serikali!! Hii ikoje?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba nijuzwe, Je, kuna sheria yoyote inayonikataza kutamka hadharani kuwa namchukia rais wa nchi mfano Rais Magufuli? Maana sitaki nivunje sheria mimi ni mtiifu kwa Katiba. Naomba majibu...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom