Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ndugu zangu assalaam alaykum Nimeletewa ombi ambalo nawasilisha kwenu kuhusu wakili anayefahamu lugha hizo mbili au moja wapo kati yao.Kiingereza na Kiswahili kwa leo sio shida. Nawaombeni msaada...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
salam wakuu
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Amtetea Profesa Mahalu Ashangaa mashitaka yake Amtaja kuwa mwadilifu Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akisindikizwa kuelekea chumba cha mahakama kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Niliangusha hela 350000 Kuna jamaa ameokota hiyo hela 350000 alafu kakataa kwa kusema ameokota 30000 mashaidi wapo waliomuona akiokota hela kesi IPO mahakamani naombeni ushauri jaman kwa maswali...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Mara nyingi nimesikia mipaka ya mahakama ya mahali fulani au jurisdiction lakini huwa siielewei vizuri. Labda niweke swali, je mahakama ya mwanzo iliyo katika tarafa A inaweza kupokea na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jamvi; Ningependa kuuliza swali,iwapo imetungwa sheria mpya ambayo ama inafanya jambo lilitokea au ambalo liko katika process ya kutokea kuwa ni kinyume cha sheria mfano: Iko...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hamjambo? Miaka mitatu iliyopita nilinunua kiwanja huku Unguja lakini waliniambia nitumie jina la Zanzibari (hata sheha alisema hivi). Mimi nilikuwa na wasiwasi kwa hiyo nililazimishwa yule...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, Ni Japi yupi ambaye hukumu zake unapenda sana kuzisoma? Haijalishi,awe ni Jaji wa Mahakama Kuu ya Rufaa! Mie binafsi nazikubali hukumu za Samata J,.! Ana good command of English language na...
2 Reactions
69 Replies
14K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Ningependa kupata ufafanunuzi wa kisheria kuhusu umri wa mtoto ambao mzazi anakuwa anawajibika msomesha mtoto na aina ya elimu kwani nina mtoto wa marehemu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
#Nimeona niongee kidogo kuhus hili la Maandamano. Nimekuwa nikisikia kuwa kwa Tanzania maandamano ni haki ya kikatiba. Nimewahi kuisoma katiba yote ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania sijawahi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habarini wandugu,poleni na majukumu ya hapa na pale.Mimi najishughulisha na ufundi simu,je nami natakiwa kwenda kukata lesen ya biashara kwa kazi hiyo?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kikatiba ni wakati gani maandamano ya wanachi yanapokua halali na wakati gani yanakua haramu? Je maandamano ni hisani kutoka polisi? Je katiba inasema maandamano halali ni yale tu ya kuunga...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa, kama heading inavosema nahitati kubadirisha jina na hilo jina niwe nalitumia kwenye nyaraka zozote Lakini sijui wapi pakuanzia ili kulibadilisha kihalali Hivo basi...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Habari wana jamvi...! Ninaomba nitoe story fupi kisha mnipe msaada wa kisheria. Kuna mdogo wangu alimpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tano mwaka 2016. Lakini mwanafunzi huyo alimaliza darasa la...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Chukulia katika mazingira ambayo ninauhuru (wa kikatiba) kuchagua dini yyte ile ninayoitaka. Na uhuru huu ninayo haki ya kuutekeleza wakati wowote ule. Sifungwi kubaki kwenye dini fulani. Katika...
2 Reactions
104 Replies
12K Views
Ndugu wapendwa nawasalimu katika bwana na Mohammad Mara nyingi napopata matatizo katika shughuli zangu napenda kuwashirikisha ili nipate pa kuanzia. nawashkuru sana wote ambao hunipatia msaada wa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wasalaam ndugu zangu, Naomba kupata msaada au ushauri wa kisheria, Kwa kifupi no kuwa ,kuna jamaa aligonga gari yangu kwa uzembe wake ikiwa imepaki, alisababisha uharibifu mkubwa sana kiasi kwamba...
1 Reactions
3 Replies
914 Views
Mm nafanya kazi kama nmb wakala, sasa tarehe 26 mwez December, nilijichanganya baada ya kumwekea mteja 500000 nikamwekea 5m, nikamgundua kwa kuwa ni mtu wa karibu akahaidi kurudisha, baadae...
1 Reactions
3 Replies
939 Views
Wakuu habari za saa hizi, ningependa kujua baadhi ya haki zangu kama nimesimamiswa kazi, mfano kikao cha maadili kilika tarehe 4 mwezi wa 2, ila barua ya contract termination ikaja tarehe 24/02...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TLS kwa muda mrefu hasa watumïshi wake wamekuwa na fedha nyingi tofauti na mishahara yao ya 1.5 mpaka 2.5 milion. Wanapïa hela kwenye mikutano ya mwaka na nusu mwaka AGM, HAGM. Wanapokea hela...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom