Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za majukumu wakuu naomba kuelimishwa kama hii ni sawa?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
MATUMIZI YA SIMU BARABARANI, JE SHERIA INASEMAJE? Muda mrefu sasa kumekuwa na maoni tofauti kuhusu matumizi ya simu barabarani wengi wakitaka kujua ni kosa au sio kosa. Na kama ni kosa je ni kosa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Tafadhali wadau kama una links basi wekeni hapa links ya sheria za Tanzania(regulations, rules na Acts). Share nasi. Barikiwa
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Natafuta binti wa kazi kwajili ya kulea mtoto ninavyoenda kazini awe anakaa nae
0 Reactions
3 Replies
642 Views
Alifungwa jela miaka 30 akituhumiwa kuua, lakini alipotoka gerezani akamuona aliyedaiwa kumuua, sasa kwa hasira akaamua kumuua, je sheria inasemaje au atahukumiwa tena kwa kuua? Ni hayo tu kwa sasa.
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari mabibi na mabwana Natumai wanachama wenzangu wote mnaendelea vizuri. Kuna jambo ninaomba kutoka kwenu msaada juu ya kichwa cha habari tajwa hapo juu. Mkataba wa kazi kama unaisha karibu na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naombeni mnisaidie,current legal issues and policies for disabled children in Tanzania
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Habarinin za jini Jamani mwaka jana zimetoka regulations za civil procedures na Criminal Procedures mwenye nazo tafadhali nirushie anthonyalnashir@gmail.com
1 Reactions
1 Replies
932 Views
Wasio wanasheria mjue kwamba Tanzania Law Report (TLR) ni kitabu chenye case zilizoropotiwa ili zitumike kwa reference. Kitabu hiki huwa kina kesi za kila mwaka. Sasa, imepita karibu miaka 12...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anayejua hatua za kubadili jina kisheria na vitu vinavyohitajika ili kubadili jina kisheria
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalam wa Sheria tuwekane sawa hapa. Hivi, Sheria za Jamhuri yetu zinasemaje kwa mtu kuwa na dhamira ya kumdhuru mwingine lakini akitegemea kumshirikisha Mungu? Pili, Ikitokea Ushahidi wa Nia...
0 Reactions
9 Replies
982 Views
Naombeni kusaidia kipengele cha sheria kinachoamuru muziki unapogwa bar au sehemu yotote ya starehe kuwa mwisho saa sita usiku. Kijijini kwetu Mama yangu ni mgonjwa,na jirani kuna Bar/Ukumbi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wanasheria Yamemkuta Ndugu Yangu Muajiriwa wa zamani wa Tanroads Pwani, alifukuzwa kazi kwa makosa yasiyo na kichwa wala kutofuata taratibu akafungua shauri CMA kibaha mwaka unaisha sasa , sasa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mwenye contacts za School of law,naomba anisaidie please,,,Naitaj kusoma course hiyo,,,
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu wanasheria naomba msaada juu ya umuhimu & applicability ya Audi_alteram_partem(listen to the other side) kama principle mojawapo ya natural justice ,,, Nawasilisha
1 Reactions
2 Replies
955 Views
Wilaya ya Karatu katika Mkoa wa Arusha imegubikwa na Mahakimu ambao hawafuati kanuni ya kazi yao na badala yake wanaonea wananchi kwa vile wanatumia utaratibu wanaoujua wao wenyewe. Utakuta mara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini kwenu, Nianze kwa kupongeza uamuzi huo wa kuwaondoa wanasheria wote kuroka wizarani,taasisi na mashirika ya umma kwenda kwa AG. Kwa kweli napendekeza kesi zao zote walizokuwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Mh. Jaji Mkuu, mhimili wa mahakama pole pole unajenga tabia ya mahakimu na baadhi ya majaji kupuuza sheria na kuwanyima watu dhamana. Tabia hujengwa na ISIPOKEMEWA HUOTA MIZIZI NA IKASHIKA...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
In India, the statute is published only once in a government notification called "The Gazette of India" published by the Directorate of Printing, Department of Publication under the Ministry of...
1 Reactions
10 Replies
995 Views
Ndugu wananchi wa Nchi hii nzuri ya Tanzania, napenda kuwaalika watalaam wa sheria -Learned Fellows kutusaidia sisi wanafunzi wa fani ya Sheria kuhusu Doctrine ya presumptions of innocence dhidi...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom