Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hivi jamani wadau huu usafi wa jumamosi umekuwaje? Ni kila jumamosi ama? Leo naelekea kazini nasimamishwa kwanini huendi kwenye usafi na kweli watu wengi walikuwa wanafyeka. Nikazozana nao kidogo...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Mihanyenyi JF Naomba kujuzwa wakuu swala hili la mtu kujiapisha Nchi yenye Rais ni sawa kama sio sawa kwanini hajachukuliwa hatua? Upande wa serikali kuyuzuia hilo swala nao hawajavunja sheria...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba ufafanuz ktk hilo na Kama ndio ni aina zipi za kesi ambazo zikfutwa yaweza zkarudshwa mahakaman!? Natanguliza shkrani na Kama kutakuwa na Maelezo zaidi ntajibu na kufafanua zaidi
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika). Swali...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
MSAADA ANAYEJUA HATUA ZA KUBADIRI JINA KISHERIA NA VITU VINAVYO HITAJIKA ILI KUBADIRI JINA KISHERIA
0 Reactions
0 Replies
453 Views
MSAADA ANAYEJUA HATUA ZA KUBADIRI JINA KISHERIA NA VITU VINAVYO HITAJIKA ILI KUBADIRI JINA
0 Reactions
1 Replies
599 Views
Naomba msaada wa soft copy hizi Penal code revised edition 2002 Cpc revised edition 2002 Cpa revised edition 2002 Nitashukuru sana wakuu
0 Reactions
2 Replies
815 Views
Msaada kwa anayejua vitu gan vinahitajika mtu kubadili jina??(Fullname)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hongera CJ Napenda kukushauri huu utaratibu wa "session" uufutilie mbali kwani unachelewesha haki za raia. Unakuta majaji wapo na wanalipwa mishahara yao kila mwezi lakini kesi haziendi...
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Habari wadau Nimeona kwa mawazo yangu hakuna maana ya kesi za jinai au madai dhidi ya mashirika na taasisi za serikali ziendeshwe na wanasheria wa mashika na taasisi hizo kwani wamekuwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
naomba kujuzwa kuna taratibu gani wakili anayekusimamia kesi, anapokufanyia udanganyifu wa tarehe za kesi kwa kupeleka mbele zaidi ,ili kufanya usihudhurie mahakamani na kusababisha kuonekana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cyber crime KWA KISWAHILI NA KWA UREFU ZAIDI; Umoja wa Ulaya Waiasa Tanzania Kuhakikisha Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni ya mwaka 2015 Haikiuki Haki za Raia Wake. Mabalozi wa Umoja wa Ulaya...
0 Reactions
1 Replies
10K Views
Nimeolewa miaka minne iliyopita na Nina watoto wawili,miaka miwili iliyopita tulihitilafiana na mume wangu tukatengana baada ya pale alisusa kuhudumia watoto kwa kilakitu ninaishi na watoto wangu...
1 Reactions
70 Replies
10K Views
Ndugu wanajamii forum. Nina jamaa yangu mmoja ni mtumishi katika taasisi moja maalufu hapa nchini amefanyiwa vitendo vinavyoonyesha chuki dhidi yake ili labda kumlazimisha aandike barua ya kuacha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau wote wa jukwaa hili. Iko hvi mnamo tarehe 12/1/2018, nililikata tiketi ya basi hyo tajwa hapo juu. Nililipia pia mizigo ya furushi nne zenye nguo na viatu na nikahakikisha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau nataka nifanye mtihani wa form six kombi ya EGM au Historia na GM,mimi ni mtumishi wa serikali nimerudia mtihani mwaka jana nimepata nilichokitafuta matokeo ya kwanza nilikuwa na C mbili...
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Habari wakuu, Mimi na mchumba wangu tumekuwa na mahusiano toka first year mpk leo mwaka wa tatu huu. Kwa kuwa tunaishi hostel, tumekuwa tukifanyia mapenzi yetu gesti fulani hivi kwa muda wote...
11 Reactions
103 Replies
25K Views
KESI YA MAUWAJI YA YESU FUATILIA ZAIDI. Dola Indidis ni mwanasheria kutoka Kenya aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). Anadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya...
6 Reactions
30 Replies
6K Views
Je TANESCO wakiwa wamepitisha nyaya zao katika kiwanja chako pale unapotaka wakupishe kuna gharama nitaingia mimi kama mmiliki wa kiwanja? Naomba jibu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sorry guys naomba kujuzwa kidogo. Hivi mpangaji akiomba kupatiwa notis ya kutoka kwenye nyumba kwa kushindwa kulipa kodi. Anaweza kwenda tena Baraza la ardhi kuweka zuio la kutoka baada ya muda wa...
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Back
Top Bottom