Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari, Kumekuwa na watumishi wengi walioshinda kesi dhidi ya serikali na serikali kuamuliwa kulipa fidia lakini serikali hailipi. Je aliyeshinda na kukazia hukumu atafanyaje kutekeleza hukumu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nitafupisha hii hukumu na kuichambua siku zijazo. UAMUZI HUU HAPA http://www.judiciary.go.tz/wp-content/uploads/2016/09/CRIMINAL-APPEAL-NO.-358-OF-2013-ZOMBE0001.pdf Kizungumkuti ni hiki...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiongozi wa serikali ananituhumu hadharani kwa kosa linalohitaji ushahidi wa kitaalam, ushahidi wa kosa hilo unachunguzwa na chombo cha serikali, na tuhuma zinathibitika kitaalam kutoka...
2 Reactions
3 Replies
626 Views
Sina uelewa wa sheria za kimataifa lakini utashi wangu unanipa kwamba vitendo tulivyofanyiwa na nchi hizi mbili wakati wa ukoloni sio haki kabisa. Wamejitajirisha kwa mali zetu na nguvu za watu...
0 Reactions
9 Replies
971 Views
Sasa baada ya kukaa kutafakari nikapata washauri wakanielekeza WLAC msaada wa kisheria kwa akina mama. Nilipenda ofisi zao Dar makao makuu. Nikashauriwa nipeleke taarifa hizo ofisi zao wilaya...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Wanasheria naomba mnielimishe kuhusu suala la dhamana kupitia maswali yangu yafuatayo; 1. Mahakama inapoamuru kuwa moja ya sharti la dhamana ni kutoa hela, mfano sh. 20 mil. -Hii hela...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
. Kwanza kabsa mimi naitwa Noel nko mkoa mpya wa songwe wilaya ya momba mji wa tunduma. Nmeajiliwa na kampuni Fulani lililopo mbeya lakn nafanyia kazi katika tawi (....) Nmeifanyia kazi kampuni...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Uchaguzi wa Tanganyika law Society (TLS). By; Noel C Shao. Kampeni za nani anaenda kuwa rais wa TLS tarehe 17 pale jijini arusha, zimeanza huku kila upande ukijaribu kupinga upande wa pili hata...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Hapa tulipo ni muda muafaka wa kubadili mikakati. Utawala wa sheria umeshasiginwa vya kutosha.
0 Reactions
1 Replies
609 Views
Wanajukwaa, Kwa maoni yangu ni kwamba sheria zilizopo kuhusu dawa za kulevya zinapoteza muelekeo wa mapambano dhidi ya dawa hizo. Kitendo cha kuiweka mirungi na bangi katika level moja na Cocaine...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada ntaipataje standing order pamoja na sheria ya tawala za mikoa namba 19 ya mwaka 1997
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Habarini wanajamvi, naomba kwa wenye kujua hatua za kufata kumsaidia ndg yang moja.... .. Ni kijana mkubwa sasa amemaliza chuo kikuu mwaka jana. Baba yake alifariki akamuacha akiwa na miaka minne...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Kitendo cha gavana Wa DZM kumpiga Mzee MAKAMO WA RAIS MSTAAFU amtafisri lije jambo Je kuna kesi dhidi yake inayo endelea kwa kitendo au tukumbusha iliishia wapi S.8-18 penal code kitendo hicho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua sheria inayosimamia wimbo wetu wa Taifa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kufahamu yule Shikuba aliyekamatwa uwanja wa ndege na kisha kupelekwa Kilwa kwenye kesi yake ambae aliunganishwa na wenzie,Kesi yake inaendeleaje,Anaefahamu atujuze
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawaomba wajumbe wote wanasheria kuweni makini Na wagombea Urais wa Chama chetu binafsi nawaomba tumchague Mh.Tundu Lissu akiongoze Chama chetu.
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Hivi ni kwanini kila Mtuhumiwa pindi awapo Mahakamani au hata Polisi akiachiwa tu huru hutoka nduki ( hukimbia mara moja ) kutoka eneo la Mahakama au Polisi huku wengine wakiwa radhi hata kukimbia...
5 Reactions
61 Replies
7K Views
Wakuu, nimebahatika kuipata nakala ya barua ya malalamiko ya vijana wanaojiandaa kuingia School of Law,tuidodose.... THE LAW SCHOOL OF TANZANIA "FOR WHOSE BENEFIT" A COMPREHENSIVE ANALYSIS...
0 Reactions
23 Replies
23K Views
Habari jamiiforums, Naombeni mwenye kuelewa tafsiri ya dhamana ya mahakama kwa pesa apate kunisaidia.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimechaguliwa kujiunga na CL(Certificate in Law) chuo cha sheria Lushoto, mahitaji muhimu nayafahamu lakini nahitaji kujua ni aina gani ya sanduku linafaa kuhifadhi vitu vyangu kama...
1 Reactions
10 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…