Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wataalamu wa sheria naomba msaada, je ni halali kisheria nikalima bangi nchini kwa ajili ya kusafirisha nchi zilizo halalisha matumizi ya bangi? Ikumbukwe kwamba nina uhakika 100% kwamba bangi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wataalamu wa sheria naomba mnisaidie 1. Kosa la identity theft. 2. Kosa la kunadanganya rais adhabu yake ni ipi? 3. Kosa na kufoji cheti adhabu yake ni ipi? 4. Kosa la kufoji passport adhabu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari, Wakuu. Naomba kujua kama ni jambo la kawaida Mwajiri kukushusha cheo, pasipo kumshirikisha mwajiriwa kwa barua, badala yake unakuta job title yako imebadilika ktk salary slip, japo kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za humu ndani. Je, mimi kama raia wa Tanzania nina weza kumfungulia mashitaka ya watu fulani /mtu fulani mahakamani ikiwa nina uelewa kuwa fulani /watu fulani kuwa vyeti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa msaada wa kisheria tafadhari,nimesaini mkopo wa elimu ya juu kwa lipa ya asilimia 8 je nikikatwa zaidi ya hapo naweza kuwashitaki bodi ya mikopo ya elimu ya juu??
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Je, sheria ya Makosa ya mtandaoni(Cybercrime Act) inasemaje kuhusu kutumia jina ambalo sio lako katika akaunti za Mitandaoni? Je, kama inakataza vipi kuhusu sisi WanaJF tunaotumia majina ambayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, kama kuna mtu mwenye copy ya hukumu ya mh. Godbless Lema hiyo wanayosema imetolewa Arusha kuhusiana na dhamana yake, ambayo wanasema mawakili wa serikali/dpp wameambiwa kuwa wanainajisi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi sio mtaalamu wa sheria lakini nimeona iko haja ya kuona uwezekano wa kuweka vizuri huu utaratibu/sheria kwamba mwanasheria wa serikali kuwa na jukumu la kuruhusu kupeleka kesi za jinai...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Tanganyika law society tunawavika huu WAJIBU wa kumshitaki Bashite. Mamlaka inaonekana kamwe hazitamwajibisha. Your credibility will be tested on this! Why discriminatory prosecutions! Why?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Ningependa kufahamu, Je ni sahihi kwa mwanasheria wa manispaa Legal officer ambaye hajawa advocate kutumia Muhuri wenye initials na jina lake wakati huohuo ukionekana kama...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ya mda huu Wana-JF! Napenda kutumia fursa hii kuomba kwa yeyote aliye na sheria ya Manunuzi ya Umma ya 2014 na kanuni zake za mwaka 2011 na 2013. Naitaji kusoma na kuelewa ili nifahamu...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF, Hapa kazini kuna mfanyakazi ambae aliniomba mkopo na hhatukuandikishana. Nimejaribu kumdai lakini ameishia kutaka kunidhulumu maana kila tukionana ananikwepa. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika utatuzi wa Migogoro ya Ardhi, kuna vyombo mbalimbali vilivyoanzishwa kisheria kushughulikia utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baraza la ardhi la kijiji Hili ni baraza la chini kabisa katika...
3 Reactions
2 Replies
7K Views
Waungwana, nadhani hukumu ya jana ya Court of Appeal kuhusu dhamana ya Lema ni muhimu katika mustakabali wa dhamana katika historia ya nchi yetu baada ya uhuru. Ni vizuri kama kuna mwenye hukumu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanasheria na wasomi hodi humu ndani, nibaomba msaada sana wa Katiba ya NGO inayohusu mambo ya Dini (missionaries) na Jamii (reaching the poor people and unreached ones) kwa lengo la...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Daud Mwangosi enzi za uhai wake. Na Francis Godwin, Iringa KESI ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Channel Ten na Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni mara nyingi sana nimesikia watu wakiwaambia wengine wafanye fujo na wasiogope kwani watawatoa hata wakikamatwa! Binafsi nafikiri hakuna wasaa muhimu kama huu kuzifanyia marekebisho Sheria...
0 Reactions
6 Replies
988 Views
Poleni na majukumu ya kila siku Msada ambao unaitajika hapa ni kutaka kujua je mtuhumiwa ambaye anatuhumiwa kumpatia mimba mwanafunzi wa shule je anaweza kupewa dhamana Na kama anaweza kupewa...
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Naomba nianze kwa salamu ndugu wana JF. Ok niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo. Nimefanikiwa kutembelea kituo cha police maturubai hapo mbagala kipati. Niliyoyakuta humo ni ya kutoa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ukipatikana na hatia ya kughushi nyaraka ya serikali mahakani adhabu yake ni nini? Kosa la kughushi lina dhamana? Naomba majibu kwa wanaojua.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom