Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Ndugu wanaJF ilitokea katika makuzi yangu nikampa binti mimba nilikuwa na mahusiano mazuri tuu na yeye na nilimgharamia sehemu fulani ya masomo ingawa kwa kiasi kidogo sababu sikuwa na pesa za...
Wataalamu wa maswala ya upelelezi na uchunguzi,practise ya kutaja hadharani majina ya watu wanaokupa au unaotaka wakupe taarifa za kiuchunguzi imewahi fanyika wapi katika huu ulimwengu?
Naomba...
Naomba muongozo watu wa sheria, Hivi bunge likimuazimia mh. Makonda linaweza kumfanyaje endapo litampata na hatia ya linalomshutumu?? Maana naona kama Mh. Makonda yupo mbali nao na kumuwajibisha...
Nimejaribu kufikilia sijapata jibu anaejua atusaidie jamani leo kwao kesho kwetu, mfano:-
Waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya lakini mda huo huo wamekamatwa, wengi wao bila...
Monday, 06 June 2011 21:03
Fidelis Butahe
JESHI la polisi nchini limewakamata watu wanane wakiwa na dawa za kulevya aina ya cocaine huku mmoja wa watuhumiwa hao, Mwanaidi Mfundo anayejulikana...
Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na...
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa.!
Nina dada yangu amekumbwa na tatizo ambalo linaweza kumpelekea akafungwa kama msaada wa kisheria hautapatikana haraka.
Nianze kwa kueleza historia...
jf naomba kujua mfanyakazi wa mkataba anastahili kupata stahiki pindi anapohamishwa kituo cha kazi akiwa ndani ya mkataba,na je ni sheria,kanuni gani inamuongoza juu ya hili.
Kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita kuna idadi ya kesi nyingi sana zimeanzishwa mahakamai nadhani kuliko kipindi chote since Independence,
kama sasa na hawa mashoga nao watakamatwa na...
Tarehe 11/01/2017 ndugu NDAHANI N. MWENDA alipoandika katika ukurasa wake wa facebook taarifa ya Mhe. PETER LIJUALIKALI mbunge wa KILOMBERO kufungwa jela miezi 6 bila kupewa alternative ya kulipa...
Hivi majuzi tumethibitishiwa kwamba Mh. Judge Donnely wa Mahakama Kuu ya USA hapo New York ameweza aliwasikiliza hoja za wanaharakati na kuamua kusimamisha kwa muda Amri ya Rais Donald J Trump...
Ufafanuzi hapo wakuu kama serikali haitakiwi kuingilia maamuzi ya mahakama mbona kuna msamaha wa rais kwa wafungwa..?
Kama mahakama ndio inayohukumu, kwanini rais apewe jukumu la kutoa msamaha...
Mtoto ameumia kwa ajali ya gari kwa kujigonga ubavuni gari imepaki. Bahati mbaya amekufa. Wazazi wanasema hatutaki kesi ni kosa la mtoto. Polisi wamekomaa wanataka wapeleke mahakamani. Je sheria...
*Tujikumbushe Sheria*
Khalid Shekoloa: ( ROAD SAFETY AMBASSADORS- TANGA )
*ABIRIA NI NANI?*
ABIRIA ni mtu yeyote anayesafiri kwenye chombo cha usafiri na inahusisha mtu yeyote mwenye tiketi...
Nina mdogo wangu aliazma pesa kwa jamaa mmoja maajabu muda wa kurudisha akaombwa riba, na makubaliano yao ni kuazma kawaida bila riba maana mtoa pesa hajasajiriwa na mamlaka husika na hatambiliki...
Wakuu, nilipewa offer ya employment na kampuni moja miaka mitatu iliyopita. Offer hiyo ilieleza kuwa baada ya mwaka nitasaini mkataba wa miaka miwili ambao unaweza kuhuhishwa (renewable)
Baada ya...