Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ndugu wanaJF ilitokea katika makuzi yangu nikampa binti mimba nilikuwa na mahusiano mazuri tuu na yeye na nilimgharamia sehemu fulani ya masomo ingawa kwa kiasi kidogo sababu sikuwa na pesa za...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Wataalamu wa maswala ya upelelezi na uchunguzi,practise ya kutaja hadharani majina ya watu wanaokupa au unaotaka wakupe taarifa za kiuchunguzi imewahi fanyika wapi katika huu ulimwengu? Naomba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba muongozo watu wa sheria, Hivi bunge likimuazimia mh. Makonda linaweza kumfanyaje endapo litampata na hatia ya linalomshutumu?? Maana naona kama Mh. Makonda yupo mbali nao na kumuwajibisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejaribu kufikilia sijapata jibu anaejua atusaidie jamani leo kwao kesho kwetu, mfano:- Waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya lakini mda huo huo wamekamatwa, wengi wao bila...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Monday, 06 June 2011 21:03 Fidelis Butahe JESHI la polisi nchini limewakamata watu wanane wakiwa na dawa za kulevya aina ya cocaine huku mmoja wa watuhumiwa hao, Mwanaidi Mfundo anayejulikana...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa.! Nina dada yangu amekumbwa na tatizo ambalo linaweza kumpelekea akafungwa kama msaada wa kisheria hautapatikana haraka. Nianze kwa kueleza historia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
jf naomba kujua mfanyakazi wa mkataba anastahili kupata stahiki pindi anapohamishwa kituo cha kazi akiwa ndani ya mkataba,na je ni sheria,kanuni gani inamuongoza juu ya hili.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita kuna idadi ya kesi nyingi sana zimeanzishwa mahakamai nadhani kuliko kipindi chote since Independence, kama sasa na hawa mashoga nao watakamatwa na...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Habari ... Ni sheria ipi inayoruhusu mtoto achukuliwe na baba yake na akiwa umri gani....? Endapo wazazi wametengana
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tarehe 11/01/2017 ndugu NDAHANI N. MWENDA alipoandika katika ukurasa wake wa facebook taarifa ya Mhe. PETER LIJUALIKALI mbunge wa KILOMBERO kufungwa jela miezi 6 bila kupewa alternative ya kulipa...
12 Reactions
21 Replies
4K Views
Hivi majuzi tumethibitishiwa kwamba Mh. Judge Donnely wa Mahakama Kuu ya USA hapo New York ameweza aliwasikiliza hoja za wanaharakati na kuamua kusimamisha kwa muda Amri ya Rais Donald J Trump...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ufafanuzi hapo wakuu kama serikali haitakiwi kuingilia maamuzi ya mahakama mbona kuna msamaha wa rais kwa wafungwa..? Kama mahakama ndio inayohukumu, kwanini rais apewe jukumu la kutoa msamaha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto ameumia kwa ajali ya gari kwa kujigonga ubavuni gari imepaki. Bahati mbaya amekufa. Wazazi wanasema hatutaki kesi ni kosa la mtoto. Polisi wamekomaa wanataka wapeleke mahakamani. Je sheria...
2 Reactions
48 Replies
6K Views
Wakuu poleni na kazi, ninaomba msaada katika hili... Nikitaka kusoma CERTIFICATE OF LAW ninatakiwa kuwa na vigezo gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
*Tujikumbushe Sheria* Khalid Shekoloa: ( ROAD SAFETY AMBASSADORS- TANGA ) *ABIRIA NI NANI?* ABIRIA ni mtu yeyote anayesafiri kwenye chombo cha usafiri na inahusisha mtu yeyote mwenye tiketi...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Nina mdogo wangu aliazma pesa kwa jamaa mmoja maajabu muda wa kurudisha akaombwa riba, na makubaliano yao ni kuazma kawaida bila riba maana mtoa pesa hajasajiriwa na mamlaka husika na hatambiliki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, nilipewa offer ya employment na kampuni moja miaka mitatu iliyopita. Offer hiyo ilieleza kuwa baada ya mwaka nitasaini mkataba wa miaka miwili ambao unaweza kuhuhishwa (renewable) Baada ya...
0 Reactions
137 Replies
74K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…