Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu kwanza nitangulize shukrani zangu hasa unapofikiri kunipatia msaada katika hili. Kuna kampuni moja kubwa tu hapa kwetu ila kitu kinachosikitisha ni namna inavyohusiana na wafanyakazi wake...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kaka yangu alifariki Jan 2017. Mei 2017 mirathi ilifunguliwa mahakama ya mwanzo Temeke. August 2017 hundi za pesa za mirathi ziliwasilishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kugawiwa kwa wahusika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naandika kwa masikitiko makubwa Sana, nlitokea kuwa na mahusiano na binti wa kiislam kwa muda wa miezi sita nikampenda Sana, mimi ni mkristo, yeye hakuwa na msimamo mkali sana kwenye dini kwaio...
0 Reactions
7 Replies
925 Views
Mie niko kahama jana nilijisahauusiku nikapita barabara ya one way basi nikakamatwa na trafic na leo nimeambimbiwa nitoe laki 2 kwa kuwa nikosa la kwanza.Swali je adhabu ya kosa hilia inastahili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeitwa mahakama kwa kesi ya madai. hivyo nahitaji wakili wa kunisaidia bila malipo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar za Leo. Naomba kuuliza juu ya Adhabu ya kutoa lugha ya kuudhi kwa mtu flani sheria ya mawasiliano na Electronic ya mwaka 2010 inasemaje?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu watanzania, Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka. Tukisubiri usanii tena wa serikali...
1 Reactions
347 Replies
59K Views
Je pingamizi LA awali laweza kuwekwa hata baada ya kesi kuanza?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mfano umeajiriwa na mtu binafsi, nafasi ya kumuuzia duka au mhudumu wa afya n.k, na ukamtumikia kwa muda wa miaka zaidi ya kumi, halafu akaamua kusitisha shughuli zake yaani akafunga duka lake au...
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Kauli hii ya Jaji wetu Mkuu ina maneno machache sana lakini ina ujumbe mkubwa sana kwa watanzania wote. Watu wamezoea kulalamikia uvunguni, sitting room, maofisizi, kazini, barabarani, vijiweni...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Habari za Majukumu, Naomba kufahamishwa namna/hatua za kufuatwa ili kuukana Uraia wa Mtoto Mtanzania aliyepo Tanzania. Mzazi wake Mmoja ni Mtanzania na mwingine sio Mtanzania. Natanguliza...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni chuo gani kizuri wakubwa, na ushauri zaidi itapendeza
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Je naweza kuhama NSSF na kujiunga na PSPF? cha msingi ninachotaka hela zangu zote zilizoko nssf zirudi kwenye akaunti ya pspf naomba msaada wenu kama kuna uwezekano mnielekeze jinsi ya kufanya
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha barua kinajieleza. Ni muda UPI mwananchi akipeleka malalamishi yake kimaandishi inatakiwa yajibiwe! Hapa reference iwe hizi local government. Kama kipengele hicho kipo, naomba mniwekee...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa kuhusu sheria hasa pale unapokosa imani na hakimu anaesikiliza kesi yako na wewe kumkataa.. Je nini hutokea, na ikiwa hakimu amegoma kujitoa ni hatua zipi mshitakiwa au mshitaka...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali, Bunge na Mahakama ni miti mikuu 3 ambayo inapaswa ijitegee kwa mashina, matawi na majani ingawa mizizi yao huko chini ya ardhi huenda itawa inawasiliana kwa namna moja au nyingine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Nimefuatilia mijadala mimngi hapa JF inayohusu swala la mafao ya kujitoa. Nimeona kuwa watu wengi hawajui kuwa mafao ya kujitoa PPF yapo kisheria na kudhani kuwa mafao hayo yanatolewa na...
1 Reactions
28 Replies
12K Views
habari wana jf, kuna kesi nimeisikia mahakama flani hivi ikiwahusisha mchimba kisima na mteja wake sasa mteja alimpa kazi ya kuchimba kisima jamaa huyo katika makubaliano walikubaliana kuwa kisima...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Swali kwa manguli wa sheria...Ngoja nianze kwa salamu kama ya mmoja wa great thinker wa jamiiforums. Umuofia kwenu..Baada ya salamu ningependa kwenda moja kwa moja kwenye swali langu. Ulipoanza...
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Back
Top Bottom